Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,621
- 46,268
Hata serikali ya Iddi Amini ilikuwa na baadhi ya watendaji wazuri.
Kwani si serikali ya CCM iliyomruhusu awekeze?!!!
Tofautisha Kati ya baadhi ya watendaji wa hovyo na serikali nzima!!