Ramadhan imeleta mshikamano bungeni - Makinda

Ramadhan imeleta mshikamano bungeni - Makinda

Status
Not open for further replies.

zomba

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2007
Posts
17,240
Reaction score
3,935
Amma kwa hakika huu ni mwezi mtukufu, Spika wa bunge la Tanzania amekiri kuwa Ramadhan imechangia kuleta ushirikiano na kuzidisha amani na utulivu bungeni.

Ni uhakika kuwa Ramadhan imetowa darsa kwa walio na wasio Waislaam na tuendeleze hali hiyo nje na ndani ya Ramadhan.


Ramadhan Kareem na Eid Mubarak.

 
zomba hii ni kweli maana hata mtaani vibaka wamepungua kwa zaidi ya 85% na hapa ndio unapoona hoja ya kutaka kipengele cha dini kwenye sensa. Waislamu ndo wengi nchi hii na we ukitaka kuamini subiri mfungo uishe uone vibaka na vyangudoa watakavyojaa kila mahali
 
Last edited by a moderator:
zomba hii ni kweli maana hata mtaani vibaka wamepungua kwa zaidi ya 85% na hapa ndio unapoona hoja ya kutaka kipengele cha dini kwenye sensa. Waislamu ndo wengi nchi hii na we ukitaka kuamini subiri mfungo uishe uone vibaka na vyangudoa watakavyojaa kila mahali
Hivi wale mafisadi wengi wakiristo waliojaa serikalini jinsi wanavyoiba na kuzuia waisilamu waliofaulu kwenye mitihani yao wangelikuwa hawana ajira mtaani kungekuwaje, maana mafisadi wote waliopo serikalini ni wakiristo MAKAFIRI
 
zomba hii ni kweli maana hata mtaani vibaka wamepungua kwa zaidi ya 85% na hapa ndio unapoona hoja ya kutaka kipengele cha dini kwenye sensa. Waislamu ndo wengi nchi hii na we ukitaka kuamini subiri mfungo uishe uone vibaka na vyangudoa watakavyojaa kila mahali
nchi hii kila fisadi yaani majambazi wakuu wote ni wakiristo bora ya sisi waisilamu tuntowea nyei wakiristo makafiri munezua kabisa kila jambazi ni mkiristo na kila fisadi serikalini ni mkiristo kafiri
 
zomba hii ni kweli maana hata mtaani vibaka wamepungua kwa zaidi ya 85% na hapa ndio unapoona hoja ya kutaka kipengele cha dini kwenye sensa. Waislamu ndo wengi nchi hii na we ukitaka kuamini subiri mfungo uishe uone vibaka na vyangudoa watakavyojaa kila mahali

Kuna wengine wanazini na wake za watu official, huwajui? hawana hata mwezi wa kutubu wala kwarisma, mwendo mdundo.

Hao machangu na vibaka wanaoheshimu Ramadhani ujuwe ni wabora mara elfu kwa kukumbuka na kufanya toba na kumcha Mungu wao, kuliko wasiojuwa toba ni nini. Na mwenyeezi Mungu atawahidi na kuwaondolea mabaya yote.

Na hao wasiojuwa kutubu tunawaombea Mwenyeezi mungu awafunguwe, hakuna kosa asolisamehe ukitubu kwa dhati ila shirki.

Na wote waliopo kizani kuabudu binaadaam mwenzao na masanamu tunawaombea Mwenyeezi Mungu awatoe kizani kuwaweka kwenye Nuru na awabainishie kuwa hakuna apasae kuabudiwa ila mmoja tu.
 
zomba hii ni kweli maana hata mtaani vibaka wamepungua kwa zaidi ya 85% na hapa ndio unapoona hoja ya kutaka kipengele cha dini kwenye sensa. Waislamu ndo wengi nchi hii na we ukitaka kuamini subiri mfungo uishe uone vibaka na vyangudoa watakavyojaa kila mahali

narubongo,
Kwa hiyo unataka kutuambia kuwa vibaka na changudoa ni waislamu?
 
nchi hii kila fisadi yaani majambazi wakuu wote ni wakiristo bora ya sisi waisilamu tuntowea nyei wakiristo makafiri munezua kabisa kila jambazi ni mkiristo na kila fisadi serikalini ni mkiristo kafiri
Hapa sioni lolote zaidi ya povu tu!
 
Naikubali sana Ramadhani, ila spika kaleta unafiki tu pale....wanasiasa ni watu wa ajabu sana.
 
Amma kwa hakika huu ni mwezi mtukufu, Spika wa bunge la Tanzania amekiri kuwa Ramadhan imechangia kuleta ushirikiano na kuzidisha amani na utulivu bungeni.

Ni uhakika kuwa Ramadhan imetowa darsa kwa walio na wasio Waislaam na tuendeleze hali hiyo nje na ndani ya Ramadhan.


Ramadhan Kareem na Eid Mubarak.

anataka kumaanisha unywaji pombe kabla ya kikao cha jioni umepungua kwa sababu ya Ramadhani?
 
Amma kwa hakika huu ni mwezi mtukufu, Spika wa bunge la Tanzania amekiri kuwa Ramadhan imechangia kuleta ushirikiano na kuzidisha amani na utulivu bungeni.

Ni uhakika kuwa Ramadhan imetowa darsa kwa walio na wasio Waislaam na tuendeleze hali hiyo nje na ndani ya Ramadhan.


Ramadhan Kareem na Eid Mubarak.

Asante sana mkuu, na kwako pia, Ramadhan Kareem
Si unajua Ibliss amefungiwa mwezi huu mtukufu?
Anae leta kejeli na uzinzi ni yeye mwenyewe, hajashawishiwa!
 
zomba hii ni kweli maana hata mtaani vibaka wamepungua kwa zaidi ya 85% na hapa ndio unapoona hoja ya kutaka kipengele cha dini kwenye sensa. Waislamu ndo wengi nchi hii na we ukitaka kuamini subiri mfungo uishe uone vibaka na vyangudoa watakavyojaa kila mahali
Do you mean this? Una stats au unaongea tu kuchangamsha baraza?
 
Wewe unayesema mafisadi ni wakristo anamtindio wa ubongo! Tena yaelekea anafikiri kwakutumia yale aliyosema masaburi!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Wewe unayesema mafisadi ni wakristo anamtindio wa ubongo! Tena yaelekea anafikiri kwakutumia yale aliyosema masaburi!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

mafisadi ni makafiri kwa hili usibishe kwani nyie ndio mnaosema kuwa eti mmesoma na ndio wengi mpo serikalini na ndio mnaoendesha ufisadi kila siku.
 
zomba hii ni kweli maana hata mtaani vibaka wamepungua kwa zaidi ya 85% na hapa ndio unapoona hoja ya kutaka kipengele cha dini kwenye sensa. Waislamu ndo wengi nchi hii na we ukitaka kuamini subiri mfungo uishe uone vibaka na vyangudoa watakavyojaa kila mahali

Kwani kwa kua machangudoa na vibaka wamepungua mtaani basi hiyo ndio alert inayo onesha wingi wa waislam? Au kwa kua bunge limetulia basi waisilam ndio wameleta mshikamano bungeni? Sema waislam huwa hawana kazi za kufanya ndio maana wamezaa mitaani na kuendeleza umbeya waliorithishwa na waarabu.
 
Last edited by a moderator:
nchi hii kila fisadi yaani majambazi wakuu wote ni wakiristo bora ya sisi waisilamu tuntowea nyei wakiristo makafiri munezua kabisa kila jambazi ni mkiristo na kila fisadi serikalini ni mkiristo kafiri

Rais wako ni mkristo? Mbona yupo kwenye list of shame?
 
Zomba , umeleta mada nzuri ila kuna wajinga wachache wanaiangalia katika angle ya udini ,
hopefully , na wewe dhumuni lako halikuwa udini , maana wewe utakua ni mjinga zaidi yao
 
mafisadi ni makafiri kwa hili usibishe kwani nyie ndio mnaosema kuwa eti mmesoma na ndio wengi mpo serikalini na ndio mnaoendesha ufisadi kila siku.

Kafiri ni wewe mwenyewe na ukoo wako. Embu angalia, karamagi, Rostam, mkulo , Kikwete, je hao ni wakristo? Kigoma wazima?
 
Watanzania hatuna sababu ya kugombana kwa dini zakuletewa , tena zote zikiwa na dhumuni la utumwa na ukoloni nyuma yake.
 
Kuna wengine wanazini na wake za watu official, huwajui? hawana hata mwezi wa kutubu wala kwarisma, mwendo mdundo.

Hao machangu na vibaka wanaoheshimu Ramadhani ujuwe ni wabora mara elfu kwa kukumbuka na kufanya toba na kumcha Mungu wao, kuliko wasiojuwa toba ni nini. Na mwenyeezi Mungu atawahidi na kuwaondolea mabaya yote.

Na hao wasiojuwa kutubu tunawaombea Mwenyeezi mungu awafunguwe, hakuna kosa asolisamehe ukitubu kwa dhati ila shirki.

Na wote waliopo kizani kuabudu binaadaam mwenzao na masanamu tunawaombea Mwenyeezi Mungu awatoe kizani kuwaweka kwenye Nuru na awabainishie kuwa hakuna apasae kuabudiwa ila mmoja tu.................

Sasa Zomba, toba ya mwezi mmoja tu na miezi mingine kumi na moja ni kufanya dhambi kama kawaida inasaidia nini? Hiyo toba ni sawa sawa na kumdhihaki Mungu.

Biblia inasema katika Galatia 6: 7 "Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi".

Ukitaka kumpendeza Mungu kweli kweli unapaswa uzitubu dhambi zako kwa kumaanisha kuziacha kabisa na ndipo Mungu anapokusamehe (Mithali 28 :13 - Afichaye dhambi zake hatafanikiwa bali aziungamaye na kuziacha atapata rehema"
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom