Ramadhan imeleta mshikamano bungeni - Makinda

Ramadhan imeleta mshikamano bungeni - Makinda

Status
Not open for further replies.
Amma kwa hakika huu ni mwezi mtukufu, Spika wa bunge la Tanzania amekiri kuwa Ramadhan imechangia kuleta ushirikiano na kuzidisha amani na utulivu bungeni.

Ni uhakika kuwa Ramadhan imetowa darsa kwa walio na wasio Waislaam na tuendeleze hali hiyo nje na ndani ya Ramadhan.



Ramadhan Kareem na Eid Mubarak.

Hivi Bunge la Tanzania lina spika au mfano wa spika ?... Anasema vile sababu hapati msukosuko..ktk ramazani he hee.. bibi sipika
 
kwenye biashara yangu ya kitimoto imekosa soko kabisa...
 
Amma kwa hakika huu ni mwezi mtukufu, Spika wa bunge la Tanzania amekiri kuwa Ramadhan imechangia kuleta ushirikiano na kuzidisha amani na utulivu bungeni.

Ni uhakika kuwa Ramadhan imetowa darsa kwa walio na wasio Waislaam na tuendeleze hali hiyo nje na ndani ya Ramadhan.


Ramadhan Kareem na Eid Mubarak.

..............

Ameeen. Wanatakiwa watambue wote wana wajibu wa kuitumikia Tanzania kwanza. Waache kuleta viroja maana bunge lile wakati mwingine mpaka linatia aibu.
 
zomba nae kaanza kuwa kama malaria Sugu na FaizaFoxy Udini Udini...

Huo Mshikamano Bungeni kwa Bajeti za Kukandamiza Wananchi??
 
Last edited by a moderator:
Nawatakia Waislam Wote na Wasio kuwa Waislam Sikukuu Njema...
 
Amma kwa hakika huu ni mwezi mtukufu, Spika wa bunge la Tanzania amekiri kuwa Ramadhan imechangia kuleta ushirikiano na kuzidisha amani na utulivu bungeni.

Ni uhakika kuwa Ramadhan imetowa darsa kwa walio na wasio Waislaam na tuendeleze hali hiyo nje na ndani ya Ramadhan.


Ramadhan Kareem na Eid Mubarak.


Ramadhani imebadilisha watu wengi wakawa wazuri zaidi, hakika huu ni mwezi mtukufu.


Ramadhan Kareem na Eid Mubarak.
 
Sasa Zomba, toba ya mwezi mmoja tu na miezi mingine kumi na moja ni kufanya dhambi kama kawaida inasaidia nini? Hiyo toba ni sawa sawa na kumdhihaki Mungu.

Biblia inasema katika Galatia 6: 7 "Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi".

Ukitaka kumpendeza Mungu kweli kweli unapaswa uzitubu dhambi zako kwa kumaanisha kuziacha kabisa na ndipo Mungu anapokusamehe (Mithali 28 :13 - Afichaye dhambi zake hatafanikiwa bali aziungamaye na kuziacha atapata rehema"

Mithali imeaandikwa na nani? nnakuhakikishia huna jibu.

Naona hukupenda maneno ya Spika.
 
Sasa Zomba, toba ya mwezi mmoja tu na miezi mingine kumi na moja ni kufanya dhambi kama kawaida inasaidia nini? Hiyo toba ni sawa sawa na kumdhihaki Mungu.

Biblia inasema katika Galatia 6: 7 "Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi".

Ukitaka kumpendeza Mungu kweli kweli unapaswa uzitubu dhambi zako kwa kumaanisha kuziacha kabisa na ndipo Mungu anapokusamehe (Mithali 28 :13 - Afichaye dhambi zake hatafanikiwa bali aziungamaye na kuziacha atapata rehema"

Toba ya dhati hata mara 70 kwa siku husamehewa, Mwenyeezi Mungu hachoki kusamehe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom