Rama dee: Usihofie Wachaga

Rama dee: Usihofie Wachaga

kaimba Rama DEE.. huo sasa ndio wimbo lkn hizo nyingine hapana.. sijui kwa nini huwa hatupendi kusema ukweli na kuwaambia ukweli hawa wasanii.. badala ya kumwambia ukweli aimbe kuizidi utaambiwa ili a hit zaidi utakuta watu wanasifia tuu. huo wimbo wa kawaida sana kina Nurueli washaimba hizo miaka mingi iliyopita. Rama dee arudi kule kwa utaambiwa!! aimbe vile au zaidi ya vile uwezo anao aambiwe tu ukweli badala ya kuleta ushabiki maandazi hapa.

Kama wewe kipimo cha uzuri wa wimbo kuhit basi upe muda huu wimbo na uhakika utafanya vizuri, ila inaonekana wewe ni msikilizaji wa hit sio muziki mzuri, hivyo si kosa lako una haki ya kuandika ulichoandika....Tz hii kuna mashabiki wa Wacko Jacko wanaozifahamu Thriller naa Bill Jean pekee na wanajiita ni wapenzi wa king wa pop.
 
Uko sawa kabisa Mkuu.. Msanii kutoa nyimbo kila baada ya mwezi haimaanishi kuwa wewe ni bora.. ndo mana Fid Q akasema "kizuri ni kizuri ila chenye ubora ni bora"!!
Rama Dee ni miongoni mwa wasanii bora kabisa wa RnB kuwahi kutokea katika nchi yetu.. Tunatakiwa kujivunia kua nae.

Usishangae mkali wao, wabongo hawapendagi vitu vizuri.
 
Rama d.mi namwita king of R&B.habahatishi kila anapotoa ngoma lazima iwe ya maana.jamaa anajua sana.
 
Binafsi namkubali sana huyu jamaa.Kiukweli kibongo bongo hakuna msanii wa RnB atayeweza kumfikia Rama D

Hang'ai kwasababu mfumo mzima wa mziki Tz umeshikiliwa na Clouds Media...hawajamaa ndio wanachagua nani ang'ae na nani hasing'ae
 
Uyu MTU na nuruelly ndo mabest singer was r&b. In tz
Yaan ata ukimpa chorus ni she eeda
 
Back
Top Bottom