Rama dee: Usihofie Wachaga

Rama dee: Usihofie Wachaga

Anajua nini,, ivi unaanzaje msifia mtu anayetoa singo 1 in 5 year. Eti anajua. Anajua ku*nya au..??



csta tunajua una mapenz saaana na diamond au alikiba...hivi japo ulifikiri hata hii pia inakuhusu....???hebu dada angu kipenz tunajua unapenda saana kucomment...lkn sasa dada yetu mpendwa eti siku usipocomment sehemu ambazo hujickiii kucomment kwani utakufa mpaka huwa unajilazimisha...eti binti mrembo nijibu basi?dada angu asante ee nadhan hutarudia tena eee...dada natoka sema nikuletee zawadi gan?
 
csta tunajua una mapenz saaana na diamond au alikiba...hivi japo ulifikiri hata hii pia inakuhusu....???hebu dada angu kipenz tunajua unapenda saana kucomment...lkn sasa dada yetu mpendwa eti siku usipocomment sehemu ambazo hujickiii kucomment kwani utakufa mpaka huwa unajilazimisha...eti binti mrembo nijibu basi?dada angu asante ee nadhan hutarudia tena eee...dada natoka sema nikuletee zawadi gan?

Acha bangi dogo...
 
mmmh hv rama d jamen si amerest in peace kama mwezi hivi, akiwa ndani ya basi from dar to Dodoma au huyu ni rama d yupi mweh!!!
 
Acha bangi dogo...

Ndo ivo csta wa hiyari...vip nkuletee pipi tofi?au ile nliyonayo ya kijiti unayoipendagaa saaaaana nkupe pia?km genre ya mzk wa R&B haikufai au haujui unaweza kaa kimya kuficha udataz wako..tunajua kweli ww umedata na wala hatujapinga...hivyo csta dataz jaribu sa nyingine kutumia hiyo medula oblangata yako..
 
mmmh hv rama d jamen si amerest in peace kama mwezi hivi, akiwa ndani ya basi from dar to Dodoma au huyu ni rama d yupi mweh!!!

Mmh Mwl utakuwa umemchanganya na mtu mwingine ...jamaa yuko hai
 
aaah poa binamu so aloimba "utaambiwa" ni rama d au rama b???


kaimba Rama DEE.. huo sasa ndio wimbo lkn hizo nyingine hapana.. sijui kwa nini huwa hatupendi kusema ukweli na kuwaambia ukweli hawa wasanii.. badala ya kumwambia ukweli aimbe kuizidi utaambiwa ili a hit zaidi utakuta watu wanasifia tuu. huo wimbo wa kawaida sana kina Nurueli washaimba hizo miaka mingi iliyopita. Rama dee arudi kule kwa utaambiwa!! aimbe vile au zaidi ya vile uwezo anao aambiwe tu ukweli badala ya kuleta ushabiki maandazi hapa.
 
utaambiwa sina mapenzii........... ndio nyimbo ninayoipenda
 
Hawa Wananamziki Walio 'Hit' Kimagumashi
ndio zise yako.Dama dee tutamskiliza sisi😎

Uko sawa kabisa Mkuu.. Msanii kutoa nyimbo kila baada ya mwezi haimaanishi kuwa wewe ni bora.. ndo mana Fid Q akasema "kizuri ni kizuri ila chenye ubora ni bora"!!
Rama Dee ni miongoni mwa wasanii bora kabisa wa RnB kuwahi kutokea katika nchi yetu.. Tunatakiwa kujivunia kua nae.
 
Back
Top Bottom