Rama dee: Usihofie Wachaga

Rama dee: Usihofie Wachaga

Jamaa anajua sana kwa hii nyimbo mpya ya usiofie wachanga wasio mpenda watasubir sana

Kwani huwezi kumsifia hivi hivi bila kuponda wengine? Sasa nani atasubiri? Kwani anashindana na nani huyo rama dee? Au ndio mshazoeshwa ujinga wa kushindanisha bila sababu? Rama dee anajua! sawa anajua basi na itoshe tu kusema anajua au si ungeweka huo wimbo watu wausikilize? Huu umbea umbea na majungu sijui mtaacha lini nyinyi!
 
Ngoja niitafute hiyo nyimbo..kawaida Rama dee huwa anatisha sana na nayakubaki masong yake.....#ant-virus
 
ebu tupeni summary inahusu nn kabla hatujamaliza mb si mnajua mb zenyewe 8
 
Da jamaa anajua sana ngoma yenyewe imesimama.jamaa kweli hachoki! Kwenye game
 
Mi uwa namkubari sana, sauti nzuri.....LOVE IT
 
Ganja roller umesema ukweli mtupu Bob Mungu azidi kumtia nguvu Tu rama dee kizuri kizuri tu
 
kiukweli japo miziki ya sa hv mingi ni km kwaito na ya kinaijeria flan hiv...nyie huwa mnasemaga inachezeka cjui...japo me naamini hakuna nyimbo duniani zisizochezeka....sema tu ni vle haujagusa zile style za kucheza unazopenda ww.....point hapa ni hiviiiiiiiiiii japo RnB kibongo hamuikubali ila jamaa ni bonge la fundi anaimba mziki unaoishi na usiochosha masikio nyimbo zake hata miaka 20 ijayo utaendelea kuckiliza.....tufanye 2mor joe makin ft rama dee mwaka wasita au wa saba nadhan lakin kila nikiusikiliza ni km mpya yaan
 
Mkuu Ryan riz umeongea ukweli kuna izi hapa Sara,sio waohaji,kikao cha family,najua na subira yani izi nyimbo unaskiliza miaka 1000 bila kuzichoka
 
Jamaa mkali! Hivi yupo hapa hapa bongo ama mbele? Big up zake sana
 
rama D, grace matata, hawa wana vipaji sana tatizo nyota tu

Rama hakoseagi ata siku moja, ndio king wa RnB bongo....tatizo la rama au grace sio nyota, bali music wanaofanya haueleweki na wengi unajua kibongobongo watu wengi sio wapenzi wa music wengi ni just mashabiki tu.
 
Back
Top Bottom