Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 16,382
- 13,194
Pichani ni Bwana Adly Mansor Mkuu wa Mahakama ya Katiba nchini Misri Akizungumza mara baada ya kuapishwa kuwa Raisi wa mpito nchini Misri Tarehe 4 Julai 2013 baada ya Jeshi la nchi hiyo kumuondosha madarakani mkuu wa nchi Mohamed Mosri. PPicha na REUTERS/Amr Abdallah Dalsh.
Mtangazaji Anayefahamika haswa nchini Misri bwana Ahmed Mansour amesema kuwa Bwana Adly Mansour, Ambaye ni mkuu wa Mahakama Kuu ya Kikatiba na ambaye ameteuliwa kuwa Rais wa Misri na jeshi,imefahamika kuwa ni Mwadventista Msabato, dini ambayo ni madhehebu ya Kiyahudi.
Ahmed Mansour amebandika post kwenye ukurasa wake wa Facebook kwamba Adly alijaribu kuingia kwenye Ukristo lakini papa wa madhehebu ya Coptic alikataa kumbatiza.
Ahmed Mansour ameelezea kuwa nafasi aliyopewa ElBaradei pale aliposema kuwa hakutaka kuchukua sehemu katika Baraza la Shura ambalo linakataza utoaji wa sadaka ya kuteketezwa! ambayo ni ishara inayotolewa na Wayahudi kwa ElBaradei, hivyo anaweza kuwa Rais wa Jamhuri katika uchaguzi bandia ambao jeshi litasimamia na matokeo watayabadilisha kwa maslahi yao tu... yote hii ni kwa idhini ya Marekani, Israel na Waarabu , bila shaka.
Ahmed Mansour aliandika katika ukurasa wake huo wa Facebook, "hili ni eneo tukufu kwa Misri na Waarabu wa baadae, ambao walifanikisha kufanya mapinduzi,wanapiga ngoma na kucheza kwa sababu ya mapinduzi ambapo kila mtu aliweza kucheza... hata kwa kiasi kwamba alikuwamo mmoja wao, ambaye anachukia dini ya Uislamu kwa taifa ambalo lililojitangaza kwamba limezaliwa upya ... na tarehe yake ya kuzaliwa ni 30/6, Pia ni, siku kama hiyo ambayo jeshi limeyashinda wanamapinduzi dhidi ya mshindi wao halali aliyepatikana kwenye sanduku la kura.
Adly Mansour ni mshauri Mkuu wa Mahakama Kuu ya Kikatiba na ambapo kwa sasa anashikilia wadhifa wa Rais wa Misri baada ya kuteuliwa na Jeshi pale baada ya kuondolewa kwa Rais Mohamed Morsy - alianza wajibu wake tu baada ya kuapishwa kiapo mbele ya Mkutano Mkuu wa Mahakama ya Katiba.
Habari hii awali ilichapishwa kwa Kiarabu na kwenye tovuti ya mtandao wa Ikhwanonline.com
Ahmed Mansour reveals: A Jew in Egypt