Mind set yake ni kuwa uRais ni haki yake mojawapo, maana anasema alipekua Katiba akukuta kumbe anaweza kuendelea, akagundua ni haki yake eti. Anasahau kuwa ana haki ya kugombea pamoja na wengine sambamba kugombea na kupambanishwa tuone kama ana huo uwezo. Mwenye uwezo wa kuchaguliwa na wengi (Majority) ndiyo mwenye haki.Viongozi wanatakiwa kutokana na wananchi sio yaliyopo Tanzania . Uongozi wa kupandikizwa
Duh ndicho alikisema? Hakuona haki za wengine kugombea?Mind set yake ni kuwa uRais ni haki yake mojawapo, maana anasema alipekua Katiba akukuta kumbe anaweza kuendelea, akagundua ni haki yake eti. Anasahau kuwa ana haki ya kugombea pamoja na wengine sambamba kugombea na kupambanishwa tuone kama ana huo uwezo. Mwenye uwezo wa kuchaguliwa na wengi (Majority) ndiyo mwenye haki.
Viongozi safi wanatakiwa wapatikane kama jinsi china inavyopata viongozi wake!Viongozi wanatakiwa kutokana na wananchi sio yaliyopo Tanzania . Uongozi wa kupandikizwa
Why?Oktoba si uchaguzi, ni uchafuzi wa kisiasa na uchezaji wa fedha za walipa kodi na ubakaji wa demokrasia.
Kinachoitwa uchaguzi ni maigizo ya kuhalalisha dhulma.
Ningeshangaa kama nisingekuta walio kwenye heat wakimtaja jk. Aisee huyu jamaa atafikacakiwa amechoka sana.Upuuzi unaoendelea nchini ni handwork ya Jakaya Mrisho Kikwete mzee anayeiangamiza nchi kwa manufaa ya familia yake.
China wazalendo hakuna rushwa wala kuuza bandari zao hovyo.Viongozi safi wanatakiwa wapatikane kama jinsi china inavyopata viongozi wake!
Hakuna nchi inayojua kudhibiti habari zake za ndani na mikakati yake kama china,china ukitoa habari nje kifala unanyogwa,china siyo Tanzania Usiichukulie poa.China wazalendo hakuna rushwa wala kuuza bandari zao hovyo.
Umesikia China Kabila fulani wamehamishwa kwa nguvu na eneo lao kuuziwa watu toka nje ya nchi yao?
Viongozi wanatakiwa kutokana na wananchi sio yaliyopo Tanzania . Uongozi wa kupandikizwa