KAMALELA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2011
- 226
- 113
Sasa Rais aone nini na ndio shule na viwanja alivyotuwachia nyerere hizo.
Duu... aliacha uwanja ndege ukiwa umeandikwa hivyo!? alikuwa akianzisha mkoa lazima ataweka japo AIR STRIPS lakini sasa angalia mikoa mipya kama inaviwanja vya ndege! TAFAKARI.