Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,648
Nani kakuambia rais anapita hapo?, Yeye hupita VIP. Hata kama angepita hapo ndio awe na muda wa kunote small details kama hizo?. Thank you wewe ni makini kunote wengine wako busy na serious issues. Jamani JF sasa tunazidi, kila kitu ni mpaka rais?. Huu sasa unageuka utoto!? Tuache utoto!.
Taratibu .. siyo utoto. Utetezi mwingine hauna maana. Kiongozi mkuu wa nchi ndiye anayebebeshwe lawama kwa kila kitu kinachotokea ktk nchi; elimu duni, miundombinu mibovu, uchumi dhaifu, n.k. Wajapan wamemlalaminikia kiongozi wao utafikiri yeye ndiye aliyesababisha tsunami mpaka kawajibika (kajiuzulu); bomba la mafuta la BP lilipopasuka kwenye Gulf of Mexico jaluo alikiona cha moto, n.k.