Raisi alikuwa nchi gani hapa ??

Raisi alikuwa nchi gani hapa ??

kumbe bagamoyo ni nchi pia loh....



Aliyeleta mada alitaka kujuwa ile ni nchi gani nami nikamwambi ni Bagamoyo pale. Kumaanisha kuwa JK hakuwa nje ya nchi bali alikuwa Bagamoyo. Jaribu kuwaza kwanza na kuelewa kabla ya kujibu na ku-quote watu.
 
Aliyeleta mada alitaka kujuwa ile ni nchi gani nami nikamwambi ni Bagamoyo pale. Kumaanisha kuwa JK hakuwa nje ya nchi bali alikuwa Bagamoyo. Jaribu kuwaza kwanza na kuelewa kabla ya kujibu na ku-quote watu.
Bagamoyo ni mkoa sio nchi,nchi ni tanzania na nimeelewa ulichomaanisha..
 
Zawadi kamili kutolewa masharti na vigezo kuzingatiwa

attachment.php
hapo alikuwa nchini tanzania ,mkoa wa pwani ,wilaya ya bagamoyo kijiji sikumbuki lakini ni karibu na msoga alienda kuhani msiba wa wanafunzi waliofariki kwenye ajali iliyoua watu tisa huko bagamoyo!hii picha ilishawahi kuwekwa hapa pamoja na ile gari iliyopata ajali

 
Back
Top Bottom