Zawadi kamili kutolewa masharti na vigezo kuzingatiwa
Zawadi kamili kutolewa masharti na vigezo kuzingatiwa
Hapo alikuwa Bagamoyo anasimulia jinsi alivyoiba kura.
Hapana mkuu, atakua anasimulia jinsi alivyokuwa anaiba wali na maharage, wakati alipokuwa JKT..
Hapana mkuu, atakua anasimulia jinsi alivyokuwa anaiba wali na maharage, wakati alipokuwa JKT..
Siyo mvomero huko kwenye migogoro ya wafugaji na wakulima kweli?
Dah,
Rais tu tuanaye aisee......