Maneno mengi ya kiswahili tuliyoyarithi kutoka lugha za kigeni aghalab huishia na consonant. Yafuatayo ni maneno machache ya Kiarabu yanayoishia na consonants ambayo yanaweza kutumiwa kwenye Kiswahili kama yalivyo.
Aghalab (often)
Aslan (in reality, essentially)
Bahr (sea)
Barid (cold)
Bas (enough)
Hayat (life)
Huzn (sorrow)
Ilm (knowledge)
Jamal (beauty)
Kathr (much or many)
Khususan (especially)
Kitab (book)
Maktab (Library)
Mashghul (Bussy)
Miskin (poor)
Mizah (Joke)
Mustqabal au Mustkabal (future, prognosis, matokeo)
Nadir (rare)
Rakhis (cheap)
Sabab (reason)
Shabab (youth)
Shughl (job, business)
Shukran (thanks)
Tawfiq au Tawfik (good luck)
Thalathin (thirty)
Umm (mother)
Ustaadh (teacher, prof.)
Wakf or Waqf (Donation for religious purposes)
Waqt (time)
Watan (homeland)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.