shinyangakwetu
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 2,452
- 2,345
Nakumbuka wakati Rais anatoa msamaha kufuta kesi kwa wafungwa aliahidi ifanyike na magereza mikoa mingine lakini hadi sasa bado kiza kinene.
Je lilikuwa changa la macho au wasaidizi wake hawakumwelewa?????
Au kwa kuwa Mwanza ni kanda atokayo?
Je lilikuwa changa la macho au wasaidizi wake hawakumwelewa?????
Au kwa kuwa Mwanza ni kanda atokayo?