Rais wetu Magufuli, mbona kasi ya kutumbua majipu inakufa kwa kasi kubwa?

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Jun 3, 2011
12,357
6,424
Rais wetu madudu cum majipu mbona bado mengi na kasi yako imepungua kama sio kufa. Bado kabisa, nenda wizara ya ardhi naona huko kumeshindikana maana Mh. Lukuvi anawaonea aibu maafisa ardhi wa mikoa na wilaya waliosababisha matatizo yote hayo. Bado wapo kazini wanatesa! Na waapa kuwa ardhi wamuachie Mungu!
 
kwanza hakajifunze lugha ya kiingereza kwanza.dawa yake ni ndogo hakija kwenye ofice yako wewe hongea kizungu atatimua.lugha hewa.


Swissme
 
Moto ushazima ule unachezea profesa wa kichina ww yule jamaa ana fitna balaaa eti kaenda ikulu kumpa ngosha happy new year daaaa yule prof wa kichina hafai analoga mchana kweupeeeeee kashamfunga ngosha wa watu yule n mtoto wa mjin aisee pwan ngosha wa bush kuchunga ngombe mm namvulia kofia sana mtu anakuchekea kumbe anajiras rohon loooooo
 
Wafanya biashara wamesema hawata agiza tena mizigo na hata wakifanya hivyo hawatapitisha hapo,

Rais ameshaenda kuongea nao zaidi ya mara tatu jamaa wamegoma kabisa
 
kwanza hakajifunze lugha ya kiingereza kwanza.dawa yake ni ndogo hakija kwenye ofice yako wewe hongea kizungu atatimua.lugha hewa.


Swissme
Hongea au ongea mkuu?
Hakija au akija? shule za kata hizi zimeua elimu kbsa
 
Back
Top Bottom