battawi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 2,715
- 2,582
Ndugu wana jamvi,
Halii inavyo endelea kuhusu hii vita ya corona Raisi wangu ana siri kubwa moyoni mwake.
Nadhani huenda ameshatambua dunia ya leo ilivyo ndumila kuwili, Watu unawez kuwaona wako Bar wanastarehe ,kumbe kuna biashara fulani pale inaendelea.
Hii ni dunia ya ''Biological weapons''
Kumbukeni Sadamu Husein aliwashutukia wazungu baada ya kujaribu kuendeleza vinu vya Nuclear miaka ya 1980 na hatimae Israil ikailipuwa mitambo yake ,hapo Saadm alielekea Chemical weapon na hatimae Biological war fare.
Wazungu walipombaini kuwa kapiga hatua juu ya hilo waliamua kummaliza. Maana Hii ni silaha yao ya 21 centuary badala ya kutumia silaha za moto na Nuke.
Sasa Mheshimiwa wetu ni mkemia na ndio maana kawaita wazee wa Vyombo vya usalama kubaini Wimbo wa Ngoma hii inayochezwa duniani leo.
Usishangae kuwa hii ni Vita hasa lakini ya Biological weapon na si ile ya kawaida kama tulivyo zowea.Ndio Maana mzee kasema Tuko vitani.Wewe utaimba corona,lakin wenzio wako front line.
Ama kuhusu huyu Corona ,wenzetu wa Taiwana wametumia mtindo huu huu anoufuata Magufuli na wamefanikiwa vizuri sana.
.Social distance
.Barakoa
.Na kuwatenga waliobainika na ugonjwa hadi kupona kwao.
.Maisha yamendelea kama kawaida
.Na Kupulizia Dawa nchi nzima ,hasa maeneo yaliotowa wagonjwa.
.Kuzuia Wageni kuingia nchini na Kufunga viwanja vya ndege
Hebu tizma hii video chini hapa
Halii inavyo endelea kuhusu hii vita ya corona Raisi wangu ana siri kubwa moyoni mwake.
Nadhani huenda ameshatambua dunia ya leo ilivyo ndumila kuwili, Watu unawez kuwaona wako Bar wanastarehe ,kumbe kuna biashara fulani pale inaendelea.
Hii ni dunia ya ''Biological weapons''
Kumbukeni Sadamu Husein aliwashutukia wazungu baada ya kujaribu kuendeleza vinu vya Nuclear miaka ya 1980 na hatimae Israil ikailipuwa mitambo yake ,hapo Saadm alielekea Chemical weapon na hatimae Biological war fare.
Wazungu walipombaini kuwa kapiga hatua juu ya hilo waliamua kummaliza. Maana Hii ni silaha yao ya 21 centuary badala ya kutumia silaha za moto na Nuke.
Sasa Mheshimiwa wetu ni mkemia na ndio maana kawaita wazee wa Vyombo vya usalama kubaini Wimbo wa Ngoma hii inayochezwa duniani leo.
Usishangae kuwa hii ni Vita hasa lakini ya Biological weapon na si ile ya kawaida kama tulivyo zowea.Ndio Maana mzee kasema Tuko vitani.Wewe utaimba corona,lakin wenzio wako front line.
Ama kuhusu huyu Corona ,wenzetu wa Taiwana wametumia mtindo huu huu anoufuata Magufuli na wamefanikiwa vizuri sana.
.Social distance
.Barakoa
.Na kuwatenga waliobainika na ugonjwa hadi kupona kwao.
.Maisha yamendelea kama kawaida
.Na Kupulizia Dawa nchi nzima ,hasa maeneo yaliotowa wagonjwa.
.Kuzuia Wageni kuingia nchini na Kufunga viwanja vya ndege
Hebu tizma hii video chini hapa