Rais wetu ana kitu moyoni, mimi nadhani yuko sawa

Rais wetu ana kitu moyoni, mimi nadhani yuko sawa

battawi

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2014
Posts
2,715
Reaction score
2,582
Ndugu wana jamvi,

Halii inavyo endelea kuhusu hii vita ya corona Raisi wangu ana siri kubwa moyoni mwake.

Nadhani huenda ameshatambua dunia ya leo ilivyo ndumila kuwili, Watu unawez kuwaona wako Bar wanastarehe ,kumbe kuna biashara fulani pale inaendelea.

Hii ni dunia ya ''Biological weapons''

Kumbukeni Sadamu Husein aliwashutukia wazungu baada ya kujaribu kuendeleza vinu vya Nuclear miaka ya 1980 na hatimae Israil ikailipuwa mitambo yake ,hapo Saadm alielekea Chemical weapon na hatimae Biological war fare.

Wazungu walipombaini kuwa kapiga hatua juu ya hilo waliamua kummaliza. Maana Hii ni silaha yao ya 21 centuary badala ya kutumia silaha za moto na Nuke.
Sasa Mheshimiwa wetu ni mkemia na ndio maana kawaita wazee wa Vyombo vya usalama kubaini Wimbo wa Ngoma hii inayochezwa duniani leo.

Usishangae kuwa hii ni Vita hasa lakini ya Biological weapon na si ile ya kawaida kama tulivyo zowea.Ndio Maana mzee kasema Tuko vitani.Wewe utaimba corona,lakin wenzio wako front line.

Ama kuhusu huyu Corona ,wenzetu wa Taiwana wametumia mtindo huu huu anoufuata Magufuli na wamefanikiwa vizuri sana.

.Social distance
.Barakoa
.Na kuwatenga waliobainika na ugonjwa hadi kupona kwao.
.Maisha yamendelea kama kawaida
.Na Kupulizia Dawa nchi nzima ,hasa maeneo yaliotowa wagonjwa.
.Kuzuia Wageni kuingia nchini na Kufunga viwanja vya ndege
Hebu tizma hii video chini hapa

 
.
FB_IMG_1589014221128.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo Corona ipo Tanzania tu, na inamtafuta Rais wetu tu! na ndiyo maana akahamishia kimya kimya makazi na ofisi nyumbani kwake alikozaliwa! au ni mimi ambaye sijaelewa!!
 
Kwa hiyo Corona ipo Tanzania tu, na inamtafuta Rais wetu tu! na ndiyo maana akahamishia kimya kimya makazi na ofisi nyumbani kwake alikozaliwa! au ni mimi ambaye sijaelewa!!
 
Tumekuelewa mapenzi yako mpaka ukaleta hii mada. Asante.
 
Ndugu wana jamvi,

Halii inavyo endelea kuhusu hii vita ya corona Raisi wangu ana siri kubwa moyoni mwake.

Nadhani huenda ameshatambua dunia ya leo ilivyo ndumila kuwili, Watu unawez kuwaona wako Bar wanastarehe ,kumbe kuna biashara fulani pale inaendelea.

Hii ni dunia ya ''Biological weapons''

Kumbukeni Sadamu Husein aliwashutukia wazungu baada ya kujaribu kuendeleza vinu vya Nuclear miaka ya 1980 na hatimae Israil ikailipuwa mitambo yake ,hapo Saadm alielekea Chemical weapon na hatimae Biological war fare.

Wazungu walipombaini kuwa kapiga hatua juu ya hilo waliamua kummaliza. Maana Hii ni silaha yao ya 21 centuary badala ya kutumia silaha za moto na Nuke.
Sasa Mheshimiwa wetu ni mkemia na ndio maana kawaita wazee wa Vyombo vya usalama kubaini Wimbo wa Ngoma hii inayochezwa duniani leo.

Usishangae kuwa hii ni Vita hasa lakini ya Biological weapon na si ile ya kawaida kama tulivyo zowea.Ndio Maana mzee kasema Tuko vitani.Wewe utaimba corona,lakin wenzio wako front line.

Ama kuhusu huyu Corona ,wenzetu wa Taiwana wametumia mtindo huu huu anoufuata Magufuli na wamefanikiwa vizuri sana.

.Social distance
.Barakoa
.Na kuwatenga waliobainika na ugonjwa hadi kupona kwao.
.Maisha yamendelea kama kawaida
.Na Kupulizia Dawa nchi nzima ,hasa maeneo yaliotowa wagonjwa.
.Kuzuia Wageni kuingia nchini na Kufunga viwanja vya ndege
Hebu tizma hii video chini hapa

View attachment 1444832
Ni tatizo la incompetence sio kitu kingine usimtetee hiyo inajulikana duniani kote.
 
Ndugu wana jamvi,

Halii inavyo endelea kuhusu hii vita ya corona Raisi wangu ana siri kubwa moyoni mwake.

Nadhani huenda ameshatambua dunia ya leo ilivyo ndumila kuwili, Watu unawez kuwaona wako Bar wanastarehe ,kumbe kuna biashara fulani pale inaendelea.

Hii ni dunia ya ''Biological weapons''

Kumbukeni Sadamu Husein aliwashutukia wazungu baada ya kujaribu kuendeleza vinu vya Nuclear miaka ya 1980 na hatimae Israil ikailipuwa mitambo yake ,hapo Saadm alielekea Chemical weapon na hatimae Biological war fare.

Wazungu walipombaini kuwa kapiga hatua juu ya hilo waliamua kummaliza. Maana Hii ni silaha yao ya 21 centuary badala ya kutumia silaha za moto na Nuke.
Sasa Mheshimiwa wetu ni mkemia na ndio maana kawaita wazee wa Vyombo vya usalama kubaini Wimbo wa Ngoma hii inayochezwa duniani leo.

Usishangae kuwa hii ni Vita hasa lakini ya Biological weapon na si ile ya kawaida kama tulivyo zowea.Ndio Maana mzee kasema Tuko vitani.Wewe utaimba corona,lakin wenzio wako front line.

Ama kuhusu huyu Corona ,wenzetu wa Taiwana wametumia mtindo huu huu anoufuata Magufuli na wamefanikiwa vizuri sana.

.Social distance
.Barakoa
.Na kuwatenga waliobainika na ugonjwa hadi kupona kwao.
.Maisha yamendelea kama kawaida
.Na Kupulizia Dawa nchi nzima ,hasa maeneo yaliotowa wagonjwa.
.Kuzuia Wageni kuingia nchini na Kufunga viwanja vya ndege
Hebu tizma hii video chini hapa

View attachment 1444832

Hakustahili kuwa rais maana ana uwezo mdogo wa nafasi hiyo fullstop.
 
Ndugu wana jamvi,

Halii inavyo endelea kuhusu hii vita ya corona Raisi wangu ana siri kubwa moyoni mwake.

Nadhani huenda ameshatambua dunia ya leo ilivyo ndumila kuwili, Watu unawez kuwaona wako Bar wanastarehe ,kumbe kuna biashara fulani pale inaendelea.

Hii ni dunia ya ''Biological weapons''

Kumbukeni Sadamu Husein aliwashutukia wazungu baada ya kujaribu kuendeleza vinu vya Nuclear miaka ya 1980 na hatimae Israil ikailipuwa mitambo yake ,hapo Saadm alielekea Chemical weapon na hatimae Biological war fare.

Wazungu walipombaini kuwa kapiga hatua juu ya hilo waliamua kummaliza. Maana Hii ni silaha yao ya 21 centuary badala ya kutumia silaha za moto na Nuke.
Sasa Mheshimiwa wetu ni mkemia na ndio maana kawaita wazee wa Vyombo vya usalama kubaini Wimbo wa Ngoma hii inayochezwa duniani leo.

Usishangae kuwa hii ni Vita hasa lakini ya Biological weapon na si ile ya kawaida kama tulivyo zowea.Ndio Maana mzee kasema Tuko vitani.Wewe utaimba corona,lakin wenzio wako front line.

Ama kuhusu huyu Corona ,wenzetu wa Taiwana wametumia mtindo huu huu anoufuata Magufuli na wamefanikiwa vizuri sana.

.Social distance
.Barakoa
.Na kuwatenga waliobainika na ugonjwa hadi kupona kwao.
.Maisha yamendelea kama kawaida
.Na Kupulizia Dawa nchi nzima ,hasa maeneo yaliotowa wagonjwa.
.Kuzuia Wageni kuingia nchini na Kufunga viwanja vya ndege
Hebu tizma hii video chini hapa

View attachment 1444832
PhD holder asiye na tofauti na form leaver asiyejitambua.

Mtu wa hivi unataka tumwelewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo Corona ipo Tanzania tu, na inamtafuta Rais wetu tu! na ndiyo maana akahamishia kimya kimya makazi na ofisi nyumbani kwake alikozaliwa! au ni mimi ambaye sijaelewa!!
Mtu anayependa matumizi ya mabavu huwa ana asili ya uoga.
Hence mafufuli ni muoga af
 
Ndugu wana jamvi,

Halii inavyo endelea kuhusu hii vita ya corona Raisi wangu ana siri kubwa moyoni mwake.

Nadhani huenda ameshatambua dunia ya leo ilivyo ndumila kuwili, Watu unawez kuwaona wako Bar wanastarehe ,kumbe kuna biashara fulani pale inaendelea.

Hii ni dunia ya ''Biological weapons''

Kumbukeni Sadamu Husein aliwashutukia wazungu baada ya kujaribu kuendeleza vinu vya Nuclear miaka ya 1980 na hatimae Israil ikailipuwa mitambo yake ,hapo Saadm alielekea Chemical weapon na hatimae Biological war fare.

Wazungu walipombaini kuwa kapiga hatua juu ya hilo waliamua kummaliza. Maana Hii ni silaha yao ya 21 centuary badala ya kutumia silaha za moto na Nuke.
Sasa Mheshimiwa wetu ni mkemia na ndio maana kawaita wazee wa Vyombo vya usalama kubaini Wimbo wa Ngoma hii inayochezwa duniani leo.

Usishangae kuwa hii ni Vita hasa lakini ya Biological weapon na si ile ya kawaida kama tulivyo zowea.Ndio Maana mzee kasema Tuko vitani.Wewe utaimba corona,lakin wenzio wako front line.

Ama kuhusu huyu Corona ,wenzetu wa Taiwana wametumia mtindo huu huu anoufuata Magufuli na wamefanikiwa vizuri sana.

.Social distance
.Barakoa
.Na kuwatenga waliobainika na ugonjwa hadi kupona kwao.
.Maisha yamendelea kama kawaida
.Na Kupulizia Dawa nchi nzima ,hasa maeneo yaliotowa wagonjwa.
.Kuzuia Wageni kuingia nchini na Kufunga viwanja vya ndege
Hebu tizma hii video chini hapa

View attachment 1444832
Katika hayo mambo 6 uliyoyaonyesha hapo juu ambayo wao wameyafanya sisi kama Tanzania ni mangapi tumeyatekeleza kwa ufanisi? Na je hapo kwenye kupulizia dawa unakumbuka Rais alitamka nini juu ya hilo?
 
Jamaa yangu kaa chini vizuri uisome historia ya dunia hasa kuanzia 1980 - 1900, 1900-1800, 1800-1400.. Bila shaka kuna vitu utajifunza..
 
Ina maana hata kwenye hiyo video hujaona tu utofauti na serikali ya chama chako? Wanakwambia kabisa walifunga mipaka kabla ya nchi yoyote duniani wakati huo huku kwetu mlitangazia wananchi hamuwezi kufunga maana mtapoteza fedha za utalii!

Hili hulioni?

Au uko ubeti wa ngapi wa pambio la kusifu mkuu?


Sent using Jamii Forums mobile app
Nafahamu kuwa hatukufanya vizuri kama walivyofanya wenzetu taiwan,
Lakini mimi nazungumzia ile Idea ya Mheshimiwa ,nilikuwa natafakari aliikopi wapi?
au aliibuka tuu na kubuni?
Kumbe wapo wenzetu wamefanikiwa kwa dhana hii,lakini sisi bado kuna mahali inatubidi tujiongeze.
Nchi zote walizoweka Lock Down hatimae wanarejea kwenye mfumo huu tulionao sisi,kwa vile Lock Down haikuleta manufaa yaliyotarajiwa. Bado watu wanakufa,na ugonjwa unendelea kutambaa na Uchumi nao unazidi kuzorota nchini mwao.
Tazama Italy na Spain.
 
Jamaa yangu kaa chini vizuri uisome historia ya dunia hasa kuanzia 1980 - 1900, 1900-1800, 1800-1400.. Bila shaka kuna vitu utajifunza..
mimi siyo?
Ok nitajiongeza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom