Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,967
- 22,161
Pengine nitakuwa mchoyo wa fadhila kumuliza hili Rais wangu Kikwete
majuzi nilisikia akisema swala la watu kushangaa Folen za magari
na kusisitiza watu waelewe haya ndio maisha bora kwa kila mtanzania
yale aliokuwa akisema wakati anaingia.....na ndio maana magari yamejaa na kila mtu ana gari sasa
loh.
sasa basi ni wakati muafaka wa Mh Rais wangu kuuliza na sie tunaoshinda vituo
vya mabasi kila siku na ukipita kuna wale wasiokata tamaa kusubiri hiyo maisha
bora kwa kukupungia mkono ..je mh rais wangu na sisi unatuambiaje kwenye
hili la maisha bora ama kushinda vituon na yo n mpango wa maisha bora kwa kila
mtanzania kwa kutuwekea mataa kwenye vituo usiku wengine wanaamua kulala
wakisubiri mabasi???
majuzi nilisikia akisema swala la watu kushangaa Folen za magari
na kusisitiza watu waelewe haya ndio maisha bora kwa kila mtanzania
yale aliokuwa akisema wakati anaingia.....na ndio maana magari yamejaa na kila mtu ana gari sasa
loh.
sasa basi ni wakati muafaka wa Mh Rais wangu kuuliza na sie tunaoshinda vituo
vya mabasi kila siku na ukipita kuna wale wasiokata tamaa kusubiri hiyo maisha
bora kwa kukupungia mkono ..je mh rais wangu na sisi unatuambiaje kwenye
hili la maisha bora ama kushinda vituon na yo n mpango wa maisha bora kwa kila
mtanzania kwa kutuwekea mataa kwenye vituo usiku wengine wanaamua kulala
wakisubiri mabasi???