Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,194
Ndugu zangu wapenzi wa JF, huyu rais wetu kipenzi cha wa-tz milioni 5, kwa nini haendi ziara za mikoani tangu alipochaguliwa mwaka jana? Je anaogopa kuulizwa kuhusu utekelezaji wa ahadi alizokuwa anamwaga kama mwendawazimu wakati wa kampeni? Au kuna nini jamani?