Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdoğan, amepatwa na mshtuko wa moyo

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,227
12,953
Hali ya Rais wa nchi ya Uturuki Recep Tayyip Erdoğan amegua gafla na kukimbizwa Hospital baada ya kupata mshtuko wa moyo akiwa akijindaa kwenda kwenye mahojiano na kituo kimoja wapo cha Television nchini mwao.

Uturuki inatarajiwa kufanya uchaguzi May 14, 2023 ambapo Rais wa Uturuki Edogan anatarijia kugombea tena katika kinyang'anyiro hicho.

==========

Erdogan.jpg
ANKARA, April 26 (Reuters) - Turkish President Tayyip Erdogan canceled his scheduled campaign rallies on Wednesday and Thursday for health reasons, weeks before May 14 presidential and parliamentary elections.

"Today, I will rest at home with the advice of my doctors," Erdogan wrote on his Twitter account on Wednesday.

Later, AK Party deputy chair Erkan Kandemir said Erdogan would attend a ceremony at the Akkuyu nuclear power plant in the southern Mersin province via videolink on Thursday.

"Our Mersin rally is also planned to be held on a future date," he posted on Twitter.

Late on Tuesday, Erdogan cut short a live TV interview during which he said he felt sick with an upset stomach.

The elections represent the biggest electoral challenge for modern Turkey's longest-serving leader, after a cost-of-living crisis eroded Erdogan's support. Opinion polls show Erdogan could lose after two decades in power.

Reuters
 
Hao mossad c wamalize hiyo biashara mapema
CIA walitaka kumpindua 2016 akapata msaada toka Russia akapona, Majuzi mara baada ya wanajeshi kuingia katika msikiti wa Al-Qais na kuwapiga Wapalestina ndani ya msikiti, Edogan aliwaambia waarabu wenzie kuwa sasa ni wakati wa kushikamana dhidi unyama wanaofanyiwa Palestina dhidi ya Israel.
 
CIA walitaka kumpindua 2016 akapata msaada toka Russia akapona, Majuzi mara baada ya wanajeshi kuingia katika msikiti wa Al-Qais na kuwapiga Wapalestina ndani ya msikiti, Edogan aliwaambia waarabu wenzie kuwa sasa ni wakati wa kushikamana dhidi unyama wanaofanyiwa Palestina dhidi ya Israel.
Waturuki siyo waarabu we mbuzi,uwe unajielimisha kwanza
 
CIA walitaka kumpindua 2016 akapata msaada toka Russia akapona, Majuzi mara baada ya wanajeshi kuingia katika msikiti wa Al-Qais na kuwapiga Wapalestina ndani ya msikiti, Edogan aliwaambia waarabu wenzie kuwa sasa ni wakati wa kushikamana dhidi unyama wanaofanyiwa Palestina dhidi ya Israel.
Asiishie kusema,atende.
 
CIA walitaka kumpindua 2016 akapata msaada toka Russia akapona, Majuzi mara baada ya wanajeshi kuingia katika msikiti wa Al-Qais na kuwapiga Wapalestina ndani ya msikiti, Edogan aliwaambia waarabu wenzie kuwa sasa ni wakati wa kushikamana dhidi unyama wanaofanyiwa Palestina dhidi ya Israel.
Huyu mzee ana itikadi kali za dini. Anaamini Ottoman Empire itaamka tena, ila hajui hiyo ni ndoto isiyowezekana kujirudia.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hali ya Rais wa nchi ya Uturuki Recep Tayyip Erdoğan amegua gafla na kukimbizwa Hospital baada ya kupata mshtuko wa moyo akiwa akijindaa kwenda kwenye mahojiano na kituo kimoja wapo cha Television nchini mwao.
Uturuki inatarajiwa kufanya uchaguzi May 14, 2023 ambapo Rais wa Uturuki Edogan anatarijia kugombea tena katika kinyang'anyiro hicho.
View attachment 2600870
Inadaiwa FSB wamempa sumu kali sana na huenda asipone ,ni baada ya kuruhusu nchi zilizo pakana na Russia kujiunga na NATO kumbuka Uturuki ndio alikuwa anashikilia wasipewe ,kuna tetesi waturuki wanaweza kutumia kupambana na Russia kana itabainika ni kweli, Russia kazi anayo

USSR
 
Hali ya Rais wa nchi ya Uturuki Recep Tayyip Erdoğan amegua gafla na kukimbizwa Hospital baada ya kupata mshtuko wa moyo akiwa akijindaa kwenda kwenye mahojiano na kituo kimoja wapo cha Television nchini mwao.
Uturuki inatarajiwa kufanya uchaguzi May 14, 2023 ambapo Rais wa Uturuki Edogan anatarijia kugombea tena katika kinyang'anyiro hicho.
View attachment 2600870
Sio lazima kila mtu ajue kwamba wewe ni mjinga.
Ishi kwa kauli ,"ficha ujinga wako"
 
Back
Top Bottom