DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Rais wa TFF Wallace Karia,amemshitaki Haji Sunday Manara,kwa tuhuma za kuchapisha maandiko mbali mbali kwenye mitandao yake ya kijamii ya kumtaka Rais huyo ajiuzulu kwa tuhuma za TFF kudaiwa na Yanga.
Manara alikuwa Polisi leo saa 4 asubuhi,ila tayari umeondoka baada ya kupata dhamana.
Manara alikuwa Polisi leo saa 4 asubuhi,ila tayari umeondoka baada ya kupata dhamana.