Rais wa TFF Wallace Karia chanzo cha Haji Manara Kuitwa Polisi

Rais wa TFF Wallace Karia chanzo cha Haji Manara Kuitwa Polisi

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Rais wa TFF Wallace Karia,amemshitaki Haji Sunday Manara,kwa tuhuma za kuchapisha maandiko mbali mbali kwenye mitandao yake ya kijamii ya kumtaka Rais huyo ajiuzulu kwa tuhuma za TFF kudaiwa na Yanga.

Manara alikuwa Polisi leo saa 4 asubuhi,ila tayari umeondoka baada ya kupata dhamana.
1749808332809.png
 
Rais wa TFF Wallace Karia,amemshitaki Haji Sunday Manara,kwa tuhuma za kuchapisha maandiko mbali mbali kwenye mitandao yake ya kijamii ya kumtaka Rais huyo ajiuzulu kwa tuhuma za TFF kudaiwa na Yanga.

Manara alikuwa Polisi leo saa 4 asubuhi,ila tayari umeondoka baada ya kupata dhamana.
View attachment 3366758
Safi sana
 
Back
Top Bottom