Rais wa TFF, Jamal Malinzi pamoja na Katibu Mkuu Celestine Mwesigwa washikiliwa na TAKUKURU

Sasa TAKUKURU inafurahisha wananchi. Inaonesha sasa hakuna aliye juu ya sheria

Kama TAKUKURU watamgusa kila aliyefanya ufisadi na wizi wa mali ya umma, watapongezwa. TAKUKURU wanapaswa kujua kuna mfanyakazi mmoja wa umma ni kama ameshindikana. Anatumia kila aina ya ushawishi ikiwa ni pamoja na kuhonga baadhi ya watumishi wachache wa TAKUKURU wasio na maadali.

Pia anajulikana kwa kutumia matisho ya waganga wa kienyeji na uchawi ili kutisha baadhi ya watendaji wa serikali wenye imani haba na wanao-ogopa mambo ya kishirikina ili waogope kufuatilia madhambi yaliyofanywa.

Mfanyakazi huyu wa umma aliyeshindikana ni Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha anayejulikana kwa jina la kusomea kama Richardi Joseph Masika ambaye jina lake halisi ni Richard Joseph Mushi.

Taarifa kutoka vyanzo mbalimbali zimeonesha kuwa, kwa wakati tofauti katika kipindi cha kuanzia 2010 hadi 2015 zaidi ya TZS bilioni 3 fedha ya Serikali hazijulikani ziko wapi au zilifanyia kitu gani.

Kwa upande mwingine Ndugu Masika au Mushi amewekeza kiasi kingi cha fedha hizo alizoiba serikalini kwenye mali zisizohamishika kama majumba, mashamba na viwanja katika miji ya DSM na Arusha.

hapa chini ni moja ya nyumba aliyojenga Njiro Arusha kwa kutumia fedha aliyoiba serikalini. Pia kwa kutumia madaraka yake alizipatia kampuni zilizofanya kazi ya ujenzi wa majumba yake kazi katika taasisi anayofanyia kazi hali inayoonesha kila dalili za RUSHWA

Picha za leo-4.jpg
RM[1].jpg
Picha za leo-3.jpg
 

Attachments

  • Picha za leo-3.jpg
    Picha za leo-3.jpg
    174.4 KB · Views: 24
Mleta mada nimeona umeweka matumizi lakini sijaona vipi hayo hayakuwa matumizi ya kweli.
 
Kweli waweza kwenda shule na isikusaidie. Malinzi anashindwa kusoma alama za nyakati. Ona anavyoingia mtegoni kirahisi. Aende akatafute waganga wa kumsaidia kama alivyopendekeza waganga waongezwe kuwasaidia Serengeti Boys.
 
Kama kaiba kweli wamuwaishe keko tu, hatuna njia nyingine. Ujanja ujanja na ukanjanja it's over now.
 
DUH, NDO MANA SOKA LETU HALIENDELEI, VIONGOZI WANAWAZA KULA HELA TU.. HIYO HELA BORA HATA WANGEJEKA JENGO LA KITEGA UCHUMI LA TFF
 
Kesi inanguruma huko Kisutu wakuu Musa Misalaba(PRO of PCCB) kasema kupitia E FM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom