Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Naam,maisha mzunguko,kuna kipindi Kenya,Uganda na Rwanda walijiita "coalition of the willing" dhidi ya Tanzania.Uhusiano wa Rwanda na Uganda si mzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam,maisha mzunguko,kuna kipindi Kenya,Uganda na Rwanda walijiita "coalition of the willing" dhidi ya Tanzania.Uhusiano wa Rwanda na Uganda si mzuri.
Kumbe Rais wetu ni mfupi sana.Mhe. Paul Kagame, Rais wa Jamhuri ya Rwanda na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, atawasili nchini tarehe 7 Machi 2019 kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. Ziara hiyo inafanyika kufuatia mwaliko wa Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Ziara hii itatoa fursa kwa viongozi hao wawili kujadiliana masuala mbalimbali kuhusu uhusiano na ushirikiano baina ya nchi hizi mbili. Aidha, Viongozi hao wanatarajia kuzungumzia masuala mbalimbali ya mtangamano katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.Mhe. Kagame, Rais wa Jamhuri ya Rwanda, atawasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere saa Tisa Alasiri tarehe 7 Machi 2019 na kupokelewa na mwenyeji wake, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mhe. Rais Kagame anatarajia kuondoka nchini tarehe 8 Machi, 2019.
View attachment 1039821
Ya kubadili Katiba ili ubaki madarakani?Karibu Paul,utufundishe maujanja zaidi.
Mh. Waziri uko macho saa hizi ?! Nini stress !!Naam,maisha mzunguko,kuna kipindi Kenya,Uganda na Rwanda walijiita "coalition of the willing" dhidi ya Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Behind the drape, something on diplomacy with Uganda will worsen soonTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Taarifa kuhusu ziara ya Mhe. Paul Kagame, Rais wa Jamhuri ya Rwanda
Mhe. Paul Kagame, Rais wa Jamhuri ya Rwanda na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, atawasili nchini tarehe 7 Machi 2019 kwa ziara ya kikazi ya siku mbili. Ziara hiyo inafanyika kufuatia mwaliko wa Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ziara hii itatoa fursa kwa viongozi hao wawili kujadiliana masuala mbalimbali kuhusu uhusiano na ushirikiano baina ya nchi hizi mbili. Aidha, Viongozi hao wanatarajia kuzungumzia masuala mbalimbali ya mtangamano katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Mhe. Kagame, Rais wa Jamhuri ya Rwanda, atawasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere saa Tisa Alasiri tarehe 7 Machi 2019 na kupokelewa na mwenyeji wake, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mhe. Rais Kagame anatarajia kuondoka nchini tarehe 8 Machi, 2019.
Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,
Dodoma.
6 Machi 2019
Ujue: Watanzania sio wajinga sana
Huyu dogo ametuaibisha wazee wa mfumo tunae ,tunaanzia kodi ya anachodai kilimoUshirikiano na Utangamano na Mahusiano is bullshit!
KAGAME anataka Magu aongee na MU7 kuhusu waasi ambao anaamini wanasaidiwa na Uganda.
MAGU anataka Kagame ampe tena somo kwa nini blueprint yake ya kufufua ATCL imekuwa a devastating disaster, ndege zinarusha abiria watatu.
View attachment 1039838
Kwa hiyo ?Huyu ndiye mgeni wetu wa kawaida
Anamtembelea muhutu mwenzakeKaribu Paul,utufundishe maujanja zaidi.
HahahaUshirikiano na Utangamano na Mahusiano is bullshit!
KAGAME anataka Magu aongee na MU7 kuhusu waasi ambao anaamini wanasaidiwa na Uganda.
MAGU anataka Kagame ampe tena somo kwa nini blueprint yake ya kufufua ATCL imekuwa a devastating disaster, ndege zinarusha abiria watatu.
View attachment 1039838
HahahaUshirikiano na Utangamano na Mahusiano is bullshit!
KAGAME anataka Magu aongee na MU7 kuhusu waasi ambao anaamini wanasaidiwa na Uganda.
MAGU anataka Kagame ampe tena somo kwa nini blueprint yake ya kufufua ATCL imekuwa a devastating disaster, ndege zinarusha abiria watatu.
View attachment 1039838