Rais wa nchi- member ndani ya JF

Rais wa nchi- member ndani ya JF

Inamaana huko Twita na Fesi Buku ni Slava Rweyemamu ndo ana post..

Anaweza kuwa ni Salva au mtu mwingine yoyote aliyepewa jukumu hilo...lakini kwa consultation ya Rais kwanza
 
mkuu najua kuwa sio yeye anaendika but as long as hiyo account imekuwa verified na ina authority yake tutaamini kila kinachokuwa posted kina baraka zake.

Mkuu binafsi huwa sipendi kiongozi aliye mnafiki...

Kama katika uhalisia wake hakuna lolote analofanya lenye kuonesha matumaini yoyote, sembuse kusoma ngonjera zake atazokuwa akituandikia hapa!!!
 
Muulizeni Kova alipotelea wapi, si alisema anajiunga na JF kufuatilia issues za hapa kitaani? Mama Ze Profeseri Tiba mwenyewe kachemka
 
Muulizeni Kova alipotelea wapi, si alisema anajiunga na JF kufuatilia issues za hapa kitaani? Mama Ze Profeseri Tiba mwenyewe kachemka

kasi ya mchezo ilimshinda
 
JK Alivyo mtundu hakosi kuchungulia humu. Mpangaji yoyote wa ikulu lazima awe na source nyingi za info. hata kama ni za kijinga ndio maana unaona nchi inakwenda au inasonga mbele.
 
unakumbuka uchaguz wa 2010 alivyokimbia mdahalo?:deadhorse::deadhorse::deadhorse:
 
hii ndio JF nimewahi kubishana kwa hoja na kutoleana maneno mazito kumbe mzazi wangu jamani daah ama kweli Jf nouma sana . LONG LIVE JF.
 
kwa ninavyofahamu mimi rais wetu wa JMT ana account twitter na Facebook kwa ajili ya kutoa updates na kukusanya mawazo. vivyo hivyo imekuwa kwa marais wengi kama obama na kagame kuwa na accounts kwenye social networks ambazo ziko verified.
swali je rais wetu ana account JF ambayo iko verified?. hii platform ya hapa nyumbani so kama rais angekuwa member nadhan angeweza kuona muelekeo wa yale wananchi wake wanayoyawaza na kuyafikiria.
kama hana naomba ashauriwe awe nayo. kama anayo naombeni ID yake.
tusupport vya nyumbani wandugu rais akiwa mfano sio tu kuendekeza hayo mafacebook na matwitter
ni hayo tu
aah, ULICHOKOSEA NI KUMTAJA KAGAME WAKATI UNAZUNGUMZIA RAIS WETU KIKWETE, HAPO TU NDIPO ULIPOKOSEA KWA HIYO MIMI SINTOCHANGIA KABISA
 
Back
Top Bottom