Huko FB na Twitter usidhani kuwa aandikaye ni yeye...haitabadilika hata akiwa na ID hapa.
Khaaaaah!!! mbona yuko banned, kwani alifanya kosa gani?
Inamaana huko Twita na Fesi Buku ni Slava Rweyemamu ndo ana post..
mkuu najua kuwa sio yeye anaendika but as long as hiyo account imekuwa verified na ina authority yake tutaamini kila kinachokuwa posted kina baraka zake.
rais wa nje anakusanya maoni kwenye twitter na fb...pathetic shame!!
Marais dunia nzima wanafanya hivyo kwa sasa sioni tatizo
Ndivyo ilivyo dunia nzima.mkuu najua kuwa sio yeye anaendika but as long as hiyo account imekuwa verified na ina authority yake tutaamini kila kinachokuwa posted kina baraka zake.
Mbona tunaye kule MMU kitambo tu!
aah, ULICHOKOSEA NI KUMTAJA KAGAME WAKATI UNAZUNGUMZIA RAIS WETU KIKWETE, HAPO TU NDIPO ULIPOKOSEA KWA HIYO MIMI SINTOCHANGIA KABISAkwa ninavyofahamu mimi rais wetu wa JMT ana account twitter na Facebook kwa ajili ya kutoa updates na kukusanya mawazo. vivyo hivyo imekuwa kwa marais wengi kama obama na kagame kuwa na accounts kwenye social networks ambazo ziko verified.
swali je rais wetu ana account JF ambayo iko verified?. hii platform ya hapa nyumbani so kama rais angekuwa member nadhan angeweza kuona muelekeo wa yale wananchi wake wanayoyawaza na kuyafikiria.
kama hana naomba ashauriwe awe nayo. kama anayo naombeni ID yake.
tusupport vya nyumbani wandugu rais akiwa mfano sio tu kuendekeza hayo mafacebook na matwitter
ni hayo tu