Tatizo la Tanzania ni sisi raia. We are not doing enough kuonyesha dunia ni nini kilitokea kabla na 29/10. Hivi ni nini kinanyima waandishi, vyama vya siasa na kila vikundi na mtu mmoja mmoja wenye kutaka haki itendeke, kufanya utafiti wa siri wa mambo yoye yalitokea na idadi ya wahanga? Kwa kifupi ile ripoti ya babu jinga Chande ilitakiwa kujibiwa na ripoti yenye kuonyesha ukweli wa kilichotokea. Kenya walipata katiba mpya kwa sababu walikuwa very active kuonyesha kilichotokea.
Ndugu, naona uko nyuma ya wakati sana..
Counter attack ya uhuni wa hawa hayawani wa CCM na Samia wao imefanyika na inaendelea kufanyika kwa kasi ya mwanga kuliko kasi yao ya kufunika uchafu na uovu wao. They are totally exposed na ushindi u mikononi mwa umma unaopigania haki na uhuru wa Demokrasia...
Kwa taarifa yako, kabla ya ripoti ya babu Chande; taasisi binafsi, wanaharakati wa haki za binadamu na vyama vya siasa (hapa namaanisha chama kimoja tu - CHADEMA) walishatoa ripoti zao zikionesha ushahidi wa picha, video za watu wakiuwawa, makaburi ya halaiki na idadi ya watu inayofikia zaidi ya 10,000+...
Na ripoti hizo ndo ulizoona zikirushwa na major international medias kama CNN, BBC, Al Jazeera, DW nk. Na kuona hivi, Samia na wahuni wenzake wakaweweseka na kupaniki. Ndo wakaja na alternative way, yaani kuundwa tume magumashi chini ya Babu Chande na kuja na ripoti ya kujaribu kuzima moto lakini badala ya kuzima, ndo tu imeongeza petrol juu ya moto...!
Kwa hiyo, ndo kusema kuwa hiyo ripoti ya babu Chande ilikuwa ni majibu ya ripoti za hawa unaowalaumu kudhani hawafanyii kazi ushenzi huu uliofanywa na Samia na CCM yake. Kama nilivyosema, ripoti ya babu wala haikusaidia lolote zaidi tu kwamba, imefunua uhuni wa Samia na hayawani wenzake...
Na sasa USA na Ulaya kama response ya kazi nzuri ya CHADEMA, taasisi za kumpigania haki na utawala bora, diaspora na wanaharakati wa haki za binadamu wa ndani ya nchi, wanachukua hatua dhidi ya serikali hii haramu na viongozi wake..
Tegemea vilio zaidi kwa hayawani hawa. Lakini watajihami kwa kuua zaidi na zaidi...
Nakuhakikishia hili, kuwa, wasiponyoosha mikono juu kukiri makosa yao, basi watafanya uhalifu mkubwa zaidi na mwisho kabisa watakimbia nchi na wengine tutawakamata na kuwachinja kama walivyochinja wao...