Navenye wenye dini yetu hatukatagi masikhara kabisa dah!
Nchi zingine hayo ni mambo madogo sana...Navenye wenye dini yetu hatukatagi masikhara kabisa dah!
Maswali yako ni mengi ila nitayajibu kwa ufupi, nakubaliana na kauli yako ya mwisho ila ukiwa mtu mwenye ufahamu uliotulia basi hata kama utarithi tamaduni basi iwe ni tamaduni yenye manufaa inayoweza kukunufaisha katika nyanja ambazo dunia kwasasa zimechukua nafasi zaidi kiuchumi na maendeleo mengine.Unajua tamaduni za asili za muafrika na wangapi wanafuata ?
Kuvaa suti , surali na shati ni tamaduni za muafrika ?
Kwenda kanisani nako ni tamaduni za muafrika ?
Hakuna aliyesalimika na kuchukua tamaduni za watu labda utoke nje ya mfumo wa Dunia .