Mateso chakubanga
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 649
- 903
Kutokana na matishio ya kiusalama na matishio ya kumuua Rais Ibrahim Traore wa Burkina faso, kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un amesema serikali yake itaipatia Burkinafaso msaada mkubwa wa kijeshi endapo Taifa lolote la nje litajaribu kuivamia Burkinafaso.
Sambamba na Korea kaskazini nchi za China, Urusi, Iran, Cuba, Pakistan na nchi kadhaa zipo tayari kuisaidia Burkinafaso kulinda uhuru wake na matishio ya nje.
Sambamba na Korea kaskazini nchi za China, Urusi, Iran, Cuba, Pakistan na nchi kadhaa zipo tayari kuisaidia Burkinafaso kulinda uhuru wake na matishio ya nje.