Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Naendelea kusubiri majibu ya Mkandara...
I have a problem na rais wa nchi moja, anapojaribu ku-question uhalali wa kuwepo kwa nchi nyingine, thta is out of civilization na international law, West wana matatizo yao so is the whole world,
lakini ni lazima tukumbuke historia, Hitler alianza hivi hivi Idd Amini alianza hivi, Saddam alianza hivi hivi, na hawa wa-Iran sio muda mrefu uliopita walikuwa vitani kwa hiyo kuna pattern ya behavior ya viongozi wa aina ya huyu Mu-Iran,
Now we can debate tabia za West na unafiki wao, lakini we cannot debate kitakachotokea huyu Mu-Iran akiwa na hilo bomu especially when the man is questioning the exsitence ya nchi nyingine ambayo ni jiran, Now yes kumpa Bush maneno yake ni lovely kwa sisi wanyonge tena plus, lakini kuifuta nchi nyingine kwenye ramani, NO1 that is insane!
Mzee ES,
Unajua mshikaji mimi nimeandika yote yale ktk hoja yangu ya nyuma kwa madhumuni maalum. Jamaa yangu kaupanda mkenge, na vigumu kama mtu hukutumia busara kuelewa nilichoandika. Itabidi nimrudishe darasani.
Mzee mwanakijiji,
Hapo nyuma sikusema Yesu hakufa msalabani?.. soma tena vizurri na utaona hapa tunapishana kuelewa tafsiri ya neno kujitoa Mhanga.
Nachosema mimi Mhanga wa Yesu, sio hukumu aliyopata Yesu - kufa msalabani, ila mhanga wake Yesu ni kosa kama utataka kuliita kosa - alichofanya Yesu na kusababisha hukumu hiyo...
KOSA la YESU ama kwa lugha yangu kujitoa mhanga kwa YESU, ni kutuletea INJILI -neno la Mungu yaani ELIMU ambayo ni pingamizi na mafundisho ya utawala wa dunia ndiko kulikosababisha Yesu akamatwe. Kama asingefundisha Injili - neno la Mungu basi Yesu alikuwa salama na angepeta mitaani kama watu wengine hali elimu ile ingekuwa imepotea na binadamu wote tumepotea. Lakini hakutaka kutuacha watupu na kuendelea kubeba mzigo wa madhambi. Kwa hiyo basi alimua kujitoa muhanga kutufundisha IJNILI hali akijua kwamba hukumu yake ni kifo (kwa electric chair ya wakati huo)... Huu ndio Mhanga wa Yesu na sote leo TUTAOKOKA kama tutafuata mafundisho hayo......siamini kabisa kuwa nikila mkate wa kigiriki na kunywa wine ati mfano wa damu (damn) basi mimi poa kabisa Yesu kisha beba madhambi yote!.. Then why tunafundisha na kusisitiza dini ama kuamini kufanya yaliyo mema na kuepuka mabaya hali Yesu kesha chukua madhambi yetu....
Nooo way naamini Yesu kachukua risk ili mimi kuelewa na kutenganisha kati ya mabaya na mazuri. Elimu ambayo nikiisoma na kuyafuata basi pepo yangu.
Sasa kama wewe dini yako ama imani yako ni kuamini kwamba mhanga wa Yesu ni pale alipokufa msalabani na kuacha sababu iliyomhukumu hilo lako.
Narudi ktk mjadala wetu. Mimi huyu mshirika wa Iran sina haja ya kufahamu kama ni mtu mzuri, shetani ama mwendawazimu ila nimeangalia mafundisho yake. Huyu mshenzi anajitoa mhanga kwa njia yake, kutupa ukweli wa Marekani na mabaya yake na yupo tayari kufa lakini sote tunaelewa nini kibaya. For that, only that namsifia mtu huyu na nitajaribu kuyaangalia mafundisho yake ktk maisha yangu. Tofauti na mtu mwingiine ambaye anaamini, na kumfuata Yesu au Ahmadinejad maisha na hatima yao kuwa mkondo wa imani zao badala ya message waliyotupa hawa watu..
Ukizielewa tofauti hizi za mtazamo kati yetu (mimi na wewe ama wengine)basi utakuwa umenipunguzia kazi kubwa!
KWANZA HIZI NI PUMBA TUPU UMEONGEA!!
PILI HUYO YESU ALIE BEBA ZAMBI ZAKO UKAWA TAYARI UMEOKOKA YEYE NI NANI??
NI MTU ALIE PIGWA HADI KUFA KWA AJILI YAKO?
NI MUNGU KA MNAVYODAI ALIE PIGWA NA WATU HADI KUFA?
MUNGU GANI AKIMBIAE WANADAMU?
NA HAPO MSALABANI AKALIA ELOI ELOI MBONA UMENIACHA ALIOMBA MSADA KWA NANI KAMA YEYE NI MUNGU?
KUHUSU IRANI NA MAREKANI?
MAREKANI NDIO INCHI YA KWANZA DUNIA KUTUMIA BOM NUKLIA DHIDI YA WATU EROSHIMA, VISIWA VYA KYUBA, NAGASAKI ect.
ISRAEL INAMILI NUKLIA KINYUME CHA ADHIMIO LA UMOJA WA MATAIFA KAMA INAVYO MILIKI IRANI JE ?
MBONA MUNALAUMU IRANI TU HALI ISRAEL WANAYO NUKLIA PIA KINYUME NA SHERIA???
ACHENI KUONGEA PUMBAA???
Hamna kitu kibaya kama kughusha mambo ya HISIA; moto wake huwa ni mgumu kuuzima kwani madawa ya kuuzima hayajapatikana. Lakini pia unajidharaulisha "kwa watu makini". Hebu fanya uhariri wa uliyoyaandika, mfano EROSHIMA (HIROSHIMA);
Mkandara,
Castro amenasa kwenye kile wanaita "time warp." Mapinduzi yake yalikuwa ya kihistoria lakini ameshindwa kupiga hatua sawa na mabadiliko kwingineko ulimwenguni. Si kwamba akane sera zake, la hasha, lakini atambue tu kwamba ulimwengu wa sasa sio ule wa mwaka 1958 na arekebishe mwelekeo wa nchi yake na kwamba mapinduzi ya wakyuba si ya uongozi wa mtu mmoja tu. Lakini vinginevyo amekuwa kiboko.[/QUOTE
Hamna kitu kibaya kama kughusha mambo ya HISIA; moto wake huwa ni mgumu kuuzima kwani madawa ya kuuzima hayajapatikana. Lakini pia unajidharaulisha "kwa watu makini". Hebu fanya uhariri wa uliyoyaandika, mfano EROSHIMA (HIROSHIMA);
Sijui kwanini tunazunguka zunguka na hatutaki kukiita "kijiko kijiko"? Barua aliyoandika huyu Rais wa Iran inanikumbusha barua ambayo Mtume alizituma kwa nchi zisizokuwa za Kiislamu na kuwataka wawe tayari kusilimu ama sivyo watakiona cha mtema kuni. Mwaka 628BK (6AH) Muhammad alituma barua kwa watawala wa mashariki ya kati na wale wa nchi za Magharibi zilizokaribu. Barua hii ilikuwa ni mwaliko kwa viongozi hao kupokea Uislamu au watakiona "Pokeeni Uislamu na amani na usalama vitakuwa vyenu".
Muhammad alituma barua hizo kabla ya kufanya mashambulizi. Hiki ndicho ninachokiona. Katika akili zake Rais wa Irani anajiona kuwa ni mwakilishi wa Waislamu wote na anafikiri kuwa wakati umefika wa Waislamu kusimama kidete dhidi ya magharibi na hivyo kuchukua nafasi ya kujenga tena umma wao, nafasi waliyoipoteza baada ya kuvunjika kwa utawala wa Ottoman.
Sasa miye sikutunga dhana hii. Tarehe 10 May (wiki iliyopita) akiwa ziarani Indonesia Rais Ahmedinajad aliulizwa kuhusu barua yake hiyo na waandishi wa habari na alikiri wazi kuwa lengo lilikuwa ni kutoa mwaliko kwa Rais Bush kurudi kwenye imani ya Mungu Mmmoja. Ulaya hawako tayari kushughulika na Iran kwani wao wana jamii ya Waislamu wengi na hawako tayari kuona mabomu yanalipuka tena!!!
Ukweli ni kuwa, Irani haitakuwa na silaha za Nyuklia, Marekani na Israel sasa hivi wameshaanza mazoezi ya kivita (visual war games). Wanachosubiri ni a clear and present threat toka Iran na wanataka Iran iendelee kuwasukuma, ila watakaposhambulia kila mtu ataelewa ni kwa nini. Sitashangaa, wakaacha hadi Irani ijaribu silaha ya Nyuklia au yenye uwezo wa kubeba kichwa cha nyuklia!!!! Halafu, Kaboom!!!
Tukianza kufanya ushabiki wa dini, Hatutafika mbali!
Kwanza lazima mjue wote tunajua kuwa Marekani ina nguvu hakuna asiyejua kama washabiki mnavyofikiri! Sasa kuwa na nguvu isiwe watu iwe taabu duniani? nmara Marekani itawapiga Wairani, mara ilishaua watu wake kwenye bus etc! hapo ni nani mbaya?
Rais wa Irani naye hapaswwi kusema Israel ifutike kwenye ramani ya dunia! Ila ushabiki wa kushabikia Marekani eti simply kwa sababu ina nguvu za kivita!
Basi mwambieni JK aache kabisa kujaribu kupitia mikataba maana wakikataa Marekani na Uk iakuwa upande wao na tukitumia nguvu hapo mtasemaje? maana nguvu za marekani ni kubwa lakini Bush asizitumie vibaya!
Marekani na Uk walikuwa wanaunga mkono Makaburu, lakini leo hii waguse uone! Huko Libya inasemekana Manesi wazungu waliaambuka watoto Virus lakini hadi leo mnasikia Marekani na ulaya wanavyowatetea!
Kinachonumiza kichwa ni unafiki wa hawa jamaa halafu na tunavyogeuzwa vichwa nao!
Labda jadili hili kwa msalho ya taifa letu. Watoto wanapata taabu kumbe wengine wanatesa!
http://www.ippmedia.com/ipp/nipashe/2006/05/18/66665.html