GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,292
- 6,772
Rais wa Ghana John Atta Mills amefariki ghafla wakati akipata matibabu.
Taarifa kutoka afisi ya rais zinasema kuwa alifariki ghafla baada ya kupelekwa hospitali siku ya Jumatatu usiku.
Taarifa zinazohusiana
Afrika
Msaidizi wake pia amethibitisha kufariki kwa kiongozi huyo.
R.I.P John Atta Mills
Sishangai huyo bwana kufa kwa mara ya pili, kinachonishangaza ni
Kufariki ghafla wakati alikuwa mgonjwa.