Rais wa Ghana John Attah Mills afariki

Rais wa Ghana John Attah Mills afariki

Status
Not open for further replies.
Rais wa Ghana John Atta Mills amefariki ghafla wakati akipata matibabu.
Taarifa kutoka afisi ya rais zinasema kuwa alifariki ghafla baada ya kupelekwa hospitali siku ya Jumatatu usiku.
Taarifa zinazohusiana
Afrika
Msaidizi wake pia amethibitisha kufariki kwa kiongozi huyo.

R.I.P John Atta Mills

Sishangai huyo bwana kufa kwa mara ya pili, kinachonishangaza ni
Kufariki ghafla wakati alikuwa mgonjwa.
 
Ha ha haa......mia......kofia alipewa Brazil bana

Kikwete-1.jpg


Rais-JKakikagua-shamba-la-mananasi.jpg


mananasi-yakisafinya-kwa-mauzo-nje-ya-nchi.jpg

Na gana alipewa, ngoja niitafute. mia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom