Si nilisema!! mimi huwa nikimpigia hapokei, kuna siku nilimuuliza swali kuhusu maendeleo ya utalii, kwamba alipokuwa waziri wa mali asili na utalii, aliwafanyia nini watanzania, na pia sera yake ya utalii wa ndani aliiboresha vipi....nikampa aliyekuwa waziri wa usalama/polisi wa hapa (Charles Nqakula),contacts zake, alipopigiwa hakutaka hata kutambuliwa kwanza.........akabwatuka "ulikuwa unasemaje?"
Ngakula aliniuliza "Is he a minister?, Is he a Proffesor?...nilipatwa na aibu sitasahau, alafu ndio nimpigie kura yangu? Hata baadae Mhe.Ngakula alipozuru Tanzania alipokelewa na Dr. Asha-Rose Migiro (Waziri wa Mambo ya Nje Wakati huo kabla ya kumwachia Ben K. Membe)..baadaye ndio "huyu mheshimiwa akajitokeza eti kumpokea mgeni"
Kwenye simu ameku-befriend ukamkataa, amepita kuona mbuga zetu kabla ya kwenda kuwapatanisha warundi na wanyarwanda......hapo ndio unajipendekeza!!!