Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Ndg zangu nashauri tumuombe prof maghembe agombee rais mwaka 2015 kwani ni msomi na katika kipindi alichoo kaa serikalini amefanya mambo makubwa ndiyo maana wizara moja hadi nyingine kila mara nyingine bigup
wakati yupo wazili wa elimu.......vijana wengi tulifeli form 4 na 6 sasa akiwa rahisi si ndio tutafeli kabisa maishaaaa au hulioni hili