Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Watu kadhaa wanaendelea kufa lindi kutkana na balaa nja
huku wakiongea kwa majonzi na wakionyeshwa wanyama wao waliokufa wametapakaa chini kutokana na kutopata vyakula wamesema watanzania
wengi wanakufa na hakuna wanaowajali,,,huku wakibubujikwa na machozi kwenye kijiji cha kiberasho wanasema serikali imewatumia tan 26 ambazo zina uwezo wa ktunza kaya 14 tu wakati kuna kaya zaidi ya 800.....
kwenu wana jf huku mkisherekea sikukuu ya kuzaliwa kwa yesu kristo iwapo unapata mlo kamili kila siku embu wakumbuke watu hawa kwenye sala zako yesu aweze kuzaliwa kwao pia
Nawatakia
XMASS NJEMA WANA LINDI....
huku wakiongea kwa majonzi na wakionyeshwa wanyama wao waliokufa wametapakaa chini kutokana na kutopata vyakula wamesema watanzania
wengi wanakufa na hakuna wanaowajali,,,huku wakibubujikwa na machozi kwenye kijiji cha kiberasho wanasema serikali imewatumia tan 26 ambazo zina uwezo wa ktunza kaya 14 tu wakati kuna kaya zaidi ya 800.....
kwenu wana jf huku mkisherekea sikukuu ya kuzaliwa kwa yesu kristo iwapo unapata mlo kamili kila siku embu wakumbuke watu hawa kwenye sala zako yesu aweze kuzaliwa kwao pia
Nawatakia
XMASS NJEMA WANA LINDI....