akitokea mtu wa kabila la ****** yani sitakubali apewe hata ujumbe wa nyumba kumi.Hivi nyie bado mnapoteza muda kufatilia kauri za Jk? Huyu mdingi kishatia pamba masikioni kiasi kwamba haoni wala hasikii. Sasa hivi anachokifanya akishaona mambo yanazidi kuharibika yeye huyooooooo anaenda zake kutalii huko ng'ambo.
Beaking News ITV na Radio One leo mchana, Jairo amesimamishwa kazi, CAG atafanya uchunguzi wa kifedha Wizarani hapo kuthibitisha kama mashtaka dhidi ya Jairo apelekwe kwa pirato.
Kobello, wewe si umesema ni magamba daima hadi kifo?Mkuu Nyange,
Siku yoyote ukikutana na mtu yoyote yule akakuambia tatizo la umeme limetokana na ukame,muulize hivi:-
"Kwa mara ya kwanza The Great Ruaha ulikauka 1954,ukaanza kukauka 1991 mpaka leo unakauka kilomita 75 toka ihuguru mpaka mtera kila majira ya kiangazi,na tatizo siyo mvua kukosekana,kwani 1997 kulikuwa na mm800 kutokana na EL NINO na bwawa la mtera lilikosa maji kiangazi vilevile na lilijaza maximum ya sentimeta 30 tu" kwanini?
Huyu mtangazaji wa BBC swahili angekuwa more prepared,JK angebanwa vizuri sana,ila ndio hivyo tena!....wamekutana!
YEAH,why?Kobello, wewe si umesema ni magamba daima hadi kifo?
Ulioleta hii mada unam quote Rais out of context, mbona huongei na laivyosema kuwa kwa awamu zote zilizopita umeme uliwekezwa ni 600MW tu na nyingi zinategemea vyanzo vya maji. Na katika kipindi chake kifupi 145MW tayari (si za kutegemea maji) na mitambo mingine ipo njiani ambayp imeagizwa kuanzia June mwaka jana, mipya kabisa. Na uwekezaji mwingine kwenye makaa ya mawe na njia zingine mbadala, mbona yote hayo huyasemi? Au ulitaka mitambo ikiagizwa leo kesho ifanye kazi? Unanshangaza! Kakosea nini hapo na ndivyo vyanzo vya umeme alivyovikuta na mvua zimegoma kujaza mabwawa, hayo ndio baadhi ya matatizo aliyokuta kawachiwa na awamu zilizopita nae anafanya kila njia kuhakikisha anayatatua na mfano mzuri kuwa mitambo imeagizwa na mikataba imesainiwa na jitihada zinafanywa sio kama hazifanywi ulitaka nini zaidi ya hicho?