Huyo ndie JK bana. Wengine walimchagua eti sababu ni handsome...haya sasa..................
Yaani ulitegemea jibu tofauti na alilotoa??
Jaman, ivi hamjawai kumuona kikwete akilalamika? Natamani kujua huwa anamlalamikia nani, kwa sasa nataman sana Tuwe na rais afu tubadilishe jina nchi.