VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Rais wa Liberia,Mwanamama Hellen Johnson Sirleaf,atatua Tanzania siku ya Jumatano ijayo tarehe 18/7/2012 kuitikia mwaliko wa Wanawake wa UDSM.Amealikwa pia na Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo hicho,Dr.Asha-Rose Migiro.Dr.Migiro anaoonekana kujipanga kisiasa katika ziara hii.Anataka kuwaaminisha watanzania kuwa wanawake wanaweza.
Nyaraka zinaonesha kuwa safari ya Rais huyo itaratibiwa na Wanawake wa UDSM,na si Serikali. Hatahivyo,Itifaki itazingatiwa. Rais Sirleaf ni mmoja kati ya Marais wawili wa kike Barani Afrika.Mwingine ni Rais Joyce Banda wa Malawi.Ni mwendo wa kinyonga wa Dr.Migiro?
Nyaraka zinaonesha kuwa safari ya Rais huyo itaratibiwa na Wanawake wa UDSM,na si Serikali. Hatahivyo,Itifaki itazingatiwa. Rais Sirleaf ni mmoja kati ya Marais wawili wa kike Barani Afrika.Mwingine ni Rais Joyce Banda wa Malawi.Ni mwendo wa kinyonga wa Dr.Migiro?