Rais Shein, unaonaje ukifuata nyayo za Rais Magufuli?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Rais Magufuli alipeleka mbele sherehe za Uhuru na Jamhuri ya Tanganyika hapo tarehe 9/12/2015 hadi 9/12/2016. Badala yake, siku hiyo ikawa ni siku ya kazi na ikatumika kufanya usafi wa kitaifa. Tarehe 12/1/2016 ni siku ya Mapinduzi ya Zanzibar. Rais Shein wa Zanzibar, unaonaje ukafuata nyayo za Rais wa Tanzania, Dr. Magufuli?

Nawe ipeleke mbele siku ya Mapinduzi na kuifanya siku ya kazi. Halafu, siku hiyo itumike kujadili mustakabali wa Zanzibar kufuatia mkwamo wa kikatiba na kisheria baada ya kufutwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar. Siku hiyo itumike kutafuta muafaka wa kitaifa.

Ni hayo tu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Na kwa hali ilivyo tete sasa hivi, akipeleka mbele sherehe hizi kwa sababu zozote zile, ataepusha matatizo mengi sana.
 
Itakuwa ni jambo la busara sana kama atafuata nyayo za rais wa tanzania bara ktk kutoaadhimisha sikukuu zisizokuwa na ulazima kufanya shughuli za kijamii.
 
Kule zenji ccm watafanya sherehe hizo ni kama Mipasho kukejeli CUF.Hakuna umuhimu wowote
 

Nawe ipeleke mbele siku ya Mapinduzi na kuifanya siku ya kazi. Halafu, siku hiyo itumike kujadili mustakabali wa Zanzibar kufuatia mkwamo wa kikatiba na kisheria baada ya kufutwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar. Siku hiyo itumike kutafuta muafaka wa kitaifa.

Ni hayo tu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Mzee tupa tupa wa Lumumba MTanzania bara acha kuingilia mambo ya ndani ya Zanzibar.Maswala ya uchaguzi wa Zanzibar si swala la muungano ni la wazanzibari wenyewe.Haliko kwenye katiba ya muungano na mambo ya muungano tuliyokubaliana.Wewe mtanzania bara ukome waachie wazanzibar mambo yao wayaseme wayamalize wenyewe yawe ya sherehe yao kama nchi au ya uchaguzi wao.Shut up
! IT IS NON OF YOUR BUSINESS.
 
Mzee tupa tupa wa Lumumba MTanzania bara acha kuingilia mambo ya ndani ya Zanzibar.Maswala ya uchaguzi wa Zanzibar si swala la muungano ni la wazanzibari wenyewe.Haliko kwenye katiba ya muungano na mambo ya muungano tuliyokubaliana.Wewe mtanzania bara ukome waachie wazanzibar mambo yao wayaseme wayamalize wenyewe yawe ya sherehe yao kama nchi au ya uchaguzi wao.Shut upi IT IS NON OF YOUR BUSINESS.

Mkuu unajua kuwa Sherehe hizi zipo pia kwenye Sheria ya Sherehe za Kitaifa ambayo ni ya Jamhuri nzima? Hata Rais Magufuli anaweza kuipeleka mbele

Mzee Tupatupa
 
Mkuu unajua kuwa Sherehe hizi zipo pia kwenye Sheria ya Sherehe za Kitaifa ambayo ni ya Jamhuri nzima? Hata Rais Magufuli anaweza kuipeleka mbele

Mzee Tupatupa
Magufuli hana uwezo wa kuinngilia sherehe ya mapinduzi ya nchi ya Zanzibar.Hata akienda kwenye sherehe huenda kama mgeni mwalikwa tu.Mkuu wa sherehe hiyo ni Raisi wa Zanzibar.Kuweko kwenye kalenda ya sherehe si kwamba ni yetu inatuhusu kama watanzania bara.Hata KRISMAS iko kwenye kalenda lakini haiwahusu wahindu au waislamu.Idd pia iko kwenye kalenda lakini haiwahusu wakristo
 
Magufuli hana uwezo wa kuinngilia sherehe ya mapinduzi ya nchi ya Zanzibar.Hata akienda kwenye sherehe huenda kama mgeni mwalikwa tu.Mkuu wa sherehe hiyo ni Raisi wa Zanzibar.Kuweko kwenye kalenda ya sherehe si kwamba ni yetu inatuhusu kama watanzania bara.Hata KRISMAS iko kwenye kalenda lakini haiwahusu wahindu au waislamu.Idd pia iko kwenye kalenda lakini haiwahusu wakristo

Soma tena Mkuu. Nasema 'Sheria' si kalenda.

Mzee Tupatupa
 
serikali ya zanzibar haipo kihalali kwa hio wanatafuta kila sherehe wafanye ili wajiongezee uhalali (legitimacy) kupitia vyombo vya habari,magazeti na kupima upepo wageni gani watawasili hapa zanzibar,kwa maana mgeni akiwasili hapa anaitambua serikali hii haramu.

pili: muandishi anasema shein na yeye apeleke mbele tarehe ya sherehe za mapinduzi sisi wanzanibar tlio wengi tunaomba hizi sherehe kisanii zifutwe kabisa na badala yake turudi kusherehekea siku ya uhuru wa zanzibar desemba 10
 
Rais Magufuli alipeleka mbele sherehe za Uhuru na Jamhuri ya Tanganyika hapo tarehe 9/12/2015 hadi 9/12/2016. Badala yake, siku hiyo ikawa ni siku ya kazi na ikatumika kufanya usafi wa kitaifa. Tarehe 12/1/2016 ni siku ya Mapinduzi ya Zanzibar. Rais Shein wa Zanzibar, unaonaje ukafuata nyayo za Rais wa Tanzania, Dr. Magufuli?

Nawe ipeleke mbele siku ya Mapinduzi na kuifanya siku ya kazi. Halafu, siku hiyo itumike kujadili mustakabali wa Zanzibar kufuatia mkwamo wa kikatiba na kisheria baada ya kufutwa uchaguzi mkuu wa Zanzibar. Siku hiyo itumike kutafuta muafaka wa kitaifa.

Ni hayo tu!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Hivi kwsani Zanzibar tayari imeshakuwa koloni la Tanganyika? mn aweza kututawala kuibababe kwa sababu ya wingi wenu na misuli yenu, lakini katu hamtatawal nafsi, itikadi, silka, utamaduni na imani yetu. Hayo mawazo yako yaliofukarika peleka Lumumba. SISI SI MAJUHA
 
Soma tena Mkuu. Nasema 'Sheria' si kalenda.

Mzee Tupatupa


Mzee Tupa mimi mambo ya nchi yetu yananiboa sababu ya UNAFIKI wa watu wenyewe . Mtu anasema mambo ya waZanzibari tuwaachie wenyewe kinamna gani ??????! Wakati tunajua jeuri yoote ya ndugu Shein anategemea Tanganyika japo watu hawapendi kuusema ukweli.

Huo wanaouita mkwamo haukuja bahati mbaya. Ni jambo lililoundwa na sherehe hiyo ni kutafuta kick
 
Magufuli hana uwezo wa kuinngilia sherehe ya mapinduzi ya nchi ya Zanzibar.Hata akienda kwenye sherehe huenda kama mgeni mwalikwa tu.Mkuu wa sherehe hiyo ni Raisi wa Zanzibar.Kuweko kwenye kalenda ya sherehe si kwamba ni yetu inatuhusu kama watanzania bara.Hata KRISMAS iko kwenye kalenda lakini haiwahusu wahindu au waislamu.Idd pia iko kwenye kalenda lakini haiwahusu wakristo
Kazi kweli kweli! So kwanini huku BARA hua tunapumzika siku hiyo!?
 
Back
Top Bottom