bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,371
- 24,596
Zamani wakati saluni hazipoKuna ukweli lakini kuna mabinti wapo tayari kuanza na waume zao na sufuria moja
Zamani wakati saluni hazipoKuna ukweli lakini kuna mabinti wapo tayari kuanza na waume zao na sufuria moja
😂😂😂😂🙌Zamani wakati saluni hazipo
Anajiuliza hakuna ndoa lakini hajiulizi idadi ya watoto wa mtaani na panya road kuthibitisha kwamba uchumi siyo mzuri ajira hakuna watu hata kama hawaoani lakini wanazaana.Rais Samia Hassan ameyazungumza hayo leo katika hafla ya kusimikwa rasmi mkuu wa kanisa la KKKT Askofu Dkt Alex Malasusa katika kanisa la Azania front jijini Dar es Salaam
Rais Samia ameshangazwa kwanini tatizo la vijana kutokuoa au kuolewa linaongezeka nchini Tanzania wakati vijana wamefikia umri wa kuoa na kuolewa
Rais Samia ameshangazwa kwa sasa vijana wa kike ndio wanaohudhuria sana kwenye mambo ya kidini na kuwaacha kundi kubwa la vijana wa kiume wakipotea na hivyo kusababidha ombwe kubwa kwenye jamii
Kwa mujibu wa Rais Samia Hassan,Taarifa ya ripoti ya mahusiano ya jamii inaonyesha maeneo ya mjini tatizo la vijana kutooa na kuolewa linazidi kuwa kubwa zaidi ukilinganisha na vijijini
Aidha Rais Samia amesisitiza kuna migogoro mikubwa sana ndani ya familia hasa ndoa na hivyo kupelekea vijana kulelewa kwa kukosa maadili
Kwa mujibu wa Rais Samia zaidi ya migogoro elfu thelathini na tisa ya ndoa imeripotiwa
Rais Samia amewaomba wa Tanzania warudi kwenye misingi yetu ya asili ambapo vijana walilelewa kwa maadili makubwa sana ,Akitolea mfano enzi zao ilikuwa ngumu sana kwa mwanaume kumtongoza mwanamke na mwanamke akakubali kirahisi rahisi kwani wanawake walikuwa na misimamo tofauti na leo
Rais Samia ameiomba jamii wazazi na walezi kuwafundisha watoto maadili mema kwa kuwapeleka kwenye imani zao ili kuwajengea misingi bora ya ufahamu na maisha hapo baadae
##
Maswali ya kujiuliza kama Taifa,
1.Tatizo la vijana kuoa na kuolewa ni mambo ya maadili kama Rais Samia alivyosema au maisha magumu kwa vijana wa kiume?
2.Lakini kuna vijana wana maisha mazuri mbona hawataki kuoa au kuolewa pia?
Sikumbuki kama kuna mtu kaulizia tatizo la samaki aina ya Ningu kupungua Ziwa Victoria. Kulikoni? Wala hakuna aliyeongea juu ya pundamilia sasa wamejaa pande za Maswa na Meatu, kulikoni? Na tumehuru ya mbowe hivohivo, sikumbuki kuisikia. Totally irrelevant!Vipi kuhusu katiba mpya?
Kampeni ya “Kataa ndoa”, atakuwa anaifahamu maana alishakiri kuwa yumo humu JF😀Kuoa au kuolewa ni hiari ya mtu
Nikuambie ID yake ?Kampeni ya “Kataa ndoa”, atakuwa anaifahamu maana alishakiri kuwa yumo humu JF😀
Yes please, go ahead…Nikuambie ID yake ?
Wanawake kujaa makanisani si kwamba wanamjua Mungu wengi shida zao zikishaisha na kanisani wanakata mguu.
Binti akiwa na shida ya ndoa hakosi kanisani Mungu asikie kilio chake sasa kwa kumpatia Mme au kazi kanisa ugeuka kituo Cha polisi.
Maza naye alikuwa member wa hapa?Kampeni ya “Kataa ndoa”, atakuwa anaifahamu maana alishakiri kuwa yumo humu JF😀
Kumbe waliooa walikua wanatafuta Mbunye.Mbunye kupatikana imekuwa rahisi sana, Mademu wanauza Mbususu kwa mafungu.
HALI YA MAISHA KUWA NGUMU IMEFANYA VIJANA WASIOE PIA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Aliwahi kusema huwa anapita humu. Sasa sijui kama ni member au bado.Maza naye alikuwa member wa hapa?
Mam kimkaz hali ni ngumuRais Samia Hassan ameyazungumza hayo leo katika hafla ya kusimikwa rasmi mkuu wa kanisa la KKKT Askofu Dkt Alex Malasusa katika kanisa la Azania front jijini Dar es Salaam
Rais Samia ameshangazwa kwanini tatizo la vijana kutokuoa au kuolewa linaongezeka nchini Tanzania wakati vijana wamefikia umri wa kuoa na kuolewa
Rais Samia ameshangazwa kwa sasa vijana wa kike ndio wanaohudhuria sana kwenye mambo ya kidini na kuwaacha kundi kubwa la vijana wa kiume wakipotea na hivyo kusababidha ombwe kubwa kwenye jamii
Kwa mujibu wa Rais Samia Hassan,Taarifa ya ripoti ya mahusiano ya jamii inaonyesha maeneo ya mjini tatizo la vijana kutooa na kuolewa linazidi kuwa kubwa zaidi ukilinganisha na vijijini
Aidha Rais Samia amesisitiza kuna migogoro mikubwa sana ndani ya familia hasa ndoa na hivyo kupelekea vijana kulelewa kwa kukosa maadili
Kwa mujibu wa Rais Samia zaidi ya migogoro elfu thelathini na tisa ya ndoa imeripotiwa
Rais Samia amewaomba wa Tanzania warudi kwenye misingi yetu ya asili ambapo vijana walilelewa kwa maadili makubwa sana ,Akitolea mfano enzi zao ilikuwa ngumu sana kwa mwanaume kumtongoza mwanamke na mwanamke akakubali kirahisi rahisi kwani wanawake walikuwa na misimamo tofauti na leo
Rais Samia ameiomba jamii wazazi na walezi kuwafundisha watoto maadili mema kwa kuwapeleka kwenye imani zao ili kuwajengea misingi bora ya ufahamu na maisha hapo baadae
##
Maswali ya kujiuliza kama Taifa,
1.Tatizo la vijana kuoa na kuolewa ni mambo ya maadili kama Rais Samia alivyosema au maisha magumu kwa vijana wa kiume?
2.Lakini kuna vijana wana maisha mazuri mbona hawataki kuoa au kuolewa pia?
Kazi zipi mkuu? Hizi ambazo MPENDWA WETU MKUU CDF ametupa alert kua zimejazwa wakimbiziLeo mnawaambia waoe kuwapa kazi hamtaki mnasema wakafuge kuku yaani kila kitu lawama kwa vijana!!!!