Rais Samia, viatu vya Magufuli vimekufaa

My Son drink water

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
4,932
13,283
Rais Samia, wala usihofu, hatuoni wapi ambako viatu vya Hayati Magufuli vimekupwaya, unapodai eti havijakufaa hivyo viatu wakati tangu Mungu alipomtwaa Magufuli kila kitu kipo vile vile ndo kwanza unaboresha.

Wakati Magufuli akiwa madarakani,Sukari kg moja ilikuwa Tsh3,000,na haijashuka hadi sasa.

Nyama ilikuwa Tsh 7,000 na haijashuka hadi sasa.

Kipande cha sabuni kilikuwa Tsh 400, sasa kimepanda hadi Tsh 500.

Mafuta ya kula yalikuwa Tsh 5000 kwa lita sasa hivi yamepanda hadi Tsh 7000 kwa lita.

Demokrasia haikuwepo,na hata sasa haipo, Mbowe kudai katiba mpya,ikawa nongwa mkampa kesi ya Ugaidi.

Uhuru wa Habari haukuwepo na hata sasa haupo.

Magufuli alinunua ndege ambazo hazina Tija kwa Taifa,na wewe umeendelea kununua ndege,ni kichekesho kweli,tangu lini Serikali ikafanya Biashara?

Yaani viatu vya Magufuli vimekufaa hadi kupitiliza,ndo kwanza umezidi kuyafanya maisha ya Watanzania kuwa magumu kwa kuleta Tozo za miamala ya simu.

Wapi ambako viatu vya Hayati Magufuli havijakufaa?
 
Rais Samia, wala usihofu, hatuoni wapi ambako viatu vya Hayati Magufuli vimekupwaya, unapodai eti havijakufaa hivyo viatu wakati tangu Mungu alipomtwaa Magufuli kila kitu kipo vile vile ndo kwanza unaboresha.

Wakati Magufuli akiwa madarakani,Sukari kg moja ilikuwa Tsh3,000,na haijashuka hadi sasa.

Nyama ilikuwa Tsh 7,000 na haijashuka hadi sasa.

Kipande cha sabuni kilikuwa Tsh 400, sasa kimepanda hadi Tsh 500.

Mafuta ya kula yalikuwa Tsh 5000 kwa lita sasa hivi yamepanda hadi Tsh 7000 kwa lita.

Demokrasia haikuwepo,na hata sasa haipo, Mbowe kudai katiba mpya,ikawa nongwa mkampa kesi ya Ugaidi.

Uhuru wa Habari haukuwepo na hata sasa haupo.

Magufuli alinunua ndege ambazo hazina Tija kwa Taifa,na wewe umeendelea kununua ndege,ni kichekesho kweli,tangu lini Serikali ikafanya Biashara?

Yaani viatu vya Magufuli vimekufaa hadi kupitiliza,ndo kwanza umezidi kuyafanya maisha ya Watanzania kuwa magumu kwa kuleta Tozo za miamala ya simu.

Wapi ambako viatu vya Hayati Magufuli havijakufaa?
Ukweli mtupu !

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Mkuu umepita mulemule, umesahau haya pia
  • hakuna mikutano ya hadhara hadi 2025
  • kukamata wachora katuni
  • kesi za uchochezi nazo zimeongezekaa
 
Rais Samia, wala usihofu, hatuoni wapi ambako viatu vya Hayati Magufuli vimekupwaya, unapodai eti havijakufaa hivyo viatu wakati tangu Mungu alipomtwaa Magufuli kila kitu kipo vile vile ndo kwanza unaboresha.

Wakati Magufuli akiwa madarakani,Sukari kg moja ilikuwa Tsh3,000,na haijashuka hadi sasa.

Nyama ilikuwa Tsh 7,000 na haijashuka hadi sasa.

Kipande cha sabuni kilikuwa Tsh 400, sasa kimepanda hadi Tsh 500.

Mafuta ya kula yalikuwa Tsh 5000 kwa lita sasa hivi yamepanda hadi Tsh 7000 kwa lita.

Demokrasia haikuwepo,na hata sasa haipo, Mbowe kudai katiba mpya,ikawa nongwa mkampa kesi ya Ugaidi.

Uhuru wa Habari haukuwepo na hata sasa haupo.

Magufuli alinunua ndege ambazo hazina Tija kwa Taifa,na wewe umeendelea kununua ndege,ni kichekesho kweli,tangu lini Serikali ikafanya Biashara?

Yaani viatu vya Magufuli vimekufaa hadi kupitiliza,ndo kwanza umezidi kuyafanya maisha ya Watanzania kuwa magumu kwa kuleta Tozo za miamala ya simu.

Wapi ambako viatu vya Hayati Magufuli havijakufaa?
Mabadiliko ya Nchi ni makubwa siyo kama unachoandika kwa kejeli hapa. Viko vingine hutoweza kuviona overnight ila vitakuja kama multiplier baadaye.

Hata hivyo wengi wanampima Rais na kumdhihaki kwa kesi ya Mbowe. Uzuri Mbowe ni mtuhumiwa tu wa matukio ya mwaka 2020 sioni Rais SSH anaingiaje hapa. Isitoshe yuko kwenye Mahakama.

Yule Magufuli yeye alikuwa anatuma kikundi cha WASIOJULIKANA kinakuteka na kukuua kama Ben Saanane au Azory Gwanda. Au namna Lissu alivyoshmbuliwa kwa risasi 16.
 
Rais Samia, wala usihofu, hatuoni wapi ambako viatu vya Hayati Magufuli vimekupwaya, unapodai eti havijakufaa hivyo viatu wakati tangu Mungu alipomtwaa Magufuli kila kitu kipo vile vile ndo kwanza unaboresha.

Wakati Magufuli akiwa madarakani,Sukari kg moja ilikuwa Tsh3,000,na haijashuka hadi sasa.

Nyama ilikuwa Tsh 7,000 na haijashuka hadi sasa.

Kipande cha sabuni kilikuwa Tsh 400, sasa kimepanda hadi Tsh 500.

Mafuta ya kula yalikuwa Tsh 5000 kwa lita sasa hivi yamepanda hadi Tsh 7000 kwa lita.

Demokrasia haikuwepo,na hata sasa haipo, Mbowe kudai katiba mpya,ikawa nongwa mkampa kesi ya Ugaidi.

Uhuru wa Habari haukuwepo na hata sasa haupo.

Magufuli alinunua ndege ambazo hazina Tija kwa Taifa,na wewe umeendelea kununua ndege,ni kichekesho kweli,tangu lini Serikali ikafanya Biashara?

Yaani viatu vya Magufuli vimekufaa hadi kupitiliza,ndo kwanza umezidi kuyafanya maisha ya Watanzania kuwa magumu kwa kuleta Tozo za miamala ya simu.

Wapi ambako viatu vya Hayati Magufuli havijakufaa?
Kama unadhani iko siku utamuona Samia anakula hindi hadharani au kununua jogoo unapoteza muda.

Huo USHAMBA hautarudi Tanzania tena, tuliuzika na lile dubwasha la Chato tarehe 26/ 03/ 2021
 
Back
Top Bottom