Rais Samia unalea tabia zitakazokutesa mwenyewe

Rais Samia unalea tabia zitakazokutesa mwenyewe

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
17,178
Reaction score
41,625
Kitendo cha Sheikh kusimama na kusema mtu yaani Lissu anyongwe halafu ukakaa kimya bila kukemea pale pale inaleta picha mbaya

1. Rais ni National comforter
2. Rais ni Miezi wa nchi
3. Rais anapaswa kuunganisha watu si kuachia chuki zikaenea,

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM pale Kawe ilikuwa ni fursa ya kuchukua sifa kwa kutamka kwamba angalau tusimnyonge mtu bila ushahidi, Lakin uka-smile

Hatujakaa Sawa ukaona kijana wa UVCCM anasema Lissu apotezwe maana watanzania wapo 63M hivyo kumnyonga Lissu haipunguzi lolote

Kauli hizo si SALAMA


Britanicca
 
Kitendo cha Sheik kusimama na kusema mtu yaan Lissu anyongwe alafu ukakaa kimya bila kukemea pale pale Inaleta picha mbaya

1. Rais ni National comforter
2. Rais ni Miezi wa nchi
3. Rais anapaswa kuunganisha watu si kuachia chuki zikaenea,

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM pale kawe ilikuwa ni fursa ya kuchukua sifa kwa kutamka kwamba angalau tusimnyonge mtu bila ushahidi, Lakin uka smile

Hatujakaa Sawa ukaona kijana wa UVccm anasema Lissu apotezwe maana watanzania wapo 63M hivo kumnyonga lissu haipunguzi lolote

Kauli hizo si SALAMA


Britanicca
Usimuamshe alielala, she is surounded by snakes
 
Kitendo cha Sheik kusimama na kusema mtu yaan Lissu anyongwe alafu ukakaa kimya bila kukemea pale pale Inaleta picha mbaya

1. Rais ni National comforter
2. Rais ni Miezi wa nchi
3. Rais anapaswa kuunganisha watu si kuachia chuki zikaenea,

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM pale kawe ilikuwa ni fursa ya kuchukua sifa kwa kutamka kwamba angalau tusimnyonge mtu bila ushahidi, Lakin uka smile

Hatujakaa Sawa ukaona kijana wa UVccm anasema Lissu apotezwe maana watanzania wapo 63M hivo kumnyonga lissu haipunguzi lolote

Kauli hizo si SALAMA


Britanicca
Hao ni ndege wafananao mkuu Lao moja kuanzia Mwamposa yeye na wengineo
 
Kitendo cha Sheik kusimama na kusema mtu yaan Lissu anyongwe alafu ukakaa kimya bila kukemea pale pale Inaleta picha mbaya

1. Rais ni National comforter
2. Rais ni Miezi wa nchi
3. Rais anapaswa kuunganisha watu si kuachia chuki zikaenea,

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM pale kawe ilikuwa ni fursa ya kuchukua sifa kwa kutamka kwamba angalau tusimnyonge mtu bila ushahidi, Lakin uka smile

Hatujakaa Sawa ukaona kijana wa UVccm anasema Lissu apotezwe maana watanzania wapo 63M hivo kumnyonga lissu haipunguzi lolote

Kauli hizo si SALAMA


Britanicca
SASHA anajisahau sana Kwa kiburi Cha Madaraka
 
Lissu anastahili atandewe haki yake kisheria , mahakama isipotoa hukumu ya kumnyonga itakua imemdhulumu Lissu haki yake
 
Kitendo cha Sheik kusimama na kusema mtu yaan Lissu anyongwe alafu ukakaa kimya bila kukemea pale pale Inaleta picha mbaya

1. Rais ni National comforter
2. Rais ni Miezi wa nchi
3. Rais anapaswa kuunganisha watu si kuachia chuki zikaenea,

Mheshimiwa Mwenyekiti wa CCM pale kawe ilikuwa ni fursa ya kuchukua sifa kwa kutamka kwamba angalau tusimnyonge mtu bila ushahidi, Lakin uka smile

Hatujakaa Sawa ukaona kijana wa UVccm anasema Lissu apotezwe maana watanzania wapo 63M hivo kumnyonga lissu haipunguzi lolote

Kauli hizo si SALAMA


Britanicca
Ndiyo anawatuma
 
Lissu anastahili atandewe haki yake kisheria , mahakama isipotoa hukumu ya kumnyonga itakua imemdhulumu Lissu haki yake
Isaidie mahakama kipengele cha ushaidi ili Lisu apatiwe haki yake mapema.


Kusota rumande NI kero kwake . SASA NI wakati WA kupumzika kaburini


Uhaini umetekelezwq na mtu mmoja.
 
Back
Top Bottom