johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,522
Enzi za Albert Mnali 😂Nakazia
Enzi za Albert Mnali 😂Nakazia
Hili hatafanya na mimi nataka iwe hivyo ili watu wengi zaidi wapate somo kuhusu CCM.amtengue basi kama haafiki ushenzi huu
Huu sasa ndiyo woga wenyewe tena wa kijinga. Mwenyekiti wa ulinzi na usalama anaruhusiwa kupiga watu viboko? Kama ana kosa atumie sheria. Narudia tena. Ingekuwa ni mimi basi pengine ungekuwa ndiyo mwisho wangu na yeye wa kuishi hapa duniani.Kumbuka huyo ni mwenyekit wa ulinzi na usalama ukibishana naye hapo basi umeitafuta shari na jeshi la polisi katika eneo lake nanwaweza kupotea kabisa
Acha kuchochea ujinga!Kumbuka huyo ni mwenyekit wa ulinzi na usalama ukibishana naye hapo basi umeitafuta shari na jeshi la polisi katika eneo lake nanwaweza kupotea kabisa
Uhusika wake ni poor vetting process. Unaweka madarakani hata vichaaIla na sisi watanzania tumezidi ukondoo. Hii nisingekubali kwa hali yoyote na pengine ndiyo ingekuwa mwisho wangu na yeye. Ujinga gani! Hapa Samia pamoja na ubaya wake lakini hahusiki kwa vyovyote.
Yaani hata wewe unaogopa kumtaja Samia unaishia kusema 'huyo....huyo' pamoja na kwamba unatumia jina bandia!Wakuchukua hatua hawezi kuwa huyo uliye mtaja , hanaga muda na hayo mambo huyo
Nakuhakikishia siyo kichaa na jamaa ni mzima kweli kweli ila anajua hawa wananchi ni manyumbu. Kwa hiyo unaweza kusema sisi wananchi ndiyo vichaa wa ujinga.Uhusika wake ni poor vetting process. Unaweka madarakani hata vichaa
😂😂😂😂😹😹😹
Nchi ngumu sana hii..!!
Aah wapi hawezi kukupoteza kama unajua sheriaKumbuka huyo ni mwenyekit wa ulinzi na usalama ukibishana naye hapo basi umeitafuta shari na jeshi la polisi katika eneo lake nanwaweza kupotea kabisa
Haikua sahihi kabisaa, hili lingetokea kwetu, mbona hadi sahivi huyo Kihongosi angekua mavumbini km sio ana kilema cha kudumu maishani kwake.Imagine mtoto wako anakuona baba unachapwa viboko na mtoto mdogo kihongosi
Mpaka leo kawa RC. Inamaana mamlaka ziliona anachokifanya ni sahihi maana huwezi mpromote mtu mpuuzi kama huyu anaenda kinyume na sheria,taratibu na kanuni afu mara paap unasikia ni RCMkuu, hii ni ya zamani sana. Wakati huo Kihongosi alikuwa DC Arusha. Kwasasa amekuwa RC hukohuko.
Kimsingi, kitendo kilichofanyika kilikuwa ni kinyume cha sheria, taratibu na kanuni. Sijui kwanini waathiriwa hawakumburuza mahakamani.