Pridah
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 1,996
- 4,010
Ukweli ni kwamba KILA MTANZANIA (Hasa WANAUME) alipaswa kula hii mikwaju kasoro LISSU tu.
Ukweli ni kwamba KILA MTANZANIA (Hasa WANAUME) alipaswa kula hii mikwaju kasoro LISSU tu.
Anabonda majizi kistaarabu!Sidhani kama utafurahia anachokifanya mteule wako. Haya tuliyaona wakati wa ukoloni, ma Dc kuwachapa weusi vibok! Usiiruhusu!
Hii nimeipenda sana yaan ifike hatua hata yeye akipananga awekwe Chini apigwe bakora za Matako sio hao tuSidhani kama utafurahia anachokifanya mteule wako. Haya tuliyaona wakati wa ukoloni, ma Dc kuwachapa weusi vibok! Usiiruhusu!
Hizi hizi. Angalau ujumbe tu utumweMahakama hizi hizi zinazonpokea oda? Au mahakama zipi ndugu yangu
Mkuu, hao waliochapwa walikuwa wafanyabiashara wa kununua vyuma chakavu.viboko kwa kutokamisha miradi ya serikali, but Mselelwa anasema ni ya zamani akiwa DC arusha and now he is the RC
Nakazia,Samia hakumtuma huyo mwenye Afya mbovu ya Akili!Ila na sisi watanzania tumezidi ukondoo. Hii nisingekubali kwa hali yoyote na pengine ndiyo ingekuwa mwisho wangu na yeye. Ujinga gani! Hapa Samia pamoja na ubaya wake lakini hahusiki kwa vyovyote.
Watu wanaongea tu, geuka umshike shati ndio utajua hujui.Kumbuka huyo ni mwenyekit wa ulinzi na usalama ukibishana naye hapo basi umeitafuta shari na jeshi la polisi katika eneo lake nanwaweza kupotea kabisa
Maana yake nchi hii haina vetting. Mamlaka zinazojielewa haziwezi kuteua mtu huyu maishaMkuu, hii ni ya zamani sana. Wakati huo Kihongosi alikuwa DC Arusha. Kwasasa amekuwa RC hukohuko.
Kimsingi, kitendo kilichofanyika kilikuwa ni kinyume cha sheria, taratibu na kanuni. Sijui kwanini waathiriwa hawakumburuza mahakamani.