Rais Samia: Tunataka Mwanza iwe kitovu cha biashara nchi za maziwa makuu

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,445
7,813
Rais Samia: Tunataka Mwanza iwe kitovu cha biashara nchi za maziwa makuu, lazima tuiendeleze Mwanza iwe kitovu majirani wasitupite. Yale yote yaliyopangwa na serikali ya Mkoa wafuateni nayo, Serikali kuu tuko nyuma yenu tunakwenda kumaliza shida zilizobakia.

Najua kuna ahadi ya mpendwa wetu Marehemu ya barabara km 12.4, niwaahidi tunakwenda kuifanyia kazi, atakuja mkandarasi.Najua katika maeneo yenu umeme unakatika mara kwa mara, jawabu ya hili ni kuja kuongeza nguvu na kujenga kituo kidogo cha kufua umeme ndani ya mji wa Mwanza, tutamtaka waziri wa Nishati aje kuondosha tatizo.
 
Tangu Hayati Magufuli kufariki mama ni kama vile kaipa kisogo mikoa ya maziwa makuu, huwa najiuliza ni lini ataanza ziara za mikoani?
 
Rais Samia: Tunataka Mwanza iwe kitovu cha biashara nchi za maziwa makuu, lazima tuiendeleze Mwanza iwe kitovu majirani wasitupite. Yale yote yaliyopangwa na serikali ya Mkoa wafuateni nayo, Serikali kuu tuko nyuma yenu tunakwenda kumaliza shida zilizobakia.

Najua kuna ahadi ya mpendwa wetu Marehemu ya barabara km 12.4, niwaahidi tunakwenda kuifanyia kazi, atakuja mkandarasi.Najua katika maeneo yenu umeme unakatika mara kwa mara, jawabu ya hili ni kuja kuongeza nguvu na kujenga kituo kidogo cha kufua umeme ndani ya mji wa Mwanza, tutamtaka waziri wa Nishati aje kuondosha tatizo.
kheee
chato sio kitovu tena?
ccm walipanga chato ndio iwe kitovu.. imekuwaje tena
 
lazima tuiendeleze Mwanza iwe kitovu majirani wasitupite.


"Majirani wasitupite"---- Maneno ya aina hii unayapoyazungumza hadharani ni ngumu sana kufikia hiyo azima. Hayo yanatakiwa yawe maneno ya ndani (inside words), mbona hatuwasikiagi WENZETU wakitamka maneno kama hayo hadharani??!!.😱
 
Rais Samia: Tunataka Mwanza iwe kitovu cha biashara nchi za maziwa makuu, lazima tuiendeleze Mwanza iwe kitovu majirani wasitupite. Yale yote yaliyopangwa na serikali ya Mkoa wafuateni nayo, Serikali kuu tuko nyuma yenu tunakwenda kumaliza shida zilizobakia.

Najua kuna ahadi ya mpendwa wetu Marehemu ya barabara km 12.4, niwaahidi tunakwenda kuifanyia kazi, atakuja mkandarasi.Najua katika maeneo yenu umeme unakatika mara kwa mara, jawabu ya hili ni kuja kuongeza nguvu na kujenga kituo kidogo cha kufua umeme ndani ya mji wa Mwanza, tutamtaka waziri wa Nishati aje kuondosha tatizo.
Tuliza boli nyie hamna bahari vipi iwe kitovu cha biashara ,munaanza muhemuko tena.
 
Back
Top Bottom