Wana Dar es Salaam tuna changamoto nyingi sana. Lakini ya barabara imekithiri sana. Tunaomba ziara Dar es Salaam tukueleze shida zetu. Dar es Salaam ina barabara zinachongwa kwa mwaka zaidi ya mara tatu kwa gharama kubwa, lakini barabara ikishachongwa inakaa kwa siku tatu hadi tano tu baada ya hapo inakuwa mahandaki.
Kumbuka kila barabara ikichongwa ni pesa nyingi inatumika. Uchongaji wa barabara hizi kila mwaka zaidi ya mara tatu unajenga taswira mbaya na kusababisha sisi raia kujiuliza, kweli hawa wanaotoa tenda wataweza kupendekeza hizi barabara ziwekewe lami? Na zikiwekewa lami mirija ya watu haitakufa?
Tunajiuliza pia kuwa iweje barabara za TANROADS kwa mkoa wa Dar ambao unatengeneza uchumi wa Tanzania ziwe mbovu kiasi hichi?
Tunaomba Mheshimiwa rais hili liangaliwe kwa macho ya ziada ili kuondoa barabara mbovu za TANROADS katika mkoa wa Dar es Salaam kwa maana ni hasara kubwa kwa nchi na inasababisha ugumu wa maisha kwa wakazi wa DSM, watu wanachelewa kufika makazini na matengenezo ya magari yanakuwa juu sana.
Wilaya ya Ubungo especially jimbo la Kibamba ndo lianongoza kwa barabara mbovu katika mkoa wa DSM. Napata shida sana kuona kuwa hili ndo jimbo ambalo liko usoni mwa jiji lakini barabara zake za TANROADS ni mbovu kabisa.
Kumbuka kila barabara ikichongwa ni pesa nyingi inatumika. Uchongaji wa barabara hizi kila mwaka zaidi ya mara tatu unajenga taswira mbaya na kusababisha sisi raia kujiuliza, kweli hawa wanaotoa tenda wataweza kupendekeza hizi barabara ziwekewe lami? Na zikiwekewa lami mirija ya watu haitakufa?
Tunajiuliza pia kuwa iweje barabara za TANROADS kwa mkoa wa Dar ambao unatengeneza uchumi wa Tanzania ziwe mbovu kiasi hichi?
Tunaomba Mheshimiwa rais hili liangaliwe kwa macho ya ziada ili kuondoa barabara mbovu za TANROADS katika mkoa wa Dar es Salaam kwa maana ni hasara kubwa kwa nchi na inasababisha ugumu wa maisha kwa wakazi wa DSM, watu wanachelewa kufika makazini na matengenezo ya magari yanakuwa juu sana.
Wilaya ya Ubungo especially jimbo la Kibamba ndo lianongoza kwa barabara mbovu katika mkoa wa DSM. Napata shida sana kuona kuwa hili ndo jimbo ambalo liko usoni mwa jiji lakini barabara zake za TANROADS ni mbovu kabisa.