Ungekuwa na hela nyingi usingekuwa unajipinda hapa kuandika magazetiNina hela nyingi
Njoo shambani kwangu Ngara uwe kibarua
Ali Kamwe huyu huyu au mwingine?Ali Kamwe kamfitinisha mkuu wa mkoa kwa Rais, ndiyo sababu ameamua naye amshughulikie kabla yake.
Hapa nani ataumia?Ali Kamwe kamfitinisha mkuu wa mkoa kwa Rais, ndiyo sababu ameamua naye amshughulikie kabla yake.
Unadhani masikini kama wewe utapata wapi akili za kuchambua mambo Kwa umakini kama sisi matajiri wa kipato na akili
Ukitoa wewe tajiri mla gambe hebu taja tajiri yeyote anayejipinda kuandika magazeti hapa jf..Unadhani masikini kama wewe utapata wapi akili za kuchambua mambo Kwa umakini kama sisi matajiri wa kipato na akili
Wewe masikini wa akili na kipato upo busy kila siku kusoma nyuzi zangu na kujifunza maarifa mapyaUkitoa wewe tajiri mla gambe hebu taja tajiri yeyote anayejipinda kuandika magazeti hapa jf..
Angalizo: usimtaje Lucas Mwashambwa kisa Mnafanana miandiko😂
Eti Rais amtengue, kwa kosa gani,?Bwana Paul Chacha ni mkuu wa mkoa ambaye anamchafua mheshimiwa Rais Samia makusudi
Analeta ubabe wake wa Kikurya kwenye mambo ya football
Alitukana Yanga wana kiherehere na wanahonga wachezaji, ambazo hizo ni Tuhuma chafu sana alitaka ajibiwe vipi?
Yaani aje kishabiki halafu kumjibu Yanga waogope cheo chake au v8 ya serikali, hiyo ni never
Viongozi kuwa na upande sio dhambi, mbona wapo na wanaheshika kuwa wapo aidha Simba au Yanga
Waziri Mkuu Casim Majaliwa huyu anajulikana ni Simba na Kwa mamlaka yake angeweza kuwa anawaweka kizuizini viongozi wa Yanga ila yupo vizuri, anapata heshima ya mashabiki wa Simba na Yanga na hajawahi kutoa kauli za kukejeli Yanga, na pia ni mlezi wa Namungo FC
Speaker wa Bunge Tulia Akson ni kiongozi mkuu wa mhimili wa Bunge lakini hakuwahi kuongelea vibaya Yanga japo ni Shabiki wa Simba kindakindaki, Huwa anawaalika Yanga bungeni, Kwa mamlaka yake angezuia Yanga wasifike hata Bungeni
Mh Ali Zungu naibu speaker huyu ni mbunge wa Ilala, zinapotoka Simba na Yanga zipo kwenye Jimbo lake ila hajawahi kutoa kauli ya kifedhuli dhidi ya Yanga na anaheshimika vizuri tu
Jakaya Kikwete, Rais Mstaafu Huyu ni Yanga lakini hajawahi kutoa kauli ya kipumbavu au maudhi Kwa Simba, kipindi chake Simba alitawala soccer la TANZANIA lakini hakuleta hujuma na kuibeba Yanga
Mwana FA, huyu ni naibu waziri wa michezo na m Wanachama wa Simba pamoja na yote hajawahi kutoa kauli ya kipumbavu dhidi ya Yanga na anaheshimika vyema
Albert Chalamila Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam huyu ni Yanga na timu zote zinatokea mkoa wake haijawahi kutoa kauli ya kipumbavu Kwa Simba, na wanasimba wanamheshimunpamoja na kujua kama yeye ni Yanga
Jerson Musigwa, karibu wa Wizara ya Michezo huyu ni Yanga ila anaheshimika na Simba Kwa kuwa ana busara
Tabora sio timu pekee ambayo Yanga amecheza
Yanga amecheza na Namungo Lindi,
Yanga amecheza na Fountain Gate Manyara
Yanga amecheza dhidi Singida Black Star Singada
Yanga amecheza na Coast union Tanga
Yanga amecheza na Kagere sugar Kagera
Yanga amechezana prison Mbeya
Yanga mecheza na Pamba Mwanza
Yanga amecheza na Mashujaa Kigoma
Mbona huku kote watendaji wa Yanga hawakugombana na wateule wa mheshimiwa Rais
Rais Samia tengua Chacha Tabora naamini una Stock ya watendaji wengine wenye hekima na busara
Mwenye ile video ya manara akimkoromea askari magereza, idondoshe hapa tafadhaliHalafu vijana wa nchi hii wanapopata umaarufu kidogo basi hujaa KIBURI. Huyu Ali Kamwe naona anafuata nyayo za Manara ambaye alimkoromea live Karia na akaja kumkoromea live Askari Magereza.
Ali Kamwe angekuwa na umaarufu wa Diamond ingekuaje sijui
Weka hapa orodha ya matajiri wenye mihemko kama yako ya kuandika gazeti hapa jf ili tuwajue... tajiri asiye na utajiri na timu yako ya matajiri wenza like you wataje hapa 🐸🐸🐸wenzioWewe masikini wa akili na kipato upo busy kila siku kusoma nyuzi zangu na kujifunza maarifa mapya
We bwege mkuu wa mkoa ni mtu mkubwa, yuko pale kwa niaba ya Rais, mlivyo hamna adabu mtakuja kumtukana ht Rais kisa ushabiki. Tabora ni mkoa wake kiutawala lazima mumheshimu. Katoto km Ally Kamwe ni wa kumtukana RC? Kwanza ht kiumri ni km babake, hii nchi mnataka kuipeleka wapi nyie vitoto vyenye laana? Utafikiri mmezaliwa jalalani. Umeandika matope nyambaf weBwana Paul Chacha ni mkuu wa mkoa ambaye anamchafua mheshimiwa Rais Samia makusudi
Analeta ubabe wake wa Kikurya kwenye mambo ya football
Alitukana Yanga wana kiherehere na wanahonga wachezaji, ambazo hizo ni Tuhuma chafu sana alitaka ajibiwe vipi?
Yaani aje kishabiki halafu kumjibu Yanga waogope cheo chake au v8 ya serikali, hiyo ni never
Viongozi kuwa na upande sio dhambi, mbona wapo na wanaheshika kuwa wapo aidha Simba au Yanga
Waziri Mkuu Casim Majaliwa huyu anajulikana ni Simba na Kwa mamlaka yake angeweza kuwa anawaweka kizuizini viongozi wa Yanga ila yupo vizuri, anapata heshima ya mashabiki wa Simba na Yanga na hajawahi kutoa kauli za kukejeli Yanga, na pia ni mlezi wa Namungo FC
Speaker wa Bunge Tulia Akson ni kiongozi mkuu wa mhimili wa Bunge lakini hakuwahi kuongelea vibaya Yanga japo ni Shabiki wa Simba kindakindaki, Huwa anawaalika Yanga bungeni, Kwa mamlaka yake angezuia Yanga wasifike hata Bungeni
Mh Ali Zungu naibu speaker huyu ni mbunge wa Ilala, zinapotoka Simba na Yanga zipo kwenye Jimbo lake ila hajawahi kutoa kauli ya kifedhuli dhidi ya Yanga na anaheshimika vizuri tu
Jakaya Kikwete, Rais Mstaafu Huyu ni Yanga lakini hajawahi kutoa kauli ya kipumbavu au maudhi Kwa Simba, kipindi chake Simba alitawala soccer la TANZANIA lakini hakuleta hujuma na kuibeba Yanga
Mwana FA, huyu ni naibu waziri wa michezo na m Wanachama wa Simba pamoja na yote hajawahi kutoa kauli ya kipumbavu dhidi ya Yanga na anaheshimika vyema
Albert Chalamila Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam huyu ni Yanga na timu zote zinatokea mkoa wake haijawahi kutoa kauli ya kipumbavu Kwa Simba, na wanasimba wanamheshimunpamoja na kujua kama yeye ni Yanga
Jerson Musigwa, karibu wa Wizara ya Michezo huyu ni Yanga ila anaheshimika na Simba Kwa kuwa ana busara
Tabora sio timu pekee ambayo Yanga amecheza
Yanga amecheza na Namungo Lindi,
Yanga amecheza na Fountain Gate Manyara
Yanga amecheza dhidi Singida Black Star Singada
Yanga amecheza na Coast union Tanga
Yanga amecheza na Kagere sugar Kagera
Yanga amechezana prison Mbeya
Yanga mecheza na Pamba Mwanza
Yanga amecheza na Mashujaa Kigoma
Mbona huku kote watendaji wa Yanga hawakugombana na wateule wa mheshimiwa Rais
Rais Samia tengua Chacha Tabora naamini una Stock ya watendaji wengine wenye hekima na busara
Samia ana akili, lile jinga haliwezi kumfitishaAli Kamwe kamfitinisha mkuu wa mkoa kwa Rais, ndiyo sababu ameamua naye amshughulikie kabla yake.