Rais Samia, tulikueleza mapema hawa CHADEMA sio wa kuwalegezea maana ni waganga njaa wasiojali maslahi ya taifa. Sasa mapema umeona madhara yao

Japokuwa inaweza kuwa ni kushukuru sababu umewashtukia mapema kabla hawajapata kuchafua hali ya usalama wa nchi.

Lakini Mama Samia tambua kabisa Chadema ni genge la wasaka njururu kupitia siasa.

Na kama ukilegeza zaidi yale yalimkuta Jakaya mpaka akina hayati Mwangosi na yule kijana machinga aliyefariki Morogoro yatatokea.

Kuwa kama Hayati Magufuli hakuna kucheka na watu wasio na nia njema na taifa letu.

Kidogo tu umelegeza wakafanya mikutano ya ndani na kijiziara cha kidijatari. Tayari wanataka kukutia vidole machoni ili wakujaribu.

My take; Tusikubali kupelekwa na wanasiasa waganga njaa ambao hawana lolote mkichwa.
Vipi ungependa awamininie risasi?
Watu wanadai katiba mpya,watu wanaadai utwala wa sheria na kufuata katiba.Vitisho vya nini?
Taratibu tutamuelewa Tundu Lissu,Raisi Samia alikuwa namba 2 wa Magufuli na hawezi akayatupa yote kuna machache atachukua na mojawapo ni hili la kuanza kutumia vitisho!!
 
Japokuwa inaweza kuwa ni kushukuru sababu umewashtukia mapema kabla hawajapata kuchafua hali ya usalama wa nchi.

Lakini Mama Samia tambua kabisa Chadema ni genge la wasaka njururu kupitia siasa.

Na kama ukilegeza zaidi yale yalimkuta Jakaya mpaka akina hayati Mwangosi na yule kijana machinga aliyefariki Morogoro yatatokea.

Kuwa kama Hayati Magufuli hakuna kucheka na watu wasio na nia njema na taifa letu.

Kidogo tu umelegeza wakafanya mikutano ya ndani na kijiziara cha kidijatari. Tayari wanataka kukutia vidole machoni ili wakujaribu.

My take; Tusikubali kupelekwa na wanasiasa waganga njaa ambao hawana lolote mkichwa.
Pumbavu kabisa wewe pamoja na thread yako
 
Vipi ungependa awamininie risasi?
Watu wanadai katiba mpya,watu wanaadai utwala wa sheria na kufuata katiba.Vitisho vya nini?
Taratibu tutamuelewa Tundu Lissu,Raisi Samia alikuwa namba 2 wa Magufuli na hawezi akayatupa yote kuna machache atachukua na mojawapo ni hili la kuanza kutumia vitisho!!
uyo bwege tu,achana naye
 
Unataka awateke na kuwapoteza kwa kutumia wasiojulikana?

Mod hizi mada nyingine zinafaa kubaki kuwa ni comments tu mnaziachaje zinajaa kwenye jukwaa letu pendwa la Siasa?

Hizi mada zinapoteza mada zenye mashiko

Hebu fanyeni cleaning
cleaning ni muhimu sana kwa nyuzi kama hizi
 
eti choko choko - yaani kudai haki yako ya kikatiba inageuka kuwa chokochoko - sawa kama hivyo ndiyo anzeni ile style yenu pendwa ya Mwendazake ya kupoteza watu ama kubambikizia kesi za mauaji ili waogope - hiyo ndiyo mnaweza - otherwise Katiba tunaidai kwa mbinu zote na CCM hamna uwezo wa kutuzuia watanzania kwa umoja wetu.

Uchaguzi ujao 2025 lazima KATIBA iwe mezani, TUME HURU MEZANI - mtake msitake.
 
Tangu kuanzishwa kwa vyama vingi hapa nchini ,hawa wapinzani hawajawahi kuvunja amani lakini kila mara utawasikia watawala wa ccm wakiwaambia wananchi kwamba wapinzani wanataka kuvunja amani,huu ni uongo.
 
Japokuwa inaweza kuwa ni kushukuru sababu umewashtukia mapema kabla hawajapata kuchafua hali ya usalama wa nchi.

Lakini Mama Samia tambua kabisa Chadema ni genge la wasaka njururu kupitia siasa.

Na kama ukilegeza zaidi yale yalimkuta Jakaya mpaka akina hayati Mwangosi na yule kijana machinga aliyefariki Morogoro yatatokea.

Kuwa kama Hayati Magufuli hakuna kucheka na watu wasio na nia njema na taifa letu.

Kidogo tu umelegeza wakafanya mikutano ya ndani na kijiziara cha kidijatari. Tayari wanataka kukutia vidole machoni ili wakujaribu.

My take; Tusikubali kupelekwa na wanasiasa waganga njaa ambao hawana lolote mkichwa.


Siasa sio kupenda kila kitu cha mwenzako. Kikubwa sio Raisi ni sheria kama Chadema wanafuata sheria tatizo liko wapi! Huwezi kumlaumu Raisi kwa kufuata sheria!!
 
Back
Top Bottom