Rais Samia toa kauli zenye nguvu na zilizo bayana

Tatizo lililopo hapa ni trade-off kati ya kitendo cha Machinga kufanya biashara mbele ya maduka ya wafanya biashara wakubwa na kodi ya Serikali kwa sababu machninga huwa hawalipi kodi. Hicho ndicho kilichomsukauma Mh Rais kuongelea swala hili. Naomba tu isiwe kwamba kumefanyika utaratibu "mwingine mpya" wa makusudi wa kuwasogeza watu hawa karibu na maduka makubwa, tofauti na ilivyokuwa kipindi cha Hayati JPM. Kwa sababu kama watu hawa hawajabadilisha sehemu za biashara zao walizokuwa wanafanyia awali, kwa nini tatizo litokee sasa hivi? Unless labda kama kuungua kwa soko la Kariakoo kuwe kumechangia kwenye re-allocation yao hiyo
 
Njooni na utatuzi wa kudumu ikiwa mnaona machinga hawachangii pato la taifa. Sio hizo ngonjera za majukwaani. Ukitaka kuona nguvu ya machinga, watimueni. Mimi nasubiri kuona hizo siku saba mlizotoa.
Watatimuliwa tuu kwani itakuwa mara ya kwanza? Nguvu gani ambayo huwa unaziona wewe tuu?
 
Mi naon huyu mtengeneza filamu yetu ya kitalii amalize aondoke aseee asijejikuta anagundua kivutio kingine cha utalii ambacho ni kiumbe cha pekee dunia chenye mwili kama wa binadam kinachopatikana tanzani ambacho kinaitwa MTANZANIA. Kwani ndio binadam wa kwanza asiejua hata yeye anataka nini☻

Alikiwepo mwenye msimamo na asie na huruma hatukumuelewa
Amekuja mwenye huruma na matumzi ya lugha nyepesi napo hatumuelewi

Aseee
 
Ni vyema Rais Samia wakati wa kutoa maelekezo yake awe anakuwa wazi nini hasa anataka na atoe kauli zenye nguvu ili ujumbe ufike kwa nguvu pia kwa wahusika wote wa pande mbili.

Leo wakati anatoa hotuba yake mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali alitoa neno kuhusu hili saga la Wamachinga linaloendelea.

Ameonesha hafurahishwi na biashara hiyo inavyofanyika kiholela na inavyovuruga biashara zinazolipa kodi. Lakini aka sugar-coat maneno yake na sijajua ni intentionally au accidentally..Mhe.Rais amesema wapangwe na nguvu isitumike,watolewe kwa amani.

Kitu ambacho hakiwezekani kirahisi hivyo kwa hawa watu na pia kauli hiyo inawapa watekelezaji wakati mgumu na pia kauli hii haiwaandani Wamachinga kutoka sehemu hizo kwa haraka kwa kuhofia matumizi ya nguvu.

Mimi naona ilibidi aseme yafuatayo;

✓ Biashara holela ni marufuku nchini. Watu watafanya biashara kwenye maeneo rasmi tu.

✓ Walioko maeneo yasiyo rasmi kama vile kwenye road reserves,mbele ya fremu za biashara za watu wengine hawaruhusiwi kuendelea na biashara maeneo hayo.

✓ Maafisa wa mipango Miji na Majiji wataelekeza ni maeneo gani rasmi ya kufanya biashara na atakaye kaidi "NGUVU" zaidi itatumika..deadline iwekwe watu wajiandae kuhama.

======

Kauli yake ya leo bado itawapa watekelezaji wakati mgumu..Wamachinga hawa hawataondoka maeneo hayo bila nguvu kubwa kutumika kwa watakaokaidi.
..... kwa bahati mbaya wewe hauko kwenye hiyo nafasi. Hiyo ngekewa ilimuangukia yeye na hayo ndio madhaifu yake.

Hawezi kuwa strong kihivyo kwa hiyo kada kwa maana anaona ni watu muhimu kwenye mchakato wa uchaguzi kwani kwa sasa bado hawajui mazingira ya uchaguzi 2025 yatakuwaje kama yataruhusu uhuni kwa mara nyingine au la.
 
Ni vyema Rais Samia wakati wa kutoa maelekezo yake awe anakuwa wazi nini hasa anataka na atoe kauli zenye nguvu ili ujumbe ufike kwa nguvu pia kwa wahusika wote wa pande mbili.

Leo wakati anatoa hotuba yake mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali alitoa neno kuhusu hili saga la Wamachinga linaloendelea.

Ameonesha hafurahishwi na biashara hiyo inavyofanyika kiholela na inavyovuruga biashara zinazolipa kodi. Lakini aka sugar-coat maneno yake na sijajua ni intentionally au accidentally..Mhe.Rais amesema wapangwe na nguvu isitumike,watolewe kwa amani.

Kitu ambacho hakiwezekani kirahisi hivyo kwa hawa watu na pia kauli hiyo inawapa watekelezaji wakati mgumu na pia kauli hii haiwaandani Wamachinga kutoka sehemu hizo kwa haraka kwa kuhofia matumizi ya nguvu.

Mimi naona ilibidi aseme yafuatayo;

✓ Biashara holela ni marufuku nchini. Watu watafanya biashara kwenye maeneo rasmi tu.

✓ Walioko maeneo yasiyo rasmi kama vile kwenye road reserves,mbele ya fremu za biashara za watu wengine hawaruhusiwi kuendelea na biashara maeneo hayo.

✓ Maafisa wa mipango Miji na Majiji wataelekeza ni maeneo gani rasmi ya kufanya biashara na atakaye kaidi "NGUVU" zaidi itatumika..deadline iwekwe watu wajiandae kuhama.

======

Kauli yake ya leo bado itawapa watekelezaji wakati mgumu..Wamachinga hawa hawataondoka maeneo hayo bila nguvu kubwa kutumika kwa watakaokaidi.
Well said na huo ndio ukweli, hizi kauli za nataka sitaki na kukwepa lawama na kuwatetea watendaji kwamba "hoi mimi sikusema hivyo"!!! Hazifai
 
Mi naon huyu mtengeneza filamu yetu ya kitalii amalize aondoke aseee asijejikuta anagundua kivutio kingine cha utalii ambacho ni kiumbe cha pekee dunia chenye mwili kama wa binadam kinachopatikana tanzani ambacho kinaitwa MTANZANIA. Kwani ndio binadam wa kwanza asiejua hata yeye anataka nini☻

Alikiwepo mwenye msimamo na asie na huruma hatukumuelewa
Amekuja mwenye huruma na matumzi ya lugha nyepesi napo hatumuelewi

Aseee
Hao unaowasema waliongoza kwa kufuata misingi ya sheria na katiba ya nchi au waliongoza kwa utashi na hisia binafsi.Ukishaweka utashi binafsi kwenye uongozi badala ya sheria na taratibu zilizoko lazima mambo yaende ndivyo sivyo.
 
Ni vyema Rais Samia wakati wa kutoa maelekezo yake awe anakuwa wazi nini hasa anataka na atoe kauli zenye nguvu ili ujumbe ufike kwa nguvu pia kwa wahusika wote wa pande mbili.

Leo wakati anatoa hotuba yake mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali alitoa neno kuhusu hili saga la Wamachinga linaloendelea.

Ameonesha hafurahishwi na biashara hiyo inavyofanyika kiholela na inavyovuruga biashara zinazolipa kodi. Lakini aka sugar-coat maneno yake na sijajua ni intentionally au accidentally..Mhe.Rais amesema wapangwe na nguvu isitumike,watolewe kwa amani.

Kitu ambacho hakiwezekani kirahisi hivyo kwa hawa watu na pia kauli hiyo inawapa watekelezaji wakati mgumu na pia kauli hii haiwaandani Wamachinga kutoka sehemu hizo kwa haraka kwa kuhofia matumizi ya nguvu.

Mimi naona ilibidi aseme yafuatayo;

✓ Biashara holela ni marufuku nchini. Watu watafanya biashara kwenye maeneo rasmi tu.

✓ Walioko maeneo yasiyo rasmi kama vile kwenye road reserves,mbele ya fremu za biashara za watu wengine hawaruhusiwi kuendelea na biashara maeneo hayo.

✓ Maafisa wa mipango Miji na Majiji wataelekeza ni maeneo gani rasmi ya kufanya biashara na atakaye kaidi "NGUVU" zaidi itatumika..deadline iwekwe watu wajiandae kuhama.

======

Kauli yake ya leo bado itawapa watekelezaji wakati mgumu..Wamachinga hawa hawataondoka maeneo hayo bila nguvu kubwa kutumika kwa watakaokaidi.
Wewe unadhani ajui kuhusu hizo kauli zake ? Hiyo ndiyo mafisadi walio kubuu wanavyo fanya awatoi kauli madhubuti sababu wao wenyewe ni wanafiki wanaogopa kujifunga kwa kauli zao maana mafisadi siku zote awapendi kujibana kwa maneno ya vinywa vyao wewe ukujifunza kwa kikwete ambaye ndiyo kielelezo cha ufisadi hapa tanzania
 
hahahah Mkuu pole leo kama Machinga wangetolewa nilikuwa nakuletea zawadi pale Azam .. pole kwa kukosa zawadi.

Kwenye hili la machinga wewe unasema hivyo kwakuwa huna la kupoteza kabisa, huna ndugu machinga wala hawakugusi wala kukunufaisha kwa lolote.

Kwa Samia yeye swala la machinga linamgusa sana na litamgusa kwa kila njia ambayo itatumika maana itakuwa na matokeo moja kwa moja kwake kuliko yeyote yule.

Rais Samia ujamuelewa kwakuwa wewe unataka aseme moja kwa moja kuwa hataki kuwaona kwenye hayo maeneo kitu ambacho hakiwezekani kabisa.

Rais Samia anajaribu kutaka kuonekana mwema na kila mtu ndio maana umeshindwa kumuelewa lakini kwa kauli yake iko wazi kuwa hawataki wamachinga uko mtaani na ameeleza wazi lakini anajificha ficha kwakuwa anaogopa kuonekana mbaya.

Rais anatakiwa kuwa na msimamo wa wazi kwenye kila jambo sio kukaa katikati kama anavyofanya Rais Samia.
Ujui tabia za mafisadi ,tabia moja ya fisadi ni kutoeleweka hiyo ndiyo tofauti ya wazarendo na mafisadi
Mzarendo anakuwa anapenda kueleweka wakati fisadi hapendi kueleweka kwa sababu fisadi hayaishi maneno yake tofauti na mzarendo
 
😁😁😁
AAYfOR.jpg
 
Lana ya swala LA

Mbowe elikael freeman
na
Katiba mpya litawatafuna mpka siku kinaeleweka au wanajitambua

Labda wawe wanatengeneza mazingira ya kutaftia kura wanaliazisha mwisho utasikia tumeona huruma jamani

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Na nyie muache kuwa kinyonge, kwanini msinyooke kwamba hana uwezo na hajiamini kiutendaji "failure" badala yake mnazungukazunguka tu. Ww unasemaje miezi 6 ulikuwa probation, miezi yote upo upo tu ikulu? This is massive failure na hawezi kudeliver mnavyotaka
 
Ni vyema Rais Samia wakati wa kutoa maelekezo yake awe anakuwa wazi nini hasa anataka na atoe kauli zenye nguvu ili ujumbe ufike kwa nguvu pia kwa wahusika wote wa pande mbili.

Leo wakati anatoa hotuba yake mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali alitoa neno kuhusu hili saga la Wamachinga linaloendelea.

Ameonesha hafurahishwi na biashara hiyo inavyofanyika kiholela na inavyovuruga biashara zinazolipa kodi. Lakini aka sugar-coat maneno yake na sijajua ni intentionally au accidentally..Mhe.Rais amesema wapangwe na nguvu isitumike,watolewe kwa amani.

Kitu ambacho hakiwezekani kirahisi hivyo kwa hawa watu na pia kauli hiyo inawapa watekelezaji wakati mgumu na pia kauli hii haiwaandani Wamachinga kutoka sehemu hizo kwa haraka kwa kuhofia matumizi ya nguvu.

Mimi naona ilibidi aseme yafuatayo;

✓ Biashara holela ni marufuku nchini. Watu watafanya biashara kwenye maeneo rasmi tu.

✓ Walioko maeneo yasiyo rasmi kama vile kwenye road reserves,mbele ya fremu za biashara za watu wengine hawaruhusiwi kuendelea na biashara maeneo hayo.

✓ Maafisa wa mipango Miji na Majiji wataelekeza ni maeneo gani rasmi ya kufanya biashara na atakaye kaidi "NGUVU" zaidi itatumika..deadline iwekwe watu wajiandae kuhama.

======

Kauli yake ya leo bado itawapa watekelezaji wakati mgumu..Wamachinga hawa hawataondoka maeneo hayo bila nguvu kubwa kutumika kwa watakaokaidi.
wewe siyo Samia na wla Samia si wewe
 
Ni vyema Rais Samia wakati wa kutoa maelekezo yake awe anakuwa wazi nini hasa anataka na atoe kauli zenye nguvu ili ujumbe ufike kwa nguvu pia kwa wahusika wote wa pande mbili.

Leo wakati anatoa hotuba yake mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali alitoa neno kuhusu hili saga la Wamachinga linaloendelea.

Ameonesha hafurahishwi na biashara hiyo inavyofanyika kiholela na inavyovuruga biashara zinazolipa kodi. Lakini aka sugar-coat maneno yake na sijajua ni intentionally au accidentally..Mhe.Rais amesema wapangwe na nguvu isitumike,watolewe kwa amani.

Kitu ambacho hakiwezekani kirahisi hivyo kwa hawa watu na pia kauli hiyo inawapa watekelezaji wakati mgumu na pia kauli hii haiwaandani Wamachinga kutoka sehemu hizo kwa haraka kwa kuhofia matumizi ya nguvu.

Mimi naona ilibidi aseme yafuatayo;

✓ Biashara holela ni marufuku nchini. Watu watafanya biashara kwenye maeneo rasmi tu.

✓ Walioko maeneo yasiyo rasmi kama vile kwenye road reserves,mbele ya fremu za biashara za watu wengine hawaruhusiwi kuendelea na biashara maeneo hayo.

✓ Maafisa wa mipango Miji na Majiji wataelekeza ni maeneo gani rasmi ya kufanya biashara na atakaye kaidi "NGUVU" zaidi itatumika..deadline iwekwe watu wajiandae kuhama.

======

Kauli yake ya leo bado itawapa watekelezaji wakati mgumu..Wamachinga hawa hawataondoka maeneo hayo bila nguvu kubwa kutumika kwa watakaokaidi.
 
Unadhani yeye na chama chake hawapendi kura za machinga? Lazima waache kauli zinaelea hewani ili kesho likibuma wapate upenyo wa kutokea.
Tangu lini ccm wanategemea kura zilizopigwa na wananchi?!!tena wamachinga?!!unatania wewe
 
Back
Top Bottom