Hawawezi kutoka hapoHivi anadhani hao machinga wataondoka kwa diplomasia?
Ndio tatizo la kutaka pande zote
Hawawezi kutoka hapoHivi anadhani hao machinga wataondoka kwa diplomasia?
Ndio tatizo la kutaka pande zote
Mbuyu pia huota kama mchicha ila ukishajikita vema kuuondoa lazima kijasho kikutiririke.Hawa wachuuzi walikuwa holela pale mwanzo na walidharaulika(hawakukubalika kama ilivyokuwa kwa Boda Boda) sana na watawala.Ni vyema Rais Samia wakati wa kutoa maelekezo yake awe anakuwa wazi nini hasa anataka na atoe kauli zenye nguvu ili ujumbe ufike kwa nguvu pia kwa wahusika wote wa pande mbili.
Leo wakati anatoa hotuba yake mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali alitoa neno kuhusu hili saga la Wamachinga linaloendelea.
Ameonesha hafurahishwi na biashara hiyo inavyofanyika kiholela na inavyovuruga biashara zinazolipa kodi. Lakini aka sugar-coat maneno yake na sijajua ni intentionally au accidentally..Mhe.Rais amesema wapangwe na nguvu isitumike,watolewe kwa amani.
Kitu ambacho hakiwezekani kirahisi hivyo kwa hawa watu na pia kauli hiyo inawapa watekelezaji wakati mgumu na pia kauli hii haiwaandani Wamachinga kutoka sehemu hizo kwa haraka kwa kuhofia matumizi ya nguvu.
Mimi naona ilibidi aseme yafuatayo;
✓ Biashara holela ni marufuku nchini. Watu watafanya biashara kwenye maeneo rasmi tu.
✓ Walioko maeneo yasiyo rasmi kama vile kwenye road reserves,mbele ya fremu za biashara za watu wengine hawaruhusiwi kuendelea na biashara maeneo hayo.
✓ Maafisa wa mipango Miji na Majiji wataelekeza ni maeneo gani rasmi ya kufanya biashara na atakaye kaidi "NGUVU" zaidi itatumika..deadline iwekwe watu wajiandae kuhama.
======
Kauli yake ya leo bado itawapa watekelezaji wakati mgumu..Wamachinga hawa hawataondoka maeneo hayo bila nguvu kubwa kutumika kwa watakaokaidi.
Anajishusha mwenyewe,kina nani waliomwambia hayo?Maneno ya kusikia!Pia aache kauli za kinyonge mara utasikia "waliniona dhaifu"
Ukiwa nyundenyonde, wewe ni nyonde nyonde tuuuNi vyema Rais Samia wakati wa kutoa maelekezo yake awe anakuwa wazi nini hasa anataka na atoe kauli zenye nguvu ili ujumbe ufike kwa nguvu pia kwa wahusika wote wa pande mbili.
Leo wakati anatoa hotuba yake mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali alitoa neno kuhusu hili saga la Wamachinga linaloendelea.
Ameonesha hafurahishwi na biashara hiyo inavyofanyika kiholela na inavyovuruga biashara zinazolipa kodi. Lakini aka sugar-coat maneno yake na sijajua ni intentionally au accidentally..Mhe.Rais amesema wapangwe na nguvu isitumike,watolewe kwa amani.
Kitu ambacho hakiwezekani kirahisi hivyo kwa hawa watu na pia kauli hiyo inawapa watekelezaji wakati mgumu na pia kauli hii haiwaandani Wamachinga kutoka sehemu hizo kwa haraka kwa kuhofia matumizi ya nguvu.
Mimi naona ilibidi aseme yafuatayo;
✓ Biashara holela ni marufuku nchini. Watu watafanya biashara kwenye maeneo rasmi tu.
✓ Walioko maeneo yasiyo rasmi kama vile kwenye road reserves,mbele ya fremu za biashara za watu wengine hawaruhusiwi kuendelea na biashara maeneo hayo.
✓ Maafisa wa mipango Miji na Majiji wataelekeza ni maeneo gani rasmi ya kufanya biashara na atakaye kaidi "NGUVU" zaidi itatumika..deadline iwekwe watu wajiandae kuhama.
======
Kauli yake ya leo bado itawapa watekelezaji wakati mgumu..Wamachinga hawa hawataondoka maeneo hayo bila nguvu kubwa kutumika kwa watakaokaidi.
Huwezi kupata uwazi wowote kutoka kwa huyu, itabidi tu watu wamzoee hivyohivyo.Pia awe muwazi kuhusu katiba mpya na asisingizie kwamba anashughulikia uchumi kwanza.
Rais anaogopa sana lawama..na anajitetea sana kwa maamuzi yake.Huwezi kupata uwazi wowote kutoka kwa huyu, itabidi tu watu wamzoee hivyohivyo.
Kwanza ni tabia za kimalezi, tokea utotoni kafundishwa na kuona watu wanaomzunguka wakifanya hivyo, kutokuwa wazi kwa jambo lolote.
Pili, nafasi anayoishikilia sasa hivi imemzidi kimo, anadhani akifanya jambo ambalo halitawapendeza wengi atalaumiwa na kupoteza sifa za kuwa na nafasi hiyo.
Rais anaogopa sana lawama..na anajitetea sana kwa maamuzi yake.Huwezi kupata uwazi wowote kutoka kwa huyu, itabidi tu watu wamzoee hivyohivyo.
Kwanza ni tabia za kimalezi, tokea utotoni kafundishwa na kuona watu wanaomzunguka wakifanya hivyo, kutokuwa wazi kwa jambo lolote.
Pili, nafasi anayoishikilia sasa hivi imemzidi kimo, anadhani akifanya jambo ambalo halitawapendeza wengi atalaumiwa na kupoteza sifa za kuwa na nafasi hiyo.