Rais Samia toa kauli zenye nguvu na zilizo bayana

Ni vyema Rais Samia wakati wa kutoa maelekezo yake awe anakuwa wazi nini hasa anataka na atoe kauli zenye nguvu ili ujumbe ufike kwa nguvu pia kwa wahusika wote wa pande mbili.

Leo wakati anatoa hotuba yake mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali alitoa neno kuhusu hili saga la Wamachinga linaloendelea.

Ameonesha hafurahishwi na biashara hiyo inavyofanyika kiholela na inavyovuruga biashara zinazolipa kodi. Lakini aka sugar-coat maneno yake na sijajua ni intentionally au accidentally..Mhe.Rais amesema wapangwe na nguvu isitumike,watolewe kwa amani.

Kitu ambacho hakiwezekani kirahisi hivyo kwa hawa watu na pia kauli hiyo inawapa watekelezaji wakati mgumu na pia kauli hii haiwaandani Wamachinga kutoka sehemu hizo kwa haraka kwa kuhofia matumizi ya nguvu.

Mimi naona ilibidi aseme yafuatayo;

✓ Biashara holela ni marufuku nchini. Watu watafanya biashara kwenye maeneo rasmi tu.

✓ Walioko maeneo yasiyo rasmi kama vile kwenye road reserves,mbele ya fremu za biashara za watu wengine hawaruhusiwi kuendelea na biashara maeneo hayo.

✓ Maafisa wa mipango Miji na Majiji wataelekeza ni maeneo gani rasmi ya kufanya biashara na atakaye kaidi "NGUVU" zaidi itatumika..deadline iwekwe watu wajiandae kuhama.

======

Kauli yake ya leo bado itawapa watekelezaji wakati mgumu..Wamachinga hawa hawataondoka maeneo hayo bila nguvu kubwa kutumika kwa watakaokaidi.
Mbuyu pia huota kama mchicha ila ukishajikita vema kuuondoa lazima kijasho kikutiririke.Hawa wachuuzi walikuwa holela pale mwanzo na walidharaulika(hawakukubalika kama ilivyokuwa kwa Boda Boda) sana na watawala.
Mabadiliko makubwa kwenye hizo Tasnia baada ya mdororo mkubwa wa ajira kwa wananchi,makundi haya yalipoanza kuwaunga mkono wapinzani ndipo CCM kama kawaida yao wakakurupuka na kujipendekeza kwa makundi haya ya jamii.Wakajaribu propaganda za kuwakomboa na kurasimisha kazi hizo bila utafiti wowote Bali mihemko ya kisiasa.Hapo kila kitu kikavurugika,wakaja na viatambulisho Fake na kuwaibia na sasa hawafahamu watawaondoaje/kuwawekea mazingira wezeshi waendelee na shughuli zao!
Prime areas zimevamiwa na biashara zingine zimeathiriwa sana na uholela wa biashara zinazotembezwa.Swali linalowajia watawala ni watawapeleka wapi mamilioni ya Watanzania waliopo kwenye hizo tasnia,mazingira ni wezeshi kiasi gani,utayari wa wahusika kwenda pembezoni na uhakika wa hizo kura.Hali ya CCM na serikali yake ni tete!
 
Ni vyema Rais Samia wakati wa kutoa maelekezo yake awe anakuwa wazi nini hasa anataka na atoe kauli zenye nguvu ili ujumbe ufike kwa nguvu pia kwa wahusika wote wa pande mbili.

Leo wakati anatoa hotuba yake mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali alitoa neno kuhusu hili saga la Wamachinga linaloendelea.

Ameonesha hafurahishwi na biashara hiyo inavyofanyika kiholela na inavyovuruga biashara zinazolipa kodi. Lakini aka sugar-coat maneno yake na sijajua ni intentionally au accidentally..Mhe.Rais amesema wapangwe na nguvu isitumike,watolewe kwa amani.

Kitu ambacho hakiwezekani kirahisi hivyo kwa hawa watu na pia kauli hiyo inawapa watekelezaji wakati mgumu na pia kauli hii haiwaandani Wamachinga kutoka sehemu hizo kwa haraka kwa kuhofia matumizi ya nguvu.

Mimi naona ilibidi aseme yafuatayo;

✓ Biashara holela ni marufuku nchini. Watu watafanya biashara kwenye maeneo rasmi tu.

✓ Walioko maeneo yasiyo rasmi kama vile kwenye road reserves,mbele ya fremu za biashara za watu wengine hawaruhusiwi kuendelea na biashara maeneo hayo.

✓ Maafisa wa mipango Miji na Majiji wataelekeza ni maeneo gani rasmi ya kufanya biashara na atakaye kaidi "NGUVU" zaidi itatumika..deadline iwekwe watu wajiandae kuhama.

======

Kauli yake ya leo bado itawapa watekelezaji wakati mgumu..Wamachinga hawa hawataondoka maeneo hayo bila nguvu kubwa kutumika kwa watakaokaidi.
Ukiwa nyundenyonde, wewe ni nyonde nyonde tuuu
 
Pia awe muwazi kuhusu katiba mpya na asisingizie kwamba anashughulikia uchumi kwanza.
Huwezi kupata uwazi wowote kutoka kwa huyu, itabidi tu watu wamzoee hivyohivyo.

Kwanza ni tabia za kimalezi, tokea utotoni kafundishwa na kuona watu wanaomzunguka wakifanya hivyo, kutokuwa wazi kwa jambo lolote.

Pili, nafasi anayoishikilia sasa hivi imemzidi kimo, anadhani akifanya jambo ambalo halitawapendeza wengi atalaumiwa na kupoteza sifa za kuwa na nafasi hiyo.
 
Huwezi kupata uwazi wowote kutoka kwa huyu, itabidi tu watu wamzoee hivyohivyo.

Kwanza ni tabia za kimalezi, tokea utotoni kafundishwa na kuona watu wanaomzunguka wakifanya hivyo, kutokuwa wazi kwa jambo lolote.

Pili, nafasi anayoishikilia sasa hivi imemzidi kimo, anadhani akifanya jambo ambalo halitawapendeza wengi atalaumiwa na kupoteza sifa za kuwa na nafasi hiyo.
Rais anaogopa sana lawama..na anajitetea sana kwa maamuzi yake.
 
Huwezi kupata uwazi wowote kutoka kwa huyu, itabidi tu watu wamzoee hivyohivyo.

Kwanza ni tabia za kimalezi, tokea utotoni kafundishwa na kuona watu wanaomzunguka wakifanya hivyo, kutokuwa wazi kwa jambo lolote.

Pili, nafasi anayoishikilia sasa hivi imemzidi kimo, anadhani akifanya jambo ambalo halitawapendeza wengi atalaumiwa na kupoteza sifa za kuwa na nafasi hiyo.
Rais anaogopa sana lawama..na anajitetea sana kwa maamuzi yake.
 
Kwa hili yuko sahihi
Lazima diplomasia ianze nguvu baadae

kwa sababu alielilea tatizo ni mtu aliekuwa kwenye nafasi kama yake just months ago....

ukikurupuka unaweza usibaki madarakani...ila polepole tutafika...japo natuma pole za dhati kwa machinga
 
Back
Top Bottom