Rais Samia Suluhu tumsamehe Sabaya, inatosha

Inawezekana Kuna makosa aliyafanya akiwa ofisini sawa lakini naona Kama Kuna visasi vinalipwa dhidi yake.kwa sababu tukifuatilia kwa umakini kwenye hii nchi hakuna mwenye madaraja ambae hayatumii vibaya Ila tunaishi kwa kuvumiliana na busara tu.
Nadhani kwa sababu ya mahaba ya CCM na JPM na huyo Sabaya, hukuchukua muda kuyajua mabaya ya Sabaya. Tulia uyajue vizuri utaona ni haki kwa Sabaya kuonja mkono wa sheria kwa mafunzo kwa wengine. Mama Samia ni mama, hadi ameamuru sheria ichukue mkondo, kuna makubwa anayo juu ya huyu mtu wenu.
 
jambo hili limegubikwa na mambo mengi sana mchanganyiko, yapo ya kweli na pia yapo ya uongo, mengine yamezushwa kutokana na chuki binafsi n.k

Hata kwenye utawala wa makaburu waliwafanyia watu weusi mambo mengi ya ovyo na Mandela alipo kuw Rais alikuwa na uwezo wa kulipiza kwa yale yote aliyo fanyiwa yeye na watu wake lkn aliwasamehe makaburu wote.

Msamaha ni jambo la msingi sana kuliko hata sheria.

msamaha na maridhiano unaponya zaidi kuliko sheria.

sheria huzidisha visasi zaidi.
Acha mahakama ifanye kazi yake ya kutafsiri sheria. Na nzuri zaidi Mh Rais mama Samia Suluhu Hassan ameweka wazi kabisa katika uongozi wake kwamba haki ifuatwe
 
Rais wangu, maelezo haya hayakusudii kukushawishi kuharibu utawala wa sheria wala kuingilia shughuli za Mahakama. Hayakusudii kukwamisha uchunguzi uliobakia, unaondelea isipokuwa kuweka kumbukumbu za matendo MEMA machache ya watu waovu. Biblia inasema; Mtume Paulo alikua jambazi, haramia na muuaji mkubwa lakini baada ya kujaribiwa akalishika neno na kutubu kisha aligeuka mhubiri aliyezunguka kila kona ya Macedoni kuhubiri neno la Mungu. Kupitia kwa mtu mbaya, muovu, muuaji na haramia watu wa Mungu wengi waliokoka, Dunia ikapata nafuu. Tumpatie Sabaya nafasi ye kutubu, arudishe chenye kustahili kisha ahubiri matendo mema katika nchi.

Rais wangu, ninakiri kwamba nilishiriki kumshtaki Sabaya kwako kwa sababu matendo yake yalivuka mipaka na hakunisikiliza kila nilipomshauri. Rafiki yangu mmoja amenishauri, "Menuka usiandike chochote kumtetea Sabaya watu watakuona 'kigeugeu' ila tumuombee". Mtihani huu umenishinda, nimekumbuka habari za Yesu alipowaombea msamaha watesi wake, "Baba wasamehe kwa kuwa hawajui walitendalo", nikakumbuka tena maneno niliyofundishwa katika imani yangu "samehe 7×70" nikaona ninayo nafasi ya kumuombea msamaha Sabaya. Nimeamua kuandika, ukimya katika wakati wenye kuhitaji sauti ni dhambi kubwa.

Sabaya alitenda makosa, pengine makubwa lakini ni nani kati yetu mwenye kujihesabia haki? Ni nani kati yetu aliye mkamilifu? Bila shaka hakuna hata mmoja. Sisi sote ni wenye mapungufu, wengi tulihitaji Sabaya aadhibiwe kwa kufutwa kazi ili ajifunze lakini adhabu hii imekua kubwa mno kwake. Kila nikifikiria namna uchunguzi wa makosa yake ulivyokua wa haraka kuliko hata Mkurugenzi wa TPA, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Buhigwe, Sengerema na Temeke waliomtangulia kusimamishwa kazi kwa makosa kama yake, ninaingiwa na wasiwasi kidogo!! Hofu yangu tusije kutumia makosa yake kulipa kisasi. Sabaya alistahili adhabu lakini hii ni kubwa mno, itawaumiza wengi.

Rais wangu, ninazo sababu MBILI kubwa za kuomba tumpunguzie adhabu Sabaya;

1. Kesi ya Sabaya imegeuzwa kuwa kesi ya JPM.

Niseme ukweli wa Mungu, hii ndio sababu kubwa imenifanya nijiingize katika jambo hili. Hii ndio sababu kubwa imenisukuna niandike ushauri wangu huu. Kwangu jambo lolote lenye kuingizwa JPM kwa namna ya kumdhalilisha na kumdhihaki linaiacha bila choice yoyote zaidi ya kumtetea. Nimekusudia kuwa mtetezi wa JPM katika maisha yangu yote kwa sababu yeye hana ulimi huo tena, hawezi kujitetea kwa lolote. Ninamtetea sasa kwa sababu wakati wa uhai wake katika madaraka nilimsema, nikamkosoa kwa lugha zote akanivumilia.

Watu wabaya wanatumia makosa ya Sabaya kumchafua JPM, kumdhihaki na kuumiza utu wake. Wanasema ndiye aliyemtuma kutenda makosa hayo, kwamba ndiye aliempa kibri nk. Kwangu hili ni kosa kubwa, JPM died for this country, amekufa kwa ajili ya Tanzania hapaswi kudhihakiwa kwa namna yoyote ile. Ukiwaondoa waliokufa vitani Uganda, mtu mwingine aliyekufa uwanja wa mapambano peke yake kwa ajili ya nchi hii ni JPM.

Huyu ametoa maisha yake kwa ajili ya Tanzania, tusipomheshimu na kuthamini mchango wake tutakosa watu wenye kujitoa kwa ajili ya nchi hii. HAPANA!! Makosa ya JPM wakati wa uhai wake yabaki kama udhaifu wa kibinadamu, kuendelea kuyatumia kama silaha ya kuumiza wengine ni kosa. Rais wangu, kama kosa la Sabaya litaendelea kutumiwa kuumiza heshima ya JPM, kudhihaki mchango wake katika nchi hii, kusema kweli wengi tutasimama na Sabaya ili kumtetea JPM. To me, JPM ni shujaa mwenye kuhitaji heshima ya mwisho juu katika nchi yetu. Ni kwa sababu hii naomba tumsamehe Sabaya ili tulinde taswira ya JPM inayofungamanishwa naye!!

2. Kesi ya Sabaya imegeuzwa kuwa KISASI chake kwa Ubunge wa Freeman Mbowe (Hai).

Rais wangu, Sabaya hakua Mbunge, hakuuchukua Ubunge wa Freeman Mbowe akaupeleka nyumbani kwake bali aliurudisha kwenye Chama chetu baada ya miaka mingi. Katika hilo CCM imenufaika kuliko yeye na kwa vyovyote vile haikubaliki kesi yake kugeuzwa kisasi kwake kwa Ubunge wa mtu mwingine. CCM inawajibika moja kwa moja kubeba dhamana hii. Vitabu vyetu vinasema jukumu namba moja la Mwanachama na Kiongozi wa CCM ni kuhakikisha CCM inashika dola.

Tulishakubaliana kwenye kushika dola CCM hatuna cha msamalia mtume. Sabaya alitimiza wajibu wake ilivyompasa, hapaswi kubebeshwa msalaba wote. Ni kweli katika kutenda hayo alifanya makosa kadhaa yenye kustahili adhabu lakini sio hii. Hii ni kubwa mno, kwa sababu hii hapaswi kuachiwa mzigo huu peke yake. Wenzetu wanaitumia vibaya kesi ya Sabaya kukiumiza Chama chetu, kwakweli; wenye Chama hatuwezi kukaa pembeni. Sabaya akifungwa Jela, akaumizwa vibaya Ubunge wa Hai utaonekana kuwa chanzo, hili ni kosa.

Rais wangu, Sabaya amekosa lakini mtoto akijisaidia kwenye kiganja cha mkono hatukati mkono, tunakosha na sabuni maisha yanaendelea. Ulipowaapisha Makatibu Tawala wa Mikoa, ulisema na umekua ukisema mara nyingi. Sheria inapaswa kusimamiwa kwa 70% wakati 30% zinahitaji busara na hekima. Tutumie hizo 30% kumaliza jambo hili, kosa la Sabaya limegeuzwa kuwa kosa la wengi.
Tusimame na wengi!!
MenukaJr,
Da'slama.
MOJA YA WATU WAPUMBAVU WEWE WA KWANZA : SASA HUYO UNAYE MTETEA NA ALIOWAZULUMU NAFSI ZAO NAO IWAJE KWANZA,: ADHABU HAITOSHI HUYO ANATAKIWA AFANYIWE UBAYA AMBAO KILA MTU AKIONA ATAJIFUNZA. HAKUNA MSAMAHA HELA ZILIVOKUWA NGUMU ENZI UTWALA HALAFU KICHAAA MMOJA ANAZULUMU HAIWEZEKANI NASEMA RAISI SAMIA KAZA KAZA KAZAAA WATANZANIA TUNAKUTEGEMEA
 
Sidhani Kama unazijua sheria za Tanzania. Rais anaingiaje kumsaidia Sabaya na kesi iko mahakamani!! Kama ni msaada wa Rais ikitokea kapatikana na hatia ndipo unaweza kumuomba Rais amsaidie. Kutumia mamlaka yake sasa ni kashfa kubwa mno kwake. Ofisi DPP na mkurugenzi wa Takukuru hazitaaminika tena na ukizingatia hao viongozi ni wapya baada ya watangulizi wao kuendekeza uonevu kwa maslahi ya kisiasa.
Amezoea mwendakuzimu alikua anaingilia mihimili, anafikiri huo ndio utawala. JPM aliiharibu nchi MenukaJr
 
Kwa ujumla adhabu ya kumfuta kazi ilikuwa inatosha tujiulize ni mambo mangapi chama imeyafumbia macho kwa wateule wake wanaofuja mali za umma na kukwapua mabilion lakini wapo mitaani na wengine ni viongoz bado na wengine ni wastaafu kashifa kibao ndani ya ccm nyingi na hakuna walichowafanya zaidi ya kuwaweka pembeni kijana ametolewa kafara na huenda kuna kitu nyuma ya pazia maana ccm angalia wakina chenge wanadunda hadi leo je pesa walizopata enzi za tegeta escrow zilikuwa ni zao la uhalifu makosa kama ya sabaya wangekosaje mambo mengine nikuliombea taifa tu ,ccm no one who is perfect ndiyo maana jpm waliowengi aliwapiga chini baada yakuona wanakashifa kibao akaona watamkwamisha
Hizi ndizo akili za vijana walioivamia CCM jingalao johnthebaptist sweettablet Crimea MSAGA SUMU magu2016
 
ninacho kiona chuki na visasi vinaweza vikazidi zaidi kuliko kama wangesameheana.
msamaha huponya kuliko mapambano.
Mama Hana kisasi na mtu bali ameamua kufuata Sheria haswaaa!tofauti na yule mwendazake aliyekuwa akijisifu tu majukwaani.
 
Kosa kubwa sana kumshtaki Sabaya mahakamani!!?
adhabu yake ilitakiwa awekwe benchi tu...
Unamfahamu vizuri Sabaya na matukio anayotuhumiwa nayo? Subiri mengine yanaongezeka. Unafikiri Rais hadi afikie hatua hiyo amekurupuka?
 
Sijui watu mna ufahamu gani kuhusu haki. Ninadhani wengi mnadhani umri, jinsia na cheo ndio vinafanya mtu apate haki. Msingi wa haki ni kuwa mwanadamu tu!! Sabaya na wahanga wote ni binadamu wanaostahili haki sawa!!

Kama Sabaya alidhulumu haki za wengine, kwanini apate zake?? Mbona yeye mwenyewe hakuwasamehe wahanga wake?? Angekuwa amefanya hivo - tusingezungumza haya leo!!

Tupambane!!
Tatizo la walio wengi wa aina hii ni kuona tuhuma za Sabaya zinachafua "Legacy" ya mwendakuzimu. Wameshikwa pabaya ujue.
 
ninacho kiona chuki na visasi vinaweza vikazidi zaidi kuliko kama wangesameheana.
msamaha huponya kuliko mapambano.
acha ujinga wako! Kesi ipo mahakamani acha mahakama itoe hukumu anayostahili na hii ndio dawa ya kuondoa visasi na chuki.
 
Rais wangu, maelezo haya hayakusudii kukushawishi kuharibu utawala wa sheria wala kuingilia shughuli za Mahakama. Hayakusudii kukwamisha uchunguzi uliobakia, unaondelea isipokuwa kuweka kumbukumbu za matendo MEMA machache ya watu waovu. Biblia inasema; Mtume Paulo alikua jambazi, haramia na muuaji mkubwa lakini baada ya kujaribiwa akalishika neno na kutubu kisha aligeuka mhubiri aliyezunguka kila kona ya Macedoni kuhubiri neno la Mungu. Kupitia kwa mtu mbaya, muovu, muuaji na haramia watu wa Mungu wengi waliokoka, Dunia ikapata nafuu. Tumpatie Sabaya nafasi ye kutubu, arudishe chenye kustahili kisha ahubiri matendo mema katika nchi.

Rais wangu, ninakiri kwamba nilishiriki kumshtaki Sabaya kwako kwa sababu matendo yake yalivuka mipaka na hakunisikiliza kila nilipomshauri. Rafiki yangu mmoja amenishauri, "Menuka usiandike chochote kumtetea Sabaya watu watakuona 'kigeugeu' ila tumuombee". Mtihani huu umenishinda, nimekumbuka habari za Yesu alipowaombea msamaha watesi wake, "Baba wasamehe kwa kuwa hawajui walitendalo", nikakumbuka tena maneno niliyofundishwa katika imani yangu "samehe 7×70" nikaona ninayo nafasi ya kumuombea msamaha Sabaya. Nimeamua kuandika, ukimya katika wakati wenye kuhitaji sauti ni dhambi kubwa.

Sabaya alitenda makosa, pengine makubwa lakini ni nani kati yetu mwenye kujihesabia haki? Ni nani kati yetu aliye mkamilifu? Bila shaka hakuna hata mmoja. Sisi sote ni wenye mapungufu, wengi tulihitaji Sabaya aadhibiwe kwa kufutwa kazi ili ajifunze lakini adhabu hii imekua kubwa mno kwake. Kila nikifikiria namna uchunguzi wa makosa yake ulivyokua wa haraka kuliko hata Mkurugenzi wa TPA, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Buhigwe, Sengerema na Temeke waliomtangulia kusimamishwa kazi kwa makosa kama yake, ninaingiwa na wasiwasi kidogo!! Hofu yangu tusije kutumia makosa yake kulipa kisasi. Sabaya alistahili adhabu lakini hii ni kubwa mno, itawaumiza wengi.

Rais wangu, ninazo sababu MBILI kubwa za kuomba tumpunguzie adhabu Sabaya;

1. Kesi ya Sabaya imegeuzwa kuwa kesi ya JPM.

Niseme ukweli wa Mungu, hii ndio sababu kubwa imenifanya nijiingize katika jambo hili. Hii ndio sababu kubwa imenisukuna niandike ushauri wangu huu. Kwangu jambo lolote lenye kuingizwa JPM kwa namna ya kumdhalilisha na kumdhihaki linaiacha bila choice yoyote zaidi ya kumtetea. Nimekusudia kuwa mtetezi wa JPM katika maisha yangu yote kwa sababu yeye hana ulimi huo tena, hawezi kujitetea kwa lolote. Ninamtetea sasa kwa sababu wakati wa uhai wake katika madaraka nilimsema, nikamkosoa kwa lugha zote akanivumilia.

Watu wabaya wanatumia makosa ya Sabaya kumchafua JPM, kumdhihaki na kuumiza utu wake. Wanasema ndiye aliyemtuma kutenda makosa hayo, kwamba ndiye aliempa kibri nk. Kwangu hili ni kosa kubwa, JPM died for this country, amekufa kwa ajili ya Tanzania hapaswi kudhihakiwa kwa namna yoyote ile. Ukiwaondoa waliokufa vitani Uganda, mtu mwingine aliyekufa uwanja wa mapambano peke yake kwa ajili ya nchi hii ni JPM.

Huyu ametoa maisha yake kwa ajili ya Tanzania, tusipomheshimu na kuthamini mchango wake tutakosa watu wenye kujitoa kwa ajili ya nchi hii. HAPANA!! Makosa ya JPM wakati wa uhai wake yabaki kama udhaifu wa kibinadamu, kuendelea kuyatumia kama silaha ya kuumiza wengine ni kosa. Rais wangu, kama kosa la Sabaya litaendelea kutumiwa kuumiza heshima ya JPM, kudhihaki mchango wake katika nchi hii, kusema kweli wengi tutasimama na Sabaya ili kumtetea JPM. To me, JPM ni shujaa mwenye kuhitaji heshima ya mwisho juu katika nchi yetu. Ni kwa sababu hii naomba tumsamehe Sabaya ili tulinde taswira ya JPM inayofungamanishwa naye!!

2. Kesi ya Sabaya imegeuzwa kuwa KISASI chake kwa Ubunge wa Freeman Mbowe (Hai).

Rais wangu, Sabaya hakua Mbunge, hakuuchukua Ubunge wa Freeman Mbowe akaupeleka nyumbWaani kwake bali aliurudisha kwenye Chama chetu baada ya miaka mingi. Katika hilo CCM imenufaika kuliko yeye na kwa vyovyote vile haikubaliki kesi yake kugeuzwa kisasi kwake kwa Ubunge wa mtu mwingine. CCM inawajibika moja kwa moja kubeba dhamana hii. Vitabu vyetu vinasema jukumu namba moja la Mwanachama na Kiongozi wa CCM ni kuhakikisha CCM inashika dola.

Tulishakubaliana kwenye kushika dola CCM hatuna cha msamalia mtume. Sabaya alitimiza wajibu wake ilivyompasa, hapaswi kubebeshwa msalaba wote. Ni kweli katika kutenda hayo alifanya makosa kadhaa yenye kustahili adhabu lakini sio hii. Hii ni kubwa mno, kwa sababu hii hapaswi kuachiwa mzigo huu peke yake. Wenzetu wanaitumia vibaya kesi ya Sabaya kukiumiza Chama chetu, kwakweli; wenye Chama hatuwezi kukaa pembeni. Sabaya akifungwa Jela, akaumizwa vibaya Ubunge wa Hai utaonekana kuwa chanzo, hili ni kosa.

Rais wangu, Sabaya amekosa lakini mtoto akijisaidia kwenye kiganja cha mkono hatukati mkono, tunakosha na sabuni maisha yanaendelea. Ulipowaapisha Makatibu Tawala wa Mikoa, ulisema na umekua ukisema mara nyingi. Sheria inapaswa kusimamiwa kwa 70% wakati 30% zinahitaji busara na hekima. Tutumie hizo 30% kumaliza jambo hili, kosa la Sabaya limegeuzwa kuwa kosa la wengi.
Tusimame na wengi!!
MenukaJr,
Da'slama.
wale aliowauwa ....nani atawasamehe warudi duniani ?
 
Rais wangu, maelezo haya hayakusudii kukushawishi kuharibu utawala wa sheria wala kuingilia shughuli za Mahakama. Hayakusudii kukwamisha uchunguzi uliobakia, unaondelea isipokuwa kuweka kumbukumbu za matendo MEMA machache ya watu waovu. Biblia inasema; Mtume Paulo alikua jambazi, haramia na muuaji mkubwa lakini baada ya kujaribiwa akalishika neno na kutubu kisha aligeuka mhubiri aliyezunguka kila kona ya Macedoni kuhubiri neno la Mungu. Kupitia kwa mtu mbaya, muovu, muuaji na haramia watu wa Mungu wengi waliokoka, Dunia ikapata nafuu. Tumpatie Sabaya nafasi ye kutubu, arudishe chenye kustahili kisha ahubiri matendo mema katika nchi.

Rais wangu, ninakiri kwamba nilishiriki kumshtaki Sabaya kwako kwa sababu matendo yake yalivuka mipaka na hakunisikiliza kila nilipomshauri. Rafiki yangu mmoja amenishauri, "Menuka usiandike chochote kumtetea Sabaya watu watakuona 'kigeugeu' ila tumuombee". Mtihani huu umenishinda, nimekumbuka habari za Yesu alipowaombea msamaha watesi wake, "Baba wasamehe kwa kuwa hawajui walitendalo", nikakumbuka tena maneno niliyofundishwa katika imani yangu "samehe 7×70" nikaona ninayo nafasi ya kumuombea msamaha Sabaya. Nimeamua kuandika, ukimya katika wakati wenye kuhitaji sauti ni dhambi kubwa.

Sabaya alitenda makosa, pengine makubwa lakini ni nani kati yetu mwenye kujihesabia haki? Ni nani kati yetu aliye mkamilifu? Bila shaka hakuna hata mmoja. Sisi sote ni wenye mapungufu, wengi tulihitaji Sabaya aadhibiwe kwa kufutwa kazi ili ajifunze lakini adhabu hii imekua kubwa mno kwake. Kila nikifikiria namna uchunguzi wa makosa yake ulivyokua wa haraka kuliko hata Mkurugenzi wa TPA, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Buhigwe, Sengerema na Temeke waliomtangulia kusimamishwa kazi kwa makosa kama yake, ninaingiwa na wasiwasi kidogo!! Hofu yangu tusije kutumia makosa yake kulipa kisasi. Sabaya alistahili adhabu lakini hii ni kubwa mno, itawaumiza wengi.

Rais wangu, ninazo sababu MBILI kubwa za kuomba tumpunguzie adhabu Sabaya;

1. Kesi ya Sabaya imegeuzwa kuwa kesi ya JPM.

Niseme ukweli wa Mungu, hii ndio sababu kubwa imenifanya nijiingize katika jambo hili. Hii ndio sababu kubwa imenisukuna niandike ushauri wangu huu. Kwangu jambo lolote lenye kuingizwa JPM kwa namna ya kumdhalilisha na kumdhihaki linaiacha bila choice yoyote zaidi ya kumtetea. Nimekusudia kuwa mtetezi wa JPM katika maisha yangu yote kwa sababu yeye hana ulimi huo tena, hawezi kujitetea kwa lolote. Ninamtetea sasa kwa sababu wakati wa uhai wake katika madaraka nilimsema, nikamkosoa kwa lugha zote akanivumilia.

Watu wabaya wanatumia makosa ya Sabaya kumchafua JPM, kumdhihaki na kuumiza utu wake. Wanasema ndiye aliyemtuma kutenda makosa hayo, kwamba ndiye aliempa kibri nk. Kwangu hili ni kosa kubwa, JPM died for this country, amekufa kwa ajili ya Tanzania hapaswi kudhihakiwa kwa namna yoyote ile. Ukiwaondoa waliokufa vitani Uganda, mtu mwingine aliyekufa uwanja wa mapambano peke yake kwa ajili ya nchi hii ni JPM.

Huyu ametoa maisha yake kwa ajili ya Tanzania, tusipomheshimu na kuthamini mchango wake tutakosa watu wenye kujitoa kwa ajili ya nchi hii. HAPANA!! Makosa ya JPM wakati wa uhai wake yabaki kama udhaifu wa kibinadamu, kuendelea kuyatumia kama silaha ya kuumiza wengine ni kosa. Rais wangu, kama kosa la Sabaya litaendelea kutumiwa kuumiza heshima ya JPM, kudhihaki mchango wake katika nchi hii, kusema kweli wengi tutasimama na Sabaya ili kumtetea JPM. To me, JPM ni shujaa mwenye kuhitaji heshima ya mwisho juu katika nchi yetu. Ni kwa sababu hii naomba tumsamehe Sabaya ili tulinde taswira ya JPM inayofungamanishwa naye!!

2. Kesi ya Sabaya imegeuzwa kuwa KISASI chake kwa Ubunge wa Freeman Mbowe (Hai).

Rais wangu, Sabaya hakua Mbunge, hakuuchukua Ubunge wa Freeman Mbowe akaupeleka nyumbani kwake bali aliurudisha kwenye Chama chetu baada ya miaka mingi. Katika hilo CCM imenufaika kuliko yeye na kwa vyovyote vile haikubaliki kesi yake kugeuzwa kisasi kwake kwa Ubunge wa mtu mwingine. CCM inawajibika moja kwa moja kubeba dhamana hii. Vitabu vyetu vinasema jukumu namba moja la Mwanachama na Kiongozi wa CCM ni kuhakikisha CCM inashika dola.

Tulishakubaliana kwenye kushika dola CCM hatuna cha msamalia mtume. Sabaya alitimiza wajibu wake ilivyompasa, hapaswi kubebeshwa msalaba wote. Ni kweli katika kutenda hayo alifanya makosa kadhaa yenye kustahili adhabu lakini sio hii. Hii ni kubwa mno, kwa sababu hii hapaswi kuachiwa mzigo huu peke yake. Wenzetu wanaitumia vibaya kesi ya Sabaya kukiumiza Chama chetu, kwakweli; wenye Chama hatuwezi kukaa pembeni. Sabaya akifungwa Jela, akaumizwa vibaya Ubunge wa Hai utaonekana kuwa chanzo, hili ni kosa.

Rais wangu, Sabaya amekosa lakini mtoto akijisaidia kwenye kiganja cha mkono hatukati mkono, tunakosha na sabuni maisha yanaendelea. Ulipowaapisha Makatibu Tawala wa Mikoa, ulisema na umekua ukisema mara nyingi. Sheria inapaswa kusimamiwa kwa 70% wakati 30% zinahitaji busara na hekima. Tutumie hizo 30% kumaliza jambo hili, kosa la Sabaya limegeuzwa kuwa kosa la wengi.
Tusimame na wengi!!
MenukaJr,
Da'slama.
Kama tutaendesha nchi kishikaji hivyo unavyopendekeza tutakuwa taifa la kipuuzi sana. Makala zako huko nyuma zilikuwa za kutetea nchi kuendeshwa kwa mujibu wa utawala wa sheria. lakini kwa bandiko hili, unatetea nchi kuendeshwakishikaji na kikada. HAPANA.
 
Huo ni upande mmoja wa shilingi. Mimi nimeeleza upande wa kwanza! Nadhani kila upande una nafasi, lakini nafasi kubwa ni upande wangu kwa sababu pamoja na yote ametenda mambo mema kwa ahili ya Chama chetu. Ni bahati mbaya Chama hikihiki ndicho chenye Serikali!

Tunashauriwa kusamehe zaidi kuliko kulipa visasi. Hata walioumizwa wanapaswa kusamehe kwa sababu hata akifungwa haitawarufishia hasara waliyoipata.
Wakudadavuwa sweettablet MSAGA SUMU Crimea magu2016 johnthebaptist jingalao
 
Back
Top Bottom