road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,011
KmmkUmetufanyia mengi tutakukumbuka sana sisi tuliodhulumiwa na kupolwa haki zetu hakika ulisimama nasi
Biashara za ma gendo zilizo dhulum watu
Huku kwetu mkulugenzi na dc wake wanashilikiana kukwepa majukum ww uliweza kumuwajibisha hata mkulugenzi wako! ukatatua migogoro sugu kama ya ardhi na mengineyo ama hakika aliye kuweka hapo alikufahamu fika
Mimi nakufananisha na nabii yesu yaliyo kupata ni sawa kabisa na yaliyo mpata yesu ushupavu wako msimamo wko ujasili wako ndio unao kughalim leo sabaya hukumuonea mtu isipokuwa alitenda kosa
Leo wasio haki wameungana dhidi yako wameishi kukuzushia sasa wamefanikisha adhima yao
Sasa sijui ni viongozi gani tuwatakao sisi
Viongoziwatakao tuvusha sisi
nihawa wanasiasa wanafiki wenye uongo na maneno ya kutudanganyia kila wakati!
Kama mungu anatupa watu wenye nia udhalendo ushupavu wa kusimamia haki na sheria tunataka nini sisi!
Sabaya mungu atakulipia DUA ZETU ZIKAWE MBELE YAKO AMIIN