Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,274
- 27,365
- Thread starter
- #41
Mimi niajiriwe? Nachofanya na ninavyomiliki ni zaidi ya ajiraAcha hizo!!! Yaani wewe huna ajira kwa hiyo wenye ajira wanyanyaswe tu kila siku. Na wewe ukiajiriwa hutaongezwa mshahara na maisha yanazidi kupanda utaona joto ya jiwe!!!