Rais Samia Suluhu Hassan usikubali serikali yako ikawa Serikali ya kujibu hoja kwa vijembe

Beginning

JF-Expert Member
Aug 21, 2023
879
2,361
Ukitaka watu wawe na imani na serikali yako.

Kwanza: Hoja zote zikiwemo zilizotolewa na Taasisi yenye influence kubwa kama Tec zijibiwe kwa hoja.

Pili: Usikubali uhuru wa Vyombo vya Habari kuingiliwa kwenye hili suala,vyombo vya habari vifanye kazi yake kwan interference yoyote kutoka serikalin inaongeza mashaka zaidi kuhusu DPW.

Tatu: Hata kama mtashindwa kurudia matapishi yenu kwenye mkataba na DPW bac fanyeni marekebisho kwenye vipengele vyenye utata ikiwemo idadi ya bandar atakazopewa awekeze.

Point to ponder: surrendering is not the best way to live but as by now,it is the only way to live nothing else works.
 
Maoni ya watu wote yanachukuliwa siyo TEC tu halafu serikali haiendeshwi kwa kufuata matakwa ya kikundi fulani. Uhuru wa vyombo vya habari una mipaka ukizubaa wanaweza kuitia nchi kiberiti.
Ndiyo maana nikasema 'hoja zote'
Halafu kwenye vyombo vya habar nakubal mipaka ipo,Ila kwann kwenye suala la DP world vyombo hiv vipo limited sana??
 
Ndiyo maana nikasema 'hoja zote'
Halafu kwenye vyombo vya habar nakubal mipaka ipo,Ila kwann kwenye suala la DP world vyombo hiv vipo limited sana??
Naona utakuwa ni mtazamo wako tu vyombo vya habari vinajitahidi sana kutoa elimu kwa wananchi na kukaribisha mijadala. Changamoto iliyopo tayari kuna vikundi vimejipanga kukwamisha mchakato huu iwe isiwe kwahiyo wao hoja siyo uboreshaji wa bandari bali ni kupinga uwekezaji wa hizi bandari. Wanajua maslahi yao kiuchumi yanaguswa.
 
Ukitaka watu wawe na imani na serikali yako.

Kwanza: Hoja zote zikiwemo zilizotolewa na taasisi yenye influence kubwa kama Tec zijibiwe kwa hoja.

Pili:Usikubali uhuru wa vyombo vya habari kuingiliwa kwenye hili suala,vyombo vya habari vifanye kazi yake kwan interference yoyote kutoka serikalin inaongeza mashaka zaidi kuhusu DPW.

Tatu:Hata kama mtashindwa kurudia matapishi yenu kwenye mkataba na DPW bac fanyeni marekebisho kwenye vipengele vyenye utata ikiwemo idadi ya bandar atakazopewa awekeze.

Point to ponder:surrendering is not the best way to live but as by now,it is the only way to live nothing else works.
Wakristo ni wanafki sana!

Mnataka hoja zenu zijibiwe kwa hoja bila vijembe hali ya kuwa hoja zenu mnazijenga kwenye misingi ya vijembe na kiburi.

Mtu anasema katoliki haibahatishi ina watu mpaka kaya za chini hicho kama sio kiburi na vijembe ni nini?
 
Wakristo ni wanafki sana!

Mnataka hoja zenu zijibiwe kwa hoja bila vijembe hali ya kuwa hoja zenu mnazijenga kwenye misingi ya vijembe na kiburi.

Mtu anasema katoliki haibahatishi ina watu mpaka kaya za chini hicho kama sio kiburi na vijembe ni nini?

..ndio unaambiwa kauli kama, "katoliki haibahatishi..." serikali inatakiwa isijishughulishe nazo.

..serikali ijibu na kushughulika na hoja tu ambazo ni mapungufu ambayo yameelezwa yako ktk mkataba.
 
Wakristo ni wanafki sana!

Mnataka hoja zenu zijibiwe kwa hoja bila vijembe hali ya kuwa hoja zenu mnazijenga kwenye misingi ya vijembe na kiburi.

Mtu anasema katoliki haibahatishi ina watu mpaka kaya za chini hicho kama sio kiburi na vijembe ni nini?
Mambo ya ukristo yametoka wap?
 
Wakristo ni wanafki sana!

Mnataka hoja zenu zijibiwe kwa hoja bila vijembe hali ya kuwa hoja zenu mnazijenga kwenye misingi ya vijembe na kiburi.

Mtu anasema katoliki haibahatishi ina watu mpaka kaya za chini hicho kama sio kiburi na vijembe ni nini?
Nenda shule ukasome Ili muache huo ujinga
 
Wakristo ni wanafki sana!

Mnataka hoja zenu zijibiwe kwa hoja bila vijembe hali ya kuwa hoja zenu mnazijenga kwenye misingi ya vijembe na kiburi.

Mtu anasema katoliki haibahatishi ina watu mpaka kaya za chini hicho kama sio kiburi na vijembe ni nini?
Hilo tu ndio likakukera kuliko mkataba wenyewe.
 
Pili: Usikubali uhuru wa vyombo vya habari kuingiliwa kwenye hili suala,vyombo vya habari vifanye kazi yake kwan interference yoyote kutoka serikalin inaongeza mashaka zaidi kuhusu DPW.
Akina Nape wanajua wanachokifanya ili Samia afeli 2023
 
Ukitaka watu wawe na imani na serikali yako.

Kwanza: Hoja zote zikiwemo zilizotolewa na taasisi yenye influence kubwa kama Tec zijibiwe kwa hoja.

Pili: Usikubali uhuru wa vyombo vya habari kuingiliwa kwenye hili suala,vyombo vya habari vifanye kazi yake kwan interference yoyote kutoka serikalin inaongeza mashaka zaidi kuhusu DPW.

Tatu: Hata kama mtashindwa kurudia matapishi yenu kwenye mkataba na DPW bac fanyeni marekebisho kwenye vipengele vyenye utata ikiwemo idadi ya bandar atakazopewa awekeze.

Point to ponder: surrendering is not the best way to live but as by now,it is the only way to live nothing else works.
Point to ponder: surrendering is not the best way to live but as by now,it is the only way to live nothing else works.
 
Maoni ya watu wote yanachukuliwa siyo TEC tu halafu serikali haiendeshwi kwa kufuata matakwa ya kikundi fulani. Uhuru wa vyombo vya habari una mipaka ukizubaa wanaweza kuitia nchi kiberiti.
Ukiona nchi inatiwa kiberiti, basi ujue kuna genge la watu wananyonya wenzao bila huruma, ndio yale ya mbuzi ula kwa urefu wa kamba yake. Sasa kama kamba ni ya elastic mambo yanakuwaje?
 
Ukiona nchi inatiwa kiberiti, basi ujue kuna genge la watu wananyonya wenzao bila huruma, ndio yale ya mbuzi ula kwa urefu wa kamba yake. Sasa kama kamba ni ya elastic mambo yanakuwaje?
Haina shida itafika yield point na kubadilika kuwa plastic na mwisho kukatika
 
Ukitaka watu wawe na imani na serikali yako.

Kwanza: Hoja zote zikiwemo zilizotolewa na taasisi yenye influence kubwa kama Tec zijibiwe kwa hoja.

Pili: Usikubali uhuru wa vyombo vya habari kuingiliwa kwenye hili suala,vyombo vya habari vifanye kazi yake kwan interference yoyote kutoka serikalin inaongeza mashaka zaidi kuhusu DPW.

Tatu: Hata kama mtashindwa kurudia matapishi yenu kwenye mkataba na DPW bac fanyeni marekebisho kwenye vipengele vyenye utata ikiwemo idadi ya bandar atakazopewa awekeze.

Point to ponder: surrendering is not the best way to live but as by now,it is the only way to live nothing else works.
Rais wetu ana kiburi na ametudharau sana sisi wananchi. Anaposema nimekaa kimya na nitaendeea kukaa kiimya anapoteza kabisa sifa ya kuwa kiongozi. Huyu 2025 ni wa kutupilia mbali kabisa, HATUFAI KUTUONGOZA KAMA TAIFA
 
Back
Top Bottom